Asante Sana mtaalamu... Ndugai anataka kutumia ubabe inaonekana ameshapewa chake yule
@doricejoel6185
3 жыл бұрын
Umeonaaa kweli kashibisha tumbo lake
@denismnubi7001
3 жыл бұрын
Kweli
@renatusrevocatus3895
3 жыл бұрын
Kwani ndege zenyewe situliambiwa ni huduma.,.... Hata hiyo ifanyeni huduma
@user-zh8wg3lc4i
3 жыл бұрын
Tunakushukuru sana mtaalam wetu Mungu akujaalie ufanye kazi yako vyema na utaalamu wako. Mungu akujaalie tunakuombea kila la kheri.
@chidiomari.65
3 жыл бұрын
Aisee uyo mtallaam kaongea vitu 100%+✓Point,Tujenge kwa pesa za ndani.Madeni yataingiza Nchi yetu ktk kipindi kigumu.Mungu akupe maisha marefu mtallaam🙏🇹🇿
@sigfridprotas5695
3 жыл бұрын
Tuangalie mfano kwa jiran yetu hapa Zambia maden yamezid hati wakuu wa vyomb vya ulinz na usalam ni wachina sas mh speaker hebu lingalie kwa makin hilo swala unalo ng,ang,ania, watakoa pata tabu ni sis vijana na wajukuu wako sio wew!!!
@dossanimangakengwa6609
3 жыл бұрын
Mkuu unaongea vitu vizuli sana
@eliasg.bihayi3477
3 жыл бұрын
) lll
@mariamkhamis2318
3 жыл бұрын
Mtaalam tunakuhitaji sana sema sema....kweli tupu..
@josephlugala3182
3 жыл бұрын
Mtaalamu unaongea vitu tunavyovipenda Sana wa tz
@rosetreffert6727
3 жыл бұрын
Safi sana elimisha hao mazuzu, ndugai hajitambui kigeugeu kama kinyoka msaliti, msiturudishe kuleeeee !!!!!!!!!!Magufuli tutakukumbuka daima
@mkushiandikayakoachananaya7944
3 жыл бұрын
Mpango wake ni kutuuza, napata mashaka kama hajapewa chochote huyo Ndugai!
@elishakayagwa9371
3 жыл бұрын
Wameshaturudisha ni Sisi kuamua kuwatoa madarakani kwa nguvu tu
@mkushiandikayakoachananaya7944
3 жыл бұрын
Jamani katika suala la BANDARI YA BAGAMOYO, Mimi nimeguswa sana, wengine tulioguswa wangapi?
@edwardmizambwa237
3 жыл бұрын
Umeguswaje, weijenge au la?
@mkushiandikayakoachananaya7944
3 жыл бұрын
@@edwardmizambwa237 Ijengwe sio kwa mkopo wa mtego wa China bali ifanywe hiyo kwa hela ya ndani polepole. Ile SGR ikamilike pia. Tanzania ikiamua inayaweza mengi sana, uduni wa kulilia mikopo tunajitakia na wengi walioko madarakani huwa wanataka wamfurahishe kila mtu katika kipindi chao ndio sababu hukimbilia mikopo. Wanawazia leo sana, kizazi hakifikiriwi! Hivyo, bandari kama inaamuliwa kutekelezwa kwa hela ya ndani iendelee lakini kama ni za hao wakoloni wa kisasa bandari hata kujadiliwa usitishwe kabisa!
@edwardmizambwa237
3 жыл бұрын
@@mkushiandikayakoachananaya7944 niko pamoja nawe
@ambitiousholyspirit395
3 жыл бұрын
Naona tutumie hela za ndani
@hadijamagufuli2661
3 жыл бұрын
Tatizo mshaambiwa tatizo ninani
@laprincevonkingpin7793
3 жыл бұрын
hongera mshauri,,, tunahitaji watu kama nyinyi,,,
@hadijajohn7434
2 жыл бұрын
Mtaraamu uko vizuri sana nimekuelewaa watanzania tuwe makini sana
@tumainimnzava320
3 жыл бұрын
Point sana kaka aisee tunaweza wenyewe mbona tumeweza mengine? Inauwezekano wakujenga kidogokidogo, kuliko kuuza utu Wetu
@verosanga4477
3 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Viva😍😍😍😘😘😘😘
@gastermdegela4153
2 жыл бұрын
Mtaalamu Nguhuls nimekuelewa sana kuhusu maswala ya bandari.
