Am commenting from Mombasa Kenya.... great wise leader congratulations RC Chalamila
@richarddavidmk
5 ай бұрын
Umeongea sawa Rc Leo nime kukubali.matapeli wana tapeli mamilioni ,arafu wanakimbilia kesi ya madai ,mahakammah zetu Hovyo sana.
@edwardpeter8569
5 ай бұрын
RC anaongea logic halafu kichwa cha habari cha hovyo, waandishi wa form 4 failure hii ndio shida, badala ya kueleza Mhutasari wa kikao cha RCC tittle ety sakatabla waziri kuvunja nyumba poor journalism
@m404msigara7
5 ай бұрын
Wenzio wanafnya kukushawishi wewe ili wapate viewers.. baada yakuona muhtasali.. umekimbia moja kwa moja kutaka kujua nini Kimetokea.. wenzio wanaangalia kitu kilichosambaa zaid ndani ya mwezi huu kinacho relate na habar yao
@gressnamika
4 ай бұрын
Unaweza kuwa unasema ukweli. Kuna class mate wangu alipata zero o-level hajawahi rudia mtihani wala kujiendeleza ila ni mtangazaji na mwandishi pia.
@DM_15
5 ай бұрын
Safi sana kaka hongera sana kaka Mungu akubariki. Imagine kiongozi anaongeapoint hiv halafu anao waongelesha hawahifadhi kumbukumbu kwakuandika . Naona tuu wanageuka geukatuu nikama vitoto vyashule kamanda polis tuu ndoonaona yupomakini anasikiliza haowengine wengiwao wana zungusha zungusha shingo tuu adhiif wanasikia mwangwituu hawajuinani anaongea
@makongorowassira6593
5 ай бұрын
Umeangalia vizuri sana, na hiyo ndo kawaida ya vikao na mikutano ya serikali yetu. Hakuna anaejali kihivyooo😂😂
@jamalmwenda3278
4 ай бұрын
RC Chalamila Hongera sana. Umeongea vitu very logical. Ni jicho sahihi la Mama kwa Dar Es salaam. Unastahiki kuwepo Dar Es salaam. Hofu watekelezaji. Japo Heading ya habari hii haikuwekwa vizuri. Very Wise RC.❤❤
@jamalmwenda3278
4 ай бұрын
RC Chalamila Tena umeongea kwa mapemzi makubwa kwa Wana Dar Es salaam wako.🎉
@PhilipMsasa-uj6cu
5 ай бұрын
,,huyu ndo chalamila yule tunayemjua sio yule wa masiala mengi,,💪💪
@mwassajoseph8675
5 ай бұрын
Mama Samia usituhamishie huyu RC ndo anaweza kufanya kazi na wanajiji hili! Congole Mr RC
@Ntambala-oy2us
4 ай бұрын
Mlilo ana fanya kazi sana wananchi tuendelee kumpa ushirikiano wa kutosha.
@aaroneu07
5 ай бұрын
Mheshimiwa RC unajua kujenga hoja vizuri sana sana. Keep it up, my brother.
@prosperkullaya6721
5 ай бұрын
Anafaa sana kuwa rais wa tz akimaliza muda wake mama yetu na mungu atubariki wote Tanzania
@kefakihila7495
4 ай бұрын
Hio Tz iwe ya ukoo wenu tu
@praygodlema5166
5 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mawazo na mtazamo wako vikiweza kuigwa na watendaji tutakuwa na Jiji safi lenye kuvutia Nimeikubali speech yako mkuu
@lindermuro8113
4 ай бұрын
Mheshimiwa Chalamila Hongera sana una maono put it into perspective
@AbrahamKyejo
5 ай бұрын
Point zakuzidi Mungu akupe maisha marefu ya uongozi❤❤
@jacksonndabhisiye4848
5 ай бұрын
Mkuu umeongea mambo muhimu sana yakifanyiwa kazi kwa asilimia kubwa yataleta impact kubwa vile vile kwa jamii husika
@alih561
5 ай бұрын
uko vizuri chukua tano kaka
@abdulpagali7476
4 ай бұрын
Kweli Mwalimu hasahau kazi yake. Kanipa somo: mwanafunzi anayeigizia mwenzake ataendelea kumuigizia mwenzake hadi anapokuwa kiongozi kwa jambo fulani la kufanya na hata namna ya kulifanya. Please leaders, be pro-active, creative, innovative and effective in whatever undertakingin the areas of jurisdiction. Dar ed Salaam is the economic hub of our nation. We the citizens of Tanzania take your city as role model for our communities in the peripheries. May God bless Tabzania's good-willed leaders.
