Jamani Da salama siamini nilichoomba kimefanyika nakupendaje 💖💋uwiiiii hongera sana mpz hakuna kama ww in East Africa Mungu akusimamie..nampenda sana huyu Da Dina 😍💖❤
@CoachHafidh
2 жыл бұрын
#Yahstonetown naomba mumlete stara thomas...naamini ana mingi ya kuuongelea huu mziki wetu na maisha yake kwa ujumla. Regards🙌🏾💛
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
daah umewaza mbaali ni kwl yule mdada kitamboo wamletee
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Wallai watu walopitia maisha magumu ndio nahisi wana maendeleo sana na niwapiganaji wa maisha vizuri
@abdallahmassah1770
2 жыл бұрын
Madam salama. Nashauri interview ya Salama na Maulid kitenge
@freewillmlay4822
Жыл бұрын
Dada mlete Babalevo Ni “Chawa” but kwenye serious issues he’s so smart 🧠
@ballisticsound4796
Жыл бұрын
THIS WAS GOOD AS USUAL....NEXT AJE STARA THOMAS BASI
@ilovejesus9303
2 жыл бұрын
Ooh nliwatch part 1 nkisubiri part 2, kumbe leo dada Salama kabadilisha kidogo
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Marlaw tunaomba umlete Salama🙏🙏🙏
@Tatizofficial
Жыл бұрын
Next county wizzy,tuleteee yule boy
@faudhiasalum7279
2 жыл бұрын
Hasidi hana sababu 👌🏽👌🏽👌🏽
@kambamazig02024
2 жыл бұрын
Your enemy does not need a reason to do bad things, ama adui huwa hana sababu ya kutaka kukutendea mabaya.
@happinessjulius9230
2 жыл бұрын
Finally
@achileusmulokozi4963
2 жыл бұрын
huyu dada jamani,nampenda mnoooooooo
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Dah kweli mahasidi wanaanzia udogoni😄😄
@tinomasangia5511
2 жыл бұрын
Yea hii n part I
@rehemangonji573
2 жыл бұрын
Yaan ya kwanza ni ya pili na ya pili ni ya kwanza😅😅😅
@RamazaniMulongeca
2 жыл бұрын
UMEKOSEA SALAM, hii ndo Part1, but umeadika part2, Na part 2 umesema Part1 Of course wakwanza mimi #1
@ramansitv3292
2 жыл бұрын
nilidhani hivyo pia lakini soma tittle vizuri mwenye kuwahi hakosi part 2
@RamazaniMulongeca
2 жыл бұрын
@@ramansitv3292 Smart,
@shafee9128
2 жыл бұрын
Mtu mwenye kukufanyia hila au ubaya fulani huwa hana sababu za msingi kufanya hilo nalo fanya #salama
@niriacatering172
Жыл бұрын
Penda Sana salama na Dina Mungu awalinde
@tonystratony8131
2 жыл бұрын
Nice
@edwardmachaku1661
2 жыл бұрын
Hujambo! Hongera.
@agathamatambula538
2 жыл бұрын
Dinaa🔥🔥
@Tatizofficial
Жыл бұрын
Iam Dina,fAns
@Tatizofficial
2 жыл бұрын
Huyu da Dina mmi nampenda namkubaliigi,nilikuwa nakushangaaa ukuwahi kumhoji Dina,Dina ni balaa
@abdulraufmohammedsalum6806
2 жыл бұрын
Hasidi ni mtu ambae akiamua kukufanyia Ubaya sio lazm uwe umemkosea Hua anaamua tu kukufanyia Without any reason
@muscatoman2766
2 жыл бұрын
Good
@aminasaid7518
2 жыл бұрын
❤️
@asterialucas4680
2 жыл бұрын
Nampenda sn Dina Marious
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Mlete aunty sadaka twamuhitaji
@clackcharles4253
2 жыл бұрын
Hii ni part 1 salama
@bish_daddiyao
Жыл бұрын
Salama Niletee Juma Nature Au a Upendi kumhojii
@TEDY-MTEMY24
Ай бұрын
Kwanini aspende 😊
@simonlunyelekwe5520
2 жыл бұрын
Salama-Tuletee marlow 🇰🇪🇹🇿
@kakukili6173
Жыл бұрын
Kweli kabisa marlaw
@monicajohn2515
2 жыл бұрын
Jamani napenda kicheko Cha salama dah
@seyyactor1418
2 жыл бұрын
Typing error Leo kwenye episode but 🔥🔥
@mkaapwekekariakoo6417
2 жыл бұрын
Soma virzuri kichwa cha habari... Wee ndo umetafsiri kimakosa... #MwemyeKuwahikakosiPart2
@browngennestone5979
2 жыл бұрын
Next episode fred saganda atishe humu please
@hosamhilary1877
2 жыл бұрын
Heey sorry, mme label hizi parts wrongly. Part 1 imekuwa as Part 2 and vice versa.