@neemakilomoni4258
3 жыл бұрын
Mtaalam uko vizuri sana tujenge bandari kwa pesa zetu kama tume weza reli bandari tuta weza pia swali nani ajenge???M China 🇨🇳 BIG NO .Mh Mwinyi Mwenyezi Mungu akuweke miaka 200 una busara sana sio kama yule mnafiki mwingine 😏
@josephnchunga1247
2 жыл бұрын
Mtaalam uko vizuri sana una point 200℅ na mfano mwingine hao hao wachina wamechukua airport ya entebe Uganda lakini bado wanaruhusu mazungumzo hii bandari ya bagamoyo hapo kuna maslahi ya nani hapo watuambie huo Mkataba na china unafaida gani kwa watanzania.
@hadijajohn7434
2 жыл бұрын
Safii sana nimependa tujenge kwa pesaa zetuu tunaweza
@stephensigonda9927
3 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kumleta mtaalamu huyo
@HJ-wf2vi
3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@mussabalola8406
3 жыл бұрын
Nashangaa sana leo kuona Speaker Ndugai leo anaunga mkono bandari ya Bagamoyo. Jamani tamaa mbaya. Hiyo ndo Issues iliyo muuwa Hayati Magufuli. Angalieni Wachina walivo fanya Zambia, na Nchi zingine. Ndugai! Wazungu leo wanafanya maendeleo ya vizazi vijao ila ww unataka kuuwa vizazi vijao... nitamkumbuka MAGUFULI hadi kufa. Kama ninavo mkumbuka Kadafi.
@aliaminmbeo9998
3 жыл бұрын
Mtaalam, nakushukuru sana, tujenge wenyewe, nasmini baada ya kumaliza Sgr, bwawa la Nyerere, na meli za maziwa zote kufanya kazi, na vyanzo vingine, nchi itakuwa na hela nyingi then tujenge bandari ya bagamoyo
@c-4839
3 жыл бұрын
Good luck kumdanganya mtanzania wa sasa☺️ Wananchi tumeshaona uongozi unatakiwa uwaje,
@lotionetv2833
3 жыл бұрын
Safi kabisa, reli ihishe kwanza alafu bandari Bagamoyo ifuate kwa pesa yetu, kwa shilingi yetu Wtz. Uko good sana iyo
@eddymorani21
3 жыл бұрын
Wewe unajua gharama za ujenzi wa Bandari ya ukubwa na hadhi ya Bandari ya Bagamoyo ? Hizo pesa za ndani za ujenzi wa bandari hiyo tutazitos wapi ? Unajisemea tu .
@jinasa180
3 жыл бұрын
@@eddymorani21 wakati wa JPM akitaka vitu viliwezekana , na hatakama kuna mikopo ilikuwa kidogo sana. Walimzengua barabara ya ubungo njia nne akajenga njia 8. Ili waone .hiyo unayo isema wewe ni mentality tu. Rais aliye pita alitufungua macho labda atokee mtu alazimishe tu lakini tunajua inawezekana.
@alexkihongola798
3 жыл бұрын
Jamaa yangu Julius upo vizuri mno, Mimi nakujua vizuri. Tema madini kaka.
@margaretmbongo3440
3 жыл бұрын
Sawa kabisa kazi iliyombele yetu ikamilike kwanza bagamoyo baadae .