@mariambelwa1644
5 ай бұрын
Hongera mnooo RC Chalamila..Daressalaam inanukaa,hakuna mpangilio, mabaa kwenye maeneo ya makazi,kelele zinazokosesha utulivu,uchafu Kila Kona..we have to take action immediately ..UTATUSAIDIA MNOO MKUU..DAR iwe Jiji la hadhi
@mariambelwa1644
5 ай бұрын
Hakika Sasa nakuona unaenda kuchukua hatua stahiki.. UBARIKIWE SANA
@user-rh6uk4jl1k
4 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa 1000%
@phantyrhymes9536
5 ай бұрын
Nakuona mbali sana mheshimiwa. Hongera sana.Unamaono mazuri kwa Tz.
@rosetreffert4179
5 ай бұрын
viongzi wote watoke maofisi maana wengi wanakula mishahare ya bure ...chalamila mungu akusimamie katika kazi zako
@talgwuconfidential
4 ай бұрын
RC yupo vizuri sana, piga kazi kaka
@deven.oauditx7547
5 ай бұрын
Tatizo kwenye kuongea mko vizuri sana ila utendaji zero. Kila mtu analalamika hata wafanya maamuzi wanalalamika.
@robertsimpungwe3901
5 ай бұрын
Hakika leo umezungumza point sana hasa kwa hawa matapeli wanachukua pesa za watu halafu anakuambia madai kale kasheria ka utakatishaji kalikua kiboko yao tusingewaona hawa matapeli wenye backup ya vyombo vya dola na mahakama.
@vidawillis1894
5 ай бұрын
Sure
@samwelipeter8410
5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa dar es Salaam hongera sana unachapa kazi mwenyezi mungu akulinde
@reubenmajambo1270
4 ай бұрын
Siku hizi kabadilika tofauti na Miaka ya nyuma
@ahmadiomari6913
5 ай бұрын
Waambie kabisa nakupenda mkuu wetu uko vizuri.
@gwaluganoa.mwakatobe3183
4 ай бұрын
Press briefing bora kabisa kutoka kwa RC wa Dar
@apostle_AngazaGN
5 ай бұрын
Bro ukituliaga una mawe ya kujenga nchi kabisa, keep it up
@user-yy7zw4ks4h
5 ай бұрын
hongera sana mkuu wa mkoa kwakulisemea suala la usafi katika jiji letu, ila zile sehemu zoto zilizo katazwa kufanyabiashara na hawekewa matangazo ya hairuhusiwi kufanya biashara hapa watu wamerudi kama kawaida wanaendelea na biashara kama kawaida na hakuna anaeshuhulika nao? Jambo lingine hebu liangalie pia hili la askari wa usalama barabarani /trafic police hawa jamaa sasa wanakoelekea ni kubaya, yaani baada ya kufanya kazi wanayo takiwa kuifanya, wao ni kujibanza vichochoroni na kuchukua rushwa , ni kero kubwa, na pia wanalipaka matope jeshi la police
@georgebossgg
5 ай бұрын
From Nairobi I like listening to this guy.
@amirmahanyu740
5 ай бұрын
Mkuu ameonge mambo muhimu ,sahihi na mazuri sana. Nampongeza lakini sikuzote mtu akihukumia kwa makosa yake huwa hafurahii!!! Piga kazi RC-Dar
@levinachuwa7622
5 ай бұрын
Big up kiongozi wetu! Mwenyezi Mungu akupe HEKIMA kama ya mfalme Suleman kwa UTUKUFU wake. Mungu akupe ulinzi unapotumika shambani mwake 🙏🏿
@taisonkalinga5711
5 ай бұрын
Asante kiongozi wetu@RC DSM mageuzi ya kifikra na mitizamo ni dawa kwa taifa letu. Hayo ni maono mazuri
@Jayhood28
5 ай бұрын
Asante Sana..
