Binadamu tumuogope Mungu. Tuache comment za Matusi.tuwe na hekima, matusi si lugha nzuri mbele za Mungu na wanadamu.kama taarifa zinakukwaza comment kwa hoja sio matusi.siku njema
@IddinhoHamza
Сағат бұрын
Kaka uko vizury sana❤❤
@ErickJeremiah-ry4pw
Сағат бұрын
Kaka Kisugu kasema we ni Mamuluki tu unstumiwa vibaya 😂😂 Alfu kasema uache kukataa vitu vya kupima 😂
@kamazimamuganyizi6932
49 минут бұрын
Mtu yeyote ambaye ni mwanayanga awezi kufurahia hii habari,😅😅 lkn ndo hivo inabidi wawe wapole
@zunyagapeter4647
16 минут бұрын
Kuna majitu mengine hayajui mpira mtu unatukana matusi ujue huyo mtu hajui mpira ,mpira ni furaha na burudan Sasa matusi yann
@NkigilaMisri
2 сағат бұрын
Mmmmh
@andrewlusambo7123
34 минут бұрын
Asiwe anaiponda Simba awe anaongelea mpira tu
@ZabibuMwenda
Сағат бұрын
Mishavu kama mimba ya mbwa
@ramadhanihabibu-xp3wd
2 сағат бұрын
Sijaelewa matusi yana kujaje hapo
@brighmmasy3646
Сағат бұрын
Wewe unaetukana una mapungufu ya afya ya akili
@jamalisalimu2754
Сағат бұрын
Astaafiru llah......
@chriskudilla5355
7 минут бұрын
Muongo huyu
@shamissuleyman4894
2 сағат бұрын
Tuwe waungwana jamani matusi hasa kwenye soka hayapendezi
Пікірлер: 14