@alexurassa3483
3 жыл бұрын
Mimi kama mdau naomba tujenge kwa pesa zetu wenyewe
@simongwandu7392
2 жыл бұрын
Umesema vizuri sana Wachina ni hatari sana
@karolikisaka8991
3 жыл бұрын
Mtaalamu uko vzr nakuomba uwemtu wakuishauri serikali by Amos be blessed for you positive opinions
@hebertleader8388
3 жыл бұрын
Mtalaam huo nawapenda inchi yake kabisaa ! Jenga na pesa zenu..nawapenda saana
@kimsaid5859
2 жыл бұрын
big yes kwa huyu jamaa ana madini sana
@andrewsaktay9865
3 жыл бұрын
Naunga hoja mkono, bandari ya bagamoyo ni muhimu sana, lakini ijengwe na sisi wenyewe kwa pesa zetu, wala hatushindwi, hyo habari ya mkopo tusifurahie kabisaaaaa
@stephanokigosi656
3 жыл бұрын
well said..issue ni mkataba mbovu
@ngwanafabian9668
3 жыл бұрын
Tukitenga 2trilioni kila mwaka je hatuwezi kujenga bandari kwa miaka 10?
@stephanokigosi656
3 жыл бұрын
huyu jamaa MZALENDO sana, halafu kaongea points tupu. good
@michaeljpm5597
3 жыл бұрын
Salute sanaaa kwake
@ntegrity277
2 жыл бұрын
Swala Kama Hilo Ni mhimu Sana huo mzigo HAUNA MAANA!
@flavialeonardissangu1311
3 жыл бұрын
Hii kweli ilikuwa shule , kwahiyo ni muhimu Sana kusikiliza ushauri serikali ingemchukua huyu mtaalamu na kumweka ktk uongozi wa bandari zetu ,
@stephensigonda9927
3 жыл бұрын
Mtaalamu upo vizuri
@deusimtewele2301
3 жыл бұрын
Mheshimiwa Ndugai hiyo bandari iyo itajengwa na mabeberu au watanzania?
@janethpallangyo2633
3 жыл бұрын
Nakukubali sana mtaalam
@sheikhmzee4700
3 жыл бұрын
Nakupongeza sana brother wachina ni watu wabaya sana katika Africa ni nchi chake zilizo nusurika na kutaifisha mashirika ya uma na wachina zikiwemo Zambia Kenya ethiopia nk wasiiweke nchi pabaya kwa muda mfupi tu wa kuondoka mhe maguful
@abdallahmhando5743
3 жыл бұрын
Naomba niwashauri watangazaji wa global tv mpeni nafasi ya kutosha mzungumzaji atiririke acheni kuingilia ingilia tena bila utaratibu. Mi naona kama mnamfanyia fujo mtaalam. Nashauri awepo mtangazaji mmoja au wawili.
@juliuskaheza4927
3 жыл бұрын
Hongera sana kwa ushauri broo
@allydady5532
3 жыл бұрын
Tutajenga wenYewe tulishaoneshwa njia na baba yetu jpm kuwa tunaweza
@sadikiramadhani5631
3 жыл бұрын
Umenie limesha sana mtalam nilikuwa siyajui mambo mengi ila hongera xn
@simonaminamunguwetunimwema4227
3 жыл бұрын
Upo vizuri msomi wangu
@safiyasafiya5014
3 жыл бұрын
Point mjenge wenyewe itakua bora zaidi
@herintimizi5154
3 жыл бұрын
Thank you Global TV, can you please send me the contact of Julius Nguhula, I need to invest with people who are competitive and understands the logistics works. Glory be to God for this network
@samsonzacharia2329
3 жыл бұрын
Cjackia vzr spika amesema lzma kuwe na bandari isiyo kupwa na kujaa? Ipo bahari icyo kupwa na kujaa? Ipo kweli?
@RamaTraceur
3 жыл бұрын
Anaitwa Mr Julius Nguhulla...huyu ndiyo mzalendo na Mtu makini sana,, wape elimu hao wabunge wasije waka uza nchi yetu.
@josiamwambona2785
3 жыл бұрын
Tz ni tajiri tumalize mirad iliyopo tuende tujenge bagamoyo kwa fedha za ndani tunakimbilia wp tz ipo saana hata vizazi vijavyo vitajenga
@edwardmizambwa237
3 жыл бұрын
Sawa kabisa
@leonardmayunganyamfanka9623
3 жыл бұрын
Yes yes tujenge wenyewe
@danielmbalwa9307
3 жыл бұрын
Mmmmm nashaurii tuendeleee kuziendeleza zilizopo!hapo baady tutaongeza hiyo ya bagamoyo na sio kwa interest za watu
@stevenmabungi3245
3 жыл бұрын
Hii sawa tujenge kwa fedha za ndani naunga hoja mkono🤝
@selinanyerembe2915
3 жыл бұрын
Wanaotaka kujenga bandari ya bagamoyo kwa kutumia mchina wameshakula pesa, sasa wanatishiwa maisha yao, hivyo hawanyamazi!