@abdulhamis9825
2 жыл бұрын
Salama Tutafutie Na Watu Wa Football Sio Watu Walio Kwenye Media Tu
@ninjaisma7983
2 жыл бұрын
Tuletee Nikki mbishi pia tumsikie akijibu maswali yako yakijanja
@daudynaccer4313
2 жыл бұрын
kabisa mzee
@CoachHafidh
2 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@fortunatanasuwa6789
2 жыл бұрын
Hapo kwenye kuishi na mahasidi kwa akili ndio shida, bora kumtema tu
@approxtv9021
Жыл бұрын
Tuna miss interview yako na Millard ayo
@tanzaniasafariadventure3635
Жыл бұрын
Wap Salama na Fred Vunjabei
@muna1744
2 жыл бұрын
Part 1 imeandikwa part 2 na part 2 imeandikwa part 1
@abdulhamis9825
2 жыл бұрын
Dina Anazungumza Kiswahilin Kabsa Kwel EFM imekubadili Sana Tofaut Na Dina Yule Wa Clouds
@nicolenabintu2509
2 жыл бұрын
She’s goes 😍
@abdallahcooper3111
2 жыл бұрын
Either write She's gone or She goes, There's no She's goes in English!
@mkamajames2786
Жыл бұрын
@@abdallahcooper3111 jamaa kwani lugha iyo yake au wee ndo unajua sana
@khamisidaimambelentakuchom103
Жыл бұрын
@@abdallahcooper3111 qqppp²q
@sophiamfikwa7340
Жыл бұрын
Live you dada Dina🥰
@Tatizofficial
Жыл бұрын
Salama mwambie Dina yeye kazaliwa Arusha,alafu hapendi kuleta mwanamke wa shoka kaskazinii,
@faudhiasalum7279
2 жыл бұрын
Awesome c Ya kukosa ii
@hendricksaugustine6967
2 жыл бұрын
hasidi hana sababu " mtu akitaka kukuletea jam anakuletea tu hatakama haujamkosea
@richardmkude9131
2 жыл бұрын
Hasidi hana sababu,mtu mwenye ubaya au akitaka kukufanyia ubaya anafanya bila hata ya kuwa na sababu
@mkaapwekekariakoo6417
2 жыл бұрын
"#TITLE" YA KWANZA ILIKUWA "#VERYPHILOSOPHICAL..." Laiti aliyefanya "#editing" angejua alichoondoa kilikuwa na thamani kubwa mmno.
@aishaomarry6996
Жыл бұрын
SALAMA m na Albart Chalamila tunamuomba
@saidmaulid5609
Жыл бұрын
Salama niaje nakuomba tulete juma nature
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
Bonge moja la interview c lakukosaaaa Nature km Nature
@jumannehassan8131
2 жыл бұрын
Stamina na afande sele walete hapo sijawaona kwa kiti
@scholamwasi2782
2 жыл бұрын
Ya da dina toka umeanza kujipunguza mbona upungui we kula tu ndo mwili wako uwo
@jumannehassan8131
2 жыл бұрын
Stamina n afande sele walete bado sijawaona kwa kiti
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Hasidi ni mtu anakuharibia hk anajifanya anakuhurumia au anakupeti peti
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
Nizaid ya mchawiiii hasidi muharibu wamambo yaaani ktk watu nawachukia ni awa
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@mapekhamis3882 yani hasidi na mnafiki wametofautiana kdg tuu
@happyswai8299
2 жыл бұрын
Kuna watu wana bahati
@nickjuma3937
2 жыл бұрын
mbona husemi umesoma shule zipi majina yake!!
@idamtesigwa6002
Жыл бұрын
Salama tuletee Max Rioba
@maiyanakupendanadayasanama7033
Жыл бұрын
Nampenda sana dina mazungimzo yake na no mzuri sana
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
Yy na Salma Msangi co wakujishaushaua wako real kama ulikula dagaa sema kama ulitembea posta mpk temeke kwa miguu sema tu ni maisha yakawaida binaadam upitia nimependa walivojiachia kwa interview cjui ni kwavile wako ktk iyo section km Salama🙌
Пікірлер: 77