@denisstanslaus8839
5 ай бұрын
Dar es Salaam Ragional Commissioner has a greatest vision with this City. Let's his subordinates support him.
@anthonymgina3893
5 ай бұрын
A Great RC ever, hongera Mh Chalamila.
@oscarngomuo7450
5 ай бұрын
Very good speech our RC Chalamila.
@emmanuelaaronlyatuu8208
5 ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa, hili la machinga linatesa sana ata wapita njia, Mwenge na kwingineko ikifika jioni wanapanga bidhaa kwenye njia za miguu zilizojengewa kwa paving, watembea Kwa miguu wanakosa Haki yake. Na ni wababe ukitembea unasukumana na hutakiwi kukanyaga bidhaa zake.
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
5 ай бұрын
Powerful said
@ramadhanlesso3455
5 ай бұрын
Hongera sana Muheshimiwa kwa kazi nzuri. Ushauri wangu muingie mpaka ofisi za ardhi kuwasaka maofisa wanaosaidia matapeli.
@azzaalhabsi1505
5 ай бұрын
Kweli maneno yako muheshimiwa.leo nilikuwa beach moja hapa dubai nikaikumbuka coco beach yetu ya tz nikajichekea moyoni.yaani ukienda pale unaishia kukalia kinyes na mikojo japo panatuliwaza kwa kias fulan. Point nyingine nilioipenda hapo hao wafanyabiashara wanao vuta pesa za watu baadae wanafungua kesi ya madai kuwasumbua wateja wametoa cash.hii ni sawa kabisa watafutwe na wakomeshwe.
@user-ef7hs4sb7w
4 ай бұрын
Jambo tv kichwa Cha habari mmezingua
@eliasmwakalindile8939
5 ай бұрын
Godbless one day in future contest presidential post.🌹
@user-dk5kk4rf3v
5 ай бұрын
Waziri anavunja gorofa... sio akili hiyo...
@emanuelmushi9917
5 ай бұрын
Maamuz magumu mzee
@waluohopaulo2116
5 ай бұрын
@user-dk5kk4rf3v..wewe kibinafsi ungefanya nini.
@kiatu
5 ай бұрын
Hatuwezi kuendelea kwa kuvunja sheria
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
5 ай бұрын
Sheria ni maisha
@richarddavidmk
5 ай бұрын
Kuhusu matapeli Baba kazia hapoooo.sikuhizi imekuwa kawaida mtu kufungua kampani kiharali na kuanza kutapeli watu ,akikusudia.kurudisha pesa kidogo kidogo. Safisha jiji hilo kwa chuma💪
@mathiasmuhochi435
5 ай бұрын
Hongera Kiongozi...Umeongea points👊
@AbrahamSekuza
5 ай бұрын
Kumbe sasa nimekuelewa safi sana hizo ndio busara za uongozi lakini CCM watasema usiwabudhi wapiga kura wao
@minanikafugugu6035
5 ай бұрын
Huyu jamaa akiweka chini pombe na masihara ni kichwa kizuri sana, big up sana anakitu ccm hawajawahi kosea
@joachimedifon9919
5 ай бұрын
CCM wasingekosea Makonda asingepata midudu ziarano. Lkn Chalamila ni kichws kina mafini.
@sultanhamad4924
5 ай бұрын
Namuona kabisa magufuli mpya hongera sana mheshimiwa chalamila umeongea points tupu ishi katika mwenekano huu wewe nikuongozi mkubwa huko mbeleni
@bonifacedanielmwakisunga9638
5 ай бұрын
Shida kubwa ni viongozi wengi si watendaji wanakaa ofisini si wabunifu kabisa Hilo ndio shida chalamila Sheria zipo awazifuati kutekeleza jiji lingekuwa nzuri sana
Huu ndio uongozi Tunao utaka, unao balance Sheria,haki,wajibu,fursa za Maendeleo, haki za mnyonge na tajiri wakati hjohuo kuheshimu viongozi ,kuonya,kukemea, kutambua mchango wa kimaendeleo wa viongozi wenzake nk. Hakika Chalamila wewe ni Kiongozi. Bwana akuongezee hekima na maarifa zaidi.