@samonline648
3 жыл бұрын
Unaongea point sana
@deusdeditswebe8930
3 жыл бұрын
Kaaaazi ipo....pasua kichwa
@christiankambuga9338
3 жыл бұрын
Asante sana mtaalam bandari pls tujenge bandari ya bagamoyo kwa pesa yetu kwa sababu cc tz ni taifa tajili wachina wajikate but SGR tren kwanza
@beaugosseadam6831
3 жыл бұрын
Huu Genge la Kikwete, Ridhwan Kikwete, Nape, Makamba, Muhongo,Ndugai, Assad na Vibaraka wengine watampoteza.
@renatusrevocatus3895
3 жыл бұрын
Assad anaingiaje hapa?
@laprincevonkingpin7793
3 жыл бұрын
yani jamani mimi nipo tayari kuchangia ujenzi,,,kwaowachina nani kajenga?
@stephenndagalla8183
3 жыл бұрын
Mh. Ndugai, Oman hajengi bandari yoyote bali anatoa fedha kwa mjenzi. Hivyo usidanganye eti Oman inajenga bandari Z'bar. Vivyo hivyo Oman wasingejenga bandari B'gm bali wangetoa fedha kwa kampuni la Wachina ambao tungeingia nao mkataba wa kifisadi.
@z.nalnabhani7194
3 жыл бұрын
Kutoa pesa ndoo kujenga na wewe,labda huelewi,mtoa pesa ndiyo mfanyaji ,kwani rais anabeba tofali?lakini tunasema rais kafanya
@fredialfredi202
3 жыл бұрын
Julius wewe ni mtalam kweli kabsaaaaaaaaaa!
@jumannehussen3036
3 жыл бұрын
Mimi nakuelewa Sana mtaalamu hata HAYATI magufuli huwa lengo ni kufanya miladi kwa pesa zetu we mzalendo sana
@frankmsasa948
3 жыл бұрын
Kijana nimekuelewa
@MichaelCharlesBishubo
3 жыл бұрын
Nyie wana habari muwe mnamuacha mtu anazungumza sio kumdakia kila baada ya sentensi. Ebo! Mnaboa. Mjadala mzuri sana tena sana, kasoro ndio hiyo tu.
@burnmotto1876
3 жыл бұрын
Wanasiasa wanataka kuuza nchi hii, wanajifanya wanakuja Sana, ndungai nae siku hizi msariti tu Kama kikwete kiwete
@justinendizeye714
3 жыл бұрын
Anaeleweka kbsa👍
@stewartstepgen3831
3 жыл бұрын
Tunashida na tv presenters. Hoja ni muhimu lkn utoto mwingi
@stanleybupambambogo3334
2 жыл бұрын
Stewart Stepgen
@benmboya6856
3 жыл бұрын
Tecknology inakua kimaajabu. Nikiangalia mbele sana, yawezekana train za mizigo zikajengewa madaraja baharini zikafikia meli huko baharini meli "zinakotua"
@mtumzito4045
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa tujenge heli zetu za ndani jamani
@ThobiasMarandu
3 жыл бұрын
Huyu Jamaa Ni Ngonjera, Ujenge Bandari Kwa hela za Ndani Kidogo kidogo hata kwa Miaka 100. Who does that Mradi usio na Timetable utatekelezwaje???
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
Miaka mia sio time table? Babako alijenga nyumba kwa wiki moja? Iweje nchi iharakishe ujenzi wa bandari huku ikiuza ardhi yetu kwa miaka mia kwa wachina huku ukiona nchi zingine za kiafrika zikivamiwa na wachina wanaong'ang'ania ardhi ya Afrika kwa idadi yao kubwa ya watu kwao? Hivi akili zako ziko matakoni au kichwani?
