Poleni watoto mungu hajawaacha hatakidogo atawalinda sikuzote
@DottoAlly-pp9hc
14 күн бұрын
Pole sana ndugu zangu
@AmeirhajjRamadhan-e1h
14 күн бұрын
Mashaallah tena wamefanana kweli allah awajaalie muwe kiunganishi kwenye maisha yenu msitengene shikaneni mikono allah yupo pamja na kila mmoja wetu
@aishajuma7813
14 күн бұрын
Mungu awatangulie wafike salama
@SalmaSamiry
14 күн бұрын
Daah Allah awatangulie katika safari yenu mfike salama 😢😢😢😢poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu inauma sana jamani
@Majid-z8q
14 күн бұрын
Mungu akawekiongozi wa familia yenu
@AlHamra-k4u
14 күн бұрын
Mungu awabariki sana watu wote mliochanga nauli. Poleni sana family ya Fanueli 😢😢. Mungu awabariki sana wana DTV
@ruqayaissa990
14 күн бұрын
Subuhana llah 😭😭😭😭😭😁 watt wanahuzunisha sana
@AtuganileAsubisye
14 күн бұрын
Masikini Mungu awatie nguvuu
@faridahalil4456
14 күн бұрын
Allah awafikishe salama, na mungu awape subra katika kipindi hiki kigumu
@kadijahajali3918
7 күн бұрын
😢
@Niabebewamor413
14 күн бұрын
Allah awatangulie Allah awatie nguvu mama anauma sana poleni wadogo zangu ni mipango ya mungu 🙏🙏😭😭😭🥺🥺
@OfficialA83640
14 күн бұрын
Dah chozi linanitoka nikikumbuka wazazi wng yaani mtu likimtokea jambo km hili namuelewa maumivu yake yalivyo Allah awafikishe salama In'shaallah 😢😢
@PatrickDavid-l3p
12 күн бұрын
Mh kifo bhana akikimbilik jaman na nifumbo atulijui jinsi linavyo fumbuliwa mwenyezimung atupe mwisho mwema.
@janemusumba820
14 күн бұрын
😢😢😢😢Pole Sana
@MunaAlbalushi-pt7je
14 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awatangulie 😂😂😂
@ruqaiamohammed345
14 күн бұрын
Mwenyez mungu awatangulie 😂😂❌️❌️❌️❌️❌️/000/000 ❌️❌️❌️👉mwenyez mungu awatangulie 😭😭😭✅️✅️✅️✅️✅️✅️/💯/💯✅️✅️✅️and mwenyez mungu awatangulia 👉👉😢😢😢✅️✅️✅️✅️💯/💯✅️✅️✅️✅️
@HalimaMichael-x6x
14 күн бұрын
Sasa wacheka nini
@ruqaiamohammed345
14 күн бұрын
@@HalimaMichael-x6x hajui kutumia emoji ya kulia tucmlaumu 😥
@sophsoph4740
14 күн бұрын
Kbs yan@@ruqaiamohammed345
@melanialeonard4031
13 күн бұрын
@@ruqaiamohammed345kabisa watu wengi wanatia aibu sana
@noot-oe2mw
14 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni 😂😂😂
@tatuluanda6581
14 күн бұрын
Songea sehemu gani nije kuzika maana mimi nipo songea mjini
Пікірлер: 26