@user-le7cc9zk4d
5 ай бұрын
Mimi kila siku huwa nasema huyu RC Yani anakitu kikubwa sana kichwani mwake Yani Mungu akupe maisha marefu mimi nakuelewa kwelikweli
@Masallah_kulangwa44
4 ай бұрын
RC plus Mrilo Dsm tuko Salama kwa hisani ya Jemedali wa kivita General Camilius Wambula. Sio wakati rafiki kwa waharifu Dsm na Tz hoyeeeee
@zobakazizi7637
5 ай бұрын
Nashangaa magari kupaki sehemu ya njia ya watembea kwa miguu.
@allymohamed2724
5 ай бұрын
TENA OFISINI KWAKE, AJABU DEREVA WA SERIKALI PIA HIVYO HIVYO
@scolastikapeter5892
5 ай бұрын
Maelekezo na taarifa nzuri tayari VITENDO tuendelee kusubiri
@gloriousmushi3551
5 ай бұрын
RC UPO VIZURI SANA.Wewe ni kiongozi Mwenye maono
@roselinemoshi5008
5 ай бұрын
Thank you ❤
@jack2010ization
5 ай бұрын
Kiongozi nimependa maelezo na maono yako hongera sana naongeza jambo hapa kuhusu njia zawapita kwa mguu sehemu zenye watu wengi kama vituo vya mabasi wenye pikipiki wanaziba njia bila kujali wapita kwa miguu
@wadhhasuleiman2621
5 ай бұрын
Kuongea na kutenda tofaut Wana mipango mizur lkn utekelezaji 0
@barakamanga5502
5 ай бұрын
Na ukisema wakupishe wanagoma au Wana kutukana ,
@user-bp2cc9eo6g
5 ай бұрын
Good speech🎉🎉🎉
@annamwakibinga527
5 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde sana
@mohammedsaqry3036
5 ай бұрын
Well said ulikuwa wapi siku zote Dar es Salaam imekuwa zogo vurugu msongamano shida tupu
@user-sj3wf5vz7l
3 ай бұрын
Mahakama zilishakuwa za hovyo. Kila anayetaka kuiba anakimbilia mahakamani maana anajua huko anaweza kununua haki. Sasa ifikie watafutwe mahakimu wakufanana na chalamila au makonda ili mahakama zetu zipate hadhi. Siyo mahakama liwe kimbilio la majizi
@NeemaMlay-jb6zj
5 ай бұрын
Point sana
@allymohamed2724
5 ай бұрын
MH, NJE YA OFISI YAKO, JE DALADALA ZINAZOZIBA BARABARA ASUSANI KAWAWA ROAD..................... WANAPIGA DEBE MAGARI HADI YAJAYE BADALA YA KUSHUSHA NA KUPAKIA KISHA KUONDOKA. LATRA WANATAKIWA KUWEKA VIBAO KUJONYESHA, MF 1. KAWE, MBEZI, COCA COLA. 2, MAKUMBUSHO CM 2000, 3. MBURAHATI, MANZESE, MABIBO. HII ITAONDOA FOLENI NJE YA OFISI YA UMMA.