@nameless533
3 жыл бұрын
Ukibishana nahiyo misukule ya ufipa utachemka
@abu-hasheem6422
3 жыл бұрын
Hawa watangazaji mbona vilaza sana......huyu jamaa ni mtaalam sana na namna wanavyomuhoji......dah
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Wahuni
@kisalaTV
3 жыл бұрын
Hovyo sana mikelele2
@hansdedes1903
3 жыл бұрын
Kipindi cha TV hii kweli Mambo 🍌 banana cha uzalendo kina elimisha wazalendo wakitanzania , tafadhali Sana" mkuu" (mtalaam )endelea kisomo na kuwafungua macho!!**Shukrani Sana.
@designdesign4426
3 жыл бұрын
Good apeech lakini kwa tz nnavyoijua tz watatafutwa wakubwa kazaa watafinyiwa chao watasaini mkataba
@zachariaboniphace2964
3 жыл бұрын
Viongozi c mmefundishwa na Magu jins y ukusanyaj kod? Namaanisha bandar tutajenga kw hela zetu wenyewe
@eyumededu2948
3 жыл бұрын
Kwa nini asingesema wawekeze kwa fedha ndani kama ni muhimu tuna raslimali za kutosha kwa nini wasitafute pesa za ndani
@timboxlee919
3 жыл бұрын
Acheni ufisadi wenu wenu hapa ninyi, hatutaki hiyo bandari yenu ya bagamoyo,mnataka kuuwa bandari ya dar
@jonesmarwa4913
3 жыл бұрын
tujenge bandari ya bagamoyo wenyewee ; mama samia na spika, mtuelewe wananchi , tunataka kujenga bandari ya bagamoyo wenyewe
@brysonmalongoza5422
3 жыл бұрын
Shida tunataka kuifikia marekani kwa siku moja jambo ambalo haliwezekani!
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@brysonmalongoza5422 Bora tusiwafikie lakini syo kuuzwa Kama zambia na nchi nyingine kwa hao wachina
@muhamedishukukurani2898
3 жыл бұрын
Msiwe mnaweka hiyo background Music Wakati wa interview. Mnaboa sana interview nzuri inaharibiwa na hiyo. Acheni kabisa hiyo
@neirahaule7830
2 жыл бұрын
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ufanywe kwa pesa zetu na sio kuwategemea Wachina .
@leahmcharo7306
3 жыл бұрын
Assntee mheshimiwaa
@bakarhasany3694
3 жыл бұрын
Kweli mugufuli alikuwa anajua yajayo NDOO maana hajajenga miradi yake na mikopo maana tunaingia hasara halafu tunadaiwa ingekua shidaa xana mungu amrehem jpm hii bandari tujenge sisi ndugai anataka kuzaa nchiiii
@leonardmayunganyamfanka9623
3 жыл бұрын
Ijengwe kwa pesa za ndan na co ianze kujengwa katika awam ijayo
@joharikitundu
3 жыл бұрын
Mungu Mungu anazidi kutuletea vipaji Tutajenga tu tukipata 10 kama wewe Tuache kuwasiliza walio nje
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
Wazalendo bado tunao sana sema hawapewi nafasi Tujenge na pesa zetu hata kama ni miaka 100 wachina au mikataba ya kununua nchi hapana kama kuna watu washapokea vya matumbo yao waache mara moja
@remedymoody
3 жыл бұрын
Mnaosema tutajenga kwa pesa zetu. Naomba kwanza mtuambie kiasi gani kitatumika kujenga bandari ya Bagamoyo halafu mtuambie ikiwa itajengwa kwa pesa zetu itachukuwa miaka mingapi 20 au 30?
@suleimanmustapha101
3 жыл бұрын
Pesa zetu sio lazima tutoe mfukoni,hata tukikopa benki ya dunia kwa dhamana tulizonazo ili sisi ndio wazimamizi kamili badala ya kuwa chini ya uangalizi wa wawekezaji ambao masharti yao hayana tija kwetu zaidi ya kutupiga pini wakati wakitukamua. SIJUI UNANIELEWA? Kama hujaelewa omba ufafanuzi zaidi.
