#Salama #JemmimahThiongo #AfricanGospelSongs #SwahiliMusic
Song: SALAMA
Song Writer: JEMMIMAH THIONGO
Composer: JEMMIMAH THIONGO
Audio: DOMINIC KHAEMBA
Video: DEFT MEDIA FILMS
Executive Producer: JEMMIMAH THIONGO
Subscribe to Jemmimah Thiong'o Official: / @jemmimahthiongooffici...
CONTACT INFO:
Email: jemmimaht@gmail.com
Facebook: / jemmimahthiongoofficial
Instagram: instagram.com/...
LYRICS
(Intro)
Ni salama, Mimi ni salama,
Ni salama moyoni mwangu ×2
Verse 1
Nimejificha kwenye mwamba, Mwamba usotingisika,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Maana yesu ndiye mwamba, Tena maficho salama,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Mwenye nguvu na mamlaka, Ametawala moyo wangu,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Sioni haya kutangaza, Ye pekeee ndiye ngome yangu,
Ni salama, Moyoni mwangu,
(Chorus)
Salama, Moyoni,
Ni salama, Moyoni mwangu, x2
Verse 1
Kwa kadri ya haki yake, Ninamwimbia wimbo mpya,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Aliye nitoa shimoni, Wema wake unanitosha,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Nimtafute alotamalaki, Jemedari mshinda vita,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Siogopi maana najua, Ye hutanguliwa na moto,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Verse 2
Jua liwake kama moto, Sitazimia ye yu nami,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Garika ije na hakika, Sitasombwa ye ndo mwamba,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Apiganae vita vyangu, Amenificha kwa mbawa zake,
Ni salama, Moyoni mwangu,
Na nitaimba sifa zake, Milele milele daima,
Ni salama, Moyoni mwangu,
(Salama, Salama)
Salama, moyoni (Mwangu),
Ni salama moyoni mwangu,
(Hallelujah namwimbia mwamba wangu)
Salama, moyoni (Aliyenitoa shimoni)
Ni salama, Moyoni mwangu,
(Atanguliwae na moto)
Salama, moyoni,
Ni salama, Moyoni mwangu. (Namfuata maana najua)
Salama (Ni salama), Moyoni,
Ni salama, Moyoni mwangu.
(Hallelujah, Halellujah)
Salaama, (Aiyayaya) moyoni,
Ni salama, Moyoni mwangu.
Негізгі бет SALAMA |Lyric Video| by Jemmimah Thiong'o
Пікірлер: 91