@kazinaimwishehe-ec3xu
5 ай бұрын
Ccm sio mbaya bali baadhi ya watendajiwake si watu wazuri kwamaana sisi kisukuru tunakata mbili kata A na B atuna ata open space ata moja tulikuwa na kiwanjaa champila ambacho tulicheza apo kwamiaka 30 leo viongozi wamesema kuwa et kuna mwenyekiti ccm kapigasimu kwa kuwa eneo lawatu du ali hii sinzur mataperi wengi wanazurumu maendeleo yetu embu njooni kisukuru mujionee almashauli wanavyo vavanga
@Official83640
5 ай бұрын
Kila kona viwanja hakuna tazama Mbezi Luis uwanja wa mpira ulikuwapo pale shuleni lkn walichofanya wamejenga soko baadae uwanja ukawa kule kwa Beda lkn wakaona haitoshi ndy imejengwa stand kubwa ya Ma bus Magufuli Teminal haya wapi watu wafanye mazoezi ya mpira😂
@user-vm7cp8gx7e
5 ай бұрын
well said brother
@user-sj3wf5vz7l
5 ай бұрын
Aliyetaka kuwekeza si alikuwa manji kama nakumbuka . Alikuwa na michoro ya coco beach
@dorismargarethmgone2658
5 ай бұрын
❤❤❤Great leader 👏
@samwelidomayo6195
5 ай бұрын
Minakukubali sana mngepatikana kama 6 tz ungenyooka mahakamani shida had police mungu2 akupeujasiri usifike huko
@rosetreffert4179
5 ай бұрын
honger kiongzi uko vizuri
@mwalagokache375
5 ай бұрын
Namuelewa sana huyu ndugu madini anayoyatoa ni great yachukulowe kizalendo Simuoni kuongea kichawa huyu anasimama kizalendo popote awapo kana kwamba ni home hivi ndivyo tunataka kuisogeza Tanzania naipenda Tanzania Kwa moyo wangu wote Mwenyezi Mungu amuhifadhi kaka yetu kiongozi mahiri jicho la ubadhilifu na asadi limuhepuke
@esterngirwa1022
5 ай бұрын
Mimi mwenyewe nimetapeliwa 2,500,000= namke wa Askari kila nilipofatilia kutumia mapolice wenzake wanafka hatua hawanipi majibu ni kama wanamlinda ndugu yao. Amerudisha maisha yangu nyuma nimtaji pekee niliyokuwa nao nilimuagiza mzigo uwa anaenda china. Toka mwaka jana mwezi wa saba mpaka Leo. Hata duka nimelifunga maana sina mtaji wa kuliendeleza ( Nimke wa Askari na wanakaa kwenye nyumba za Serikali JKT kurasini) Inasikitisha sana kama mke wa Askari anafanya hivyo je raia wa kawaida watafanya Nini? ( Na haki haitendeki kisa Mume wake ni Askari) Na je huyo askari akipelekawa tapeli au mwizi atamchukulia hatua gani? wakati yeye mke wake anatapeli watu na kutumia nafasi ya mume wake kumlinda kesi imefka mpaka kwa mwanaume lakini hakuna kinachotendeka
@aryanamendes8700
5 ай бұрын
Siku hizi china kiiiganjani unatapeliwaje
@esterngirwa1022
5 ай бұрын
@@aryanamendes8700 umeona ila huyu nilikuwa na mjua sema taamaa na watu wanatumia nafasi zao kunyanyasa wengine ila Mungu atashughulika nae yeye anahukumu kwa haki hanaupendeleo
@silvesterrichardhelenya1319
5 ай бұрын
Subiri hao walioitwa wameua wamepora utawaona uraiani muda si mrefu maana polisi kumpa mtu kesi ni swala la kwaida ndiyi maana huwa hawafungwi kwa sababu frem kesi za polis huwa siyo nzuri
@WestonMbuba-ff4jk
5 ай бұрын
Kwenye oparesheni chinga mje na hapa mbezi standi ya kuelekea malamba mawili. Barabara hazipitiki kabisa
@ruwaidamabrouk1797
5 ай бұрын
Mh mkuu wa mkoa Unaongea logic sana kuna wasenge hawatakuelewa respect sana kwako mkuuu
@hassanmsipi4094
5 ай бұрын
Umeongea Kwa Jazba Sana!! sio vizuri
@peternyambui7492
5 ай бұрын
Safi sana ndg. Chalamila!