@remedymoody
3 жыл бұрын
@@suleimanmustapha101 Sawa, lakini unajua wanachukua interests %? Na unayajua masharti yao? Je ujenzi wa bandari na viwanda ambao unahitajia Engineers wenye ujuzi wa miaka mingi na ufanisi wa hali ya juu kuhusu ujengaji wa bandari na viwanda. Utawawapati wapi? Kila kitu kinahitaji darasa la hali ya juu kwa sababu bandari kama hii na viwanda na transportations zake ni multibillion Dollars $ projects.
@suleimanmustapha101
3 жыл бұрын
@@remedymoody hiyo bandari inakadiriwa kuhitaji kiasi cha $10b ambazo ni nyingi kama tutamia fedha zetu itabidi takriban mwaka mzima tusifanye jambo lolote la kimaendeleo ikiwemo kutokuwalipa Wafanyakazi mishahara kwa kipindi chote,kwa uchumi wetu haiwezekani ila tukikopa mkopo wa muda mrefu(miaka 25-50)ni jambo la rahisi sana,tutaajiri wakandarasi toka nchi zenye uzoefu,ni bora baada ya mradi kukamilika mapato yote yatumike kulipa deni ili tunapomiliki tunakuwa hatudaiwi,huo ni mradi wa ki kimkakati na hakuna uwezekano wa kutopata faida ukizingatia nchi zote za jirani tunaweza kuzihudumia ukiondoa Kenya na Mozambique, lakini tutawahumia DRC japo hatupo jirani nao. Mradi ni mzuri,muhimu ila approach za mwanzo zilikuwa mbovu,zikiboreshwa matunda yataonekana mapema,ninaamini ukianza kazi ndani ya miaka 30 utakuwa umejilipa mbali na kuongeza ajira kwa kiasi kikubwa.
@suleimanmustapha101
3 жыл бұрын
@@remedymoody ntu akikudanganya anakujengea na huruhusiwi kumuuliza chochote ndani ya miaka 33,halafu baada ya hapo yeye ndiye mwenye umiliki 99 ni sawa na kukufanya mtumwa ndani ya nchi yako,wajukuu zetu wakija kujua kuwa tulikubaliana na mkataba kama huu watatushangaa,kutulaumu,kutudharau na kutulaani.
@remedymoody
3 жыл бұрын
@@suleimanmustapha101 Ikiwa ni hivyo kweli mkataba ulikuwa mbaya. Lakini mkataba ukirekebishwa kuwa wote ni wenye kupita tija (win/win situation) itakuwa vizuri. Mkataba unaweza kurekebishwa katika % of shares. Naamini faida kubwa itapatikana ikiwa pamoja ajira.
@bisekolugola2082
3 жыл бұрын
Jamani,kwani mda wote huu wa uongozi wake mhimili wa binge,Mh.Ndugai ni tatizo?
@ThobiasMarandu
3 жыл бұрын
Ukweli Ni Kuwa Ndugai, Issue ya Bandari Hapo Hajafanya Unafiki kwa Sababu Nilimsikia Akiwa Na Msimamo Huu huu hata Wakati Magufuli Akiwa Hai.
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
Mamake anayo wetland .. kama hiyo wetland inaweza uzwa kwa wachina kwa ajili ya bandari akaweke msimamo hapo.. bandari ya watanzania itajengwa na pesa za ndani with total Tanzanian gov's ownership period! ufisadi wa kuuza mali za umma kwa wageni .. huo bado ni unafiki kwa uhuru wetu.. !
@hamadhilal8737
3 жыл бұрын
Ndugu unafik maanayake ni kuwa na ndimi mbili aliniambia JPM vengine na leo anasema vengine huo ni unafik
@hamadhilal8737
3 жыл бұрын
Umechelewa jamvini
@hamadhilal8737
3 жыл бұрын
Kama ni hivo ni sawa sisi wengine siku zile tuli switch off enzi zile za kuimba mapambio
@abdulkatalango2890
3 жыл бұрын
ni kweli kaka watanzania wengi si wafuatiliaji wa mambo ila ikitokea issue utawaona watu wanakoment bila kujua historia ya jambo lenyewe
@kelvinwambura8083
3 жыл бұрын
Bilion kumi dola Tuongeee na nchi zingine za Africa wanunue share za kujenga bandari
@aviationwonders7575
3 жыл бұрын
Hata Waafrika wengi wenye pesa za kununua share Diaspora na wa Tz pesa ibaki Africa
@josephnchunga1247
2 жыл бұрын
Bunge linapelekwa pelekwa kama Gari bovu ,hata hii bandari ya bagamoyo wanayo ipigia debe ijengwe wakati mh hayati john pombe Magufuli aliukataa huo mradi lakini sasa hivi Hawa viongozi wamekubali mazungumzo yanini kama hakuna maslahi binafsi kwao.jpm ndie Aliekuwa na maono mazuri.
