SABAYA AMTAJA MBOWE MAHAKAMANI - "ALITUMIA WAFANYABIASHARA KUHAKIKISHA NAINGIA KWENYE MATATIZO"
Mshtakiwa Namba Moja katika Kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 27 ya Mwaka 2021 Lengai Ole Sabaya ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha Kwamba aliyekuwa Mbunge wa HAI Mkoani Kilimanjaro ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Upinzani alitumia wafanyabiashara wenye ushawishi kuhakikisha anaingia kwenye Matatizo kwa kudhani kwamba yeye ndiye kikwazo cha kumfanya akose Ubunge.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Негізгі бет SABAYA AMTAJA MBOWE MAHAKAMANI - "ALITUMIA WAFANYABIASHARA KUHAKIKISHA NAINGIA KWENYE MATATIZO"
Пікірлер: 25