@user-fj9us8gq4e
5 ай бұрын
Safi sana
@bonifacedanielmwakisunga9638
5 ай бұрын
Shida sio kujifunza kw wenzetu Bali ni utekelezaji wanaenda kutembea tu wakirudi ukiwauliza umeona Nini wanashindwa kusema awajui kuandika wakati sisi inatakiwa tuwe mbali ni viongozi kubadilika Awana maono kabisa inauma sana unaona akuna wanachofanya
@user-wg9lc1mo5f
4 ай бұрын
Ulialibumbeya ulekebishe dr umefel wews
@user-wg9lc1mo5f
4 ай бұрын
Uko kanisan au aise mnafel sana huyuvile huyu hiz
@wanyalugendo4776
4 ай бұрын
Sawa ila tuangalie na upande wa pili coco beach ikiwekezwa wale wanaenda kupungupa upepo bure watatoeka, bia zitapanda bei zita lingana na slipway, mihogo ya wazawa hatutaiona, itakua sehemu ya kitajili, na wajasilia mali watatoeka, na fikiri ndio maana hao wengne wana geuka geuka, wanaona tutakosa sehemu za mtanzania mwenye hali ya chini ku enjoy
@mushiwamaua5089
5 ай бұрын
Nakubaliana kabisa na hotuba yako Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
@fidekalinga2777
5 ай бұрын
Hongera sana
@gabrielmajaliwa1988
5 ай бұрын
Nawauliza ninyi watia habari hiki kichwa Cha habari mlichoweka hapa na haya yanayosemwa na Mh RC yanaendana kweli ? Ila hii migogoro ya Ardhi Kwa kweli ni changamoto sana Huku Temeke sisi tunadhurumia kila iitwapo leo
@evaemil856
5 ай бұрын
Sasa itabidi kabla mtu hajajenga asiamini kibali cha ujenzi Bali akapate OK from mkuu wa mkoa na waziri wa Ardhi ndiyo ajenge. Maana mahakama haina nguvu. Je mahakama imeamuru hizo nyumba kubomolewa? Si bora mngezinadia tu watu walipwe pesa au mvamizi mtuhumiwa amlipe huyo mshtaki pesa kulingana na thamani Ya kiwanja, pain and suffering. Ubabe mwingine mmh kifo.
@alhajikangalawe6178
4 ай бұрын
Nimeona points nyingi sana... Na huu ndo uongozi
@godlivingalfred7096
5 ай бұрын
Mkuu umeongea vyema sana na kwa hili nakupongeza. Tumekuwa tukisifiwa kwa kuongea vyema lakini utekelezaji ni changamoto. Nakuomba yafanyie kazi uliyoyasema hakika yatapeta impact kubwa. Najua watu ni wagumu lakini mipango ikiwa mizuri tutaelewq tu.
@octavianikwabe
4 ай бұрын
Anaposhughulikiwa huyo mwanamke wa Arusha pia na kampuni hewa ya Jambo Afrika nao wakamatwe kwa kuwa wameliza wengi na utaperi wa mikopo ya pikipiki na bajaji na maguta.
@othannmpoli9896
5 ай бұрын
Uncle your very good my God bless your good targets!!
@petercley6230
5 ай бұрын
Speech nzuri
@fredrickipembe8188
5 ай бұрын
Chalamila oyeee safi sana mkuu wetu
@mswaki_newstz
5 ай бұрын
Hongera kiongozi
@user-ij3eg3nf6k
5 ай бұрын
Chalamila nikiongozi wa mfano unamaono mungu akubariki akupe nguvu uendeleze mapambano
@peacemwesiga
5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤Chelamilaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
@user-mortone
5 ай бұрын
Great
@ngambikomsu64
5 ай бұрын
Una akili, ila wakati mwingine inajizima data inaendekeza uchawa
@khalidballeth5957
5 ай бұрын
MH...Rc siku zote ukiwa sirias kiasi hiki,,,,utafika mbaali saana
@user-wu3ld2ti1k
5 ай бұрын
Maneno mazuri muheshimiwa, but utendaji zero
@khamishassan4834
5 ай бұрын
Yaani mheshimiwa unapita mle ambamo akiki yng inawaza, ni vitu vizr Sana yaan
@livingstonempuso4200
5 ай бұрын
Leo braza Upewe maua yako 🌹🌹🌹
@user-wq9jq7pm7q
5 ай бұрын
Ongera Sana kwa mawazo yenye tija arimashauli zetu wako tayati kukopa kibanda chanyanya kuliko kiwanda
@user-wi8og3sv4j
5 ай бұрын
Waigilizaji ni wazuri and app wataigiliza yale mazur
@bakermusa9033
5 ай бұрын
Mkuu unaongea na vilaza wa Taifa . Kaigilizie Rwanda online hamna haja ya kuchoma pesa za walalahoi
Пікірлер: 235