@narcissusmakenge4710
2 жыл бұрын
kupanga ni kuchangua tumalize miradi iliyokwishaanza reli, bwawa la umeme n.k kisha bandari ya Bagamoyo kama mradi wa muda mrefu si lazima ajenge Kikwete.
@yusufsaluh3554
3 жыл бұрын
Safi sana mtaalam
@jumaamartin7929
2 жыл бұрын
Kwakweli watanzania tumtangulizen mungu kwa kila jambo letu
@edisonkashaija4067
3 жыл бұрын
Ndiga.. ameanza kuzeeka na cc vijana wa kesho tukue tukute nchi yote imeishauzwa vipande vipande akwende zake na cku mbuge yyte akijangia hoja ya kubinafsisha bandari ile hasirudi jimbon kwake kuwaeleza mambo hayo watamuhengua
@johnmbilinyi1276
3 жыл бұрын
Suala ni kwamba hatutaki mwekezaji mwenye masharti magumu km wachina, km Magufuli alivyofafanua.
@mosesmjahas7528
3 жыл бұрын
Kwa mjadala huu naanza sasa kupata matumaini ya Tanzania mpya iliyokusudiwa na Raisi wetu hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli tuwakatae vibaraka na wasaliti wa Taifa letu
@edwardmizambwa237
3 жыл бұрын
Eti ndani ya siku mia na bandari Zanzibar inajengwa, watu wa familia moja kila mmoja atakuwa na mtindo tofauti ya maisha. Bandari hii tuijenge sisi wenyewe (kwa pesa zetu za ndani).
@kisalaTV
3 жыл бұрын
Kinywa soda baba , maneno makini sana
@isakabaragomwa296
3 жыл бұрын
Mengine yamewezekana ndani yetu iweje hili lishindikane.?? Tutaijenga wenyewe kwa maslahi yetu na sii vinginevyo.
@jaffaryally2625
3 жыл бұрын
Kabisa vyombo vya habari na wachambuzi asanteni sana sana kwa uchambuzi huo wa banndali_ kwasababu ukiambiwa uchague akili na pesa ?utachagua pesa kwasababu akili umezaliwa Nazi_tunakaka miladi ya reli iishe na Umeme uishe;*kwani wanatengua wanalazimisha bandali kuna ni ni hukoj? Nchi hii sasahiv hatutaki kuyumbishwa hayati jpm alisimama sawasawa kwa maslahi ya watanzania
@devidkingu2439
3 жыл бұрын
Kipindi kizuri bt hiyo miziki inapoteza utulivu wakuvuna madini
@rehemashabhay2205
3 жыл бұрын
Hapo watu hawakatai faida au hasra.twjua faida ipo na hasra itakuwepo.Hapo tukataa masharti ya Wachina ya kukataa TRA kukorecti kodi miaka 30 na miaka 90 kufanya ardhi ya Bagamoyo yao...jamani Ndugai Muogope Mungu.. Waomani Waoman unajua wanachotaka?????????????.mmm.tupo.Mungu saidia Tanzania.
@hassanmbwego4233
3 жыл бұрын
Mm naona tusimjaji mchina kwa nchi nyingine alivyofanya kwan hata hao unaowataka wamezifanyia nchi nying mabaya ukitaka nizitaje uwanja wa meseji utakuwa mdogo
@gynae8407
3 жыл бұрын
Tujenge wenyewe huyo jama Spker analake jambo. Tutajenga wenyewe kwani tumefanya mangapi tena makubwa kuliko hiyo bandari. Wachina sio
Пікірлер: 325