Sauti yake..mashairi yake..huzidi kuwavutia shabaki zake🔥... Masha Allah salim Allah awe nawe kaka yangu❤
@SalimAlly
5 ай бұрын
Aaaamin ya Rabbi asante kwa sote inshallah
@maryammas
5 ай бұрын
maa shaa Allah 🎉🎉🎉🎉 salim aliy upewe mauwa yako 🎉 Allah akuepushe na kila shar na akuwekee kila la kheir aamin ❤❤❤
@mamzain2021
5 ай бұрын
Aamiin aamiin
@mamzain2021
5 ай бұрын
Aamiin aamiin
@SalimAlly
5 ай бұрын
Aaaaamin aaaamin asante shukran sana kwa sote inshallah
@user-uq4hh3cv7t
5 ай бұрын
Mashaallah nakupenda wallah kwa ajili ya Allah.
@SalimAlly
5 ай бұрын
Asante nakupenda pia
@shabikiwasalimally1637
5 ай бұрын
Maaashallah Salim Ally unafanya kazi kubwa narejea tena wew ndio namba moja Africa Mashariki❤❤
@mamzain2021
5 ай бұрын
Naomba ipigwe pin hii Comment 😊
@Zayn.39
5 ай бұрын
💯💯❤ exactly
@SalimAlly
5 ай бұрын
Jamani asanteni shukran sana
@maalimzhen9981
5 ай бұрын
Maşallah sauda wa salim Ally ❤
@BMSChasasa
5 ай бұрын
Mashaallh tabarak allh mungu akuzidishie kipaji chako Salim ally hongera sana allh akusimamie
@mamzain2021
5 ай бұрын
🤲🤲🤲
@Allysuma-kk7cv
5 ай бұрын
Masha Allah kazi nzur sana salim na usije tuangusha man tunakutegemea sana na tutakuja kukumbuuk san Allah akupe nguvu akupe uwezo uzid kutupa vitu kam ivo amiiin 🙏🙏
@shabikiwasalimally1637
5 ай бұрын
Maaashallah Allah ampe umri mrefu na afya njema
@mamzain2021
5 ай бұрын
Aaamiin aamiin na amlinde na kila baya
@SalimAlly
5 ай бұрын
Aaaamin ya Rabbi asante kwa dua. Sitowaangusha inshallah wapendwa na nitajitahidi kufanya kazi nzuri zaidi inshallah na Allah ndio ninaemtegemea kwenye hili.
@Allysuma-kk7cv
5 ай бұрын
Yan kw kwl me. Sija muon munsheed anae mfika salim ally yan me naon sijui nikwmby dunia mzm hakun kam yy man me sija muon na wal sija skia kwnz mungu amempa kipaji anaeza kukutungia nashed hapo hapo Masha Allah❤❤ mungu akubarik na kaz zako na istoxhe salim usije ikosa nashed ya mrembo sauda ukija pemba plz
@7Ammy69
5 ай бұрын
Acha kukufuru kijana kuna walokuw bora zaidi yake
@Allysuma-kk7cv
5 ай бұрын
@@7Ammy69 nitaftie kam umemuon
@mamzain2021
5 ай бұрын
Ndugu watu na mapenzi yaoo km unaona hafai kampe izo sifa unaemtaka ila wenzio tushakubali ivo na ndo tushasema😊
@adamududu1260
5 ай бұрын
Kwa kipi? Au kupenda KUimba WANAWAKE?
@mamzain2021
5 ай бұрын
@@adamududu1260 icho icho ambacho kinakushughulish ww hadi sasa uko kwenye page yake na unacomment hadi sasa
@sharifathamid8205
5 ай бұрын
Maaasha Allah like Elena Like Sauda. Lakini Salim Ally una sauti nzuri natamani ningekuwa na wew❤❤❤❤❤❤
@SalimAlly
5 ай бұрын
Mhhh sijui vipi
@hafsaalbaalawiy7982
5 ай бұрын
Wooow wonderful ❤🎉Mashallah ❤💯💖🥰💕
@SalimAlly
5 ай бұрын
Many many thanks
@MwantumDaud
5 ай бұрын
Mashallah kz nzr sn salim
@user-cv3ht4jn2t
5 ай бұрын
Kuna watu wanapew sifa tu lakini kuna watu wanaimba hasa.Salim Aly sio msanii anaepewa sfa za uongo lakini ni msanii wa muda wote. ❤❤❤
@7Ammy69
5 ай бұрын
Anajiskia sana uyo
@mamzain2021
5 ай бұрын
Kunywa juisi popote ulipo nakuja kulipa🥰
@mamzain2021
5 ай бұрын
@@7Ammy69huku uliko unajichanganya kama hutaki acha kufatilia mbona unasoma hadi Comment anazoekewa 🤔🤔🤔🤔🤔ww usiskilize wala usifatilie kama kweli usitukoroge saaiz
@islamicathar23
5 ай бұрын
Miongoni mwa Bidaaaa,Allah atutoe kutokama na hizi nyimbo ambazo si katika uslaam🤲🤲
@SalimAlly
5 ай бұрын
Hii sio uislam hatujawahi kusema huu ni uislamu. Lakini wew sjui unafanya nini hapa si uondoke akhi naona bado unaangalia
@islamicathar23
5 ай бұрын
Kama si uislaam ni ukafiri au ?
@SumaiyaKassim19-tc1hy
5 ай бұрын
Mashaallah kaz nzr❤
@ibrahimammar7800
5 ай бұрын
Mashallah ❤
@AsmaaAsmaa-pn4hm
5 ай бұрын
Mashaallah akhuy allah akubarik kwenye kaz zako🤲🤲🎉🎉🎉❤
@user-mh6wz7yx8w
5 ай бұрын
😮😮 daah maaaaaaaaaaaaaaaaaaaashalaaah!! Amazing congratulations 🎉 may Allah bless you 😊 💖 and protect every day WELL DONE 👏
@ZujoyOmar-pb2nn
5 ай бұрын
Mashaallah fantastic nasheed❤
@salumjumasaid1266
5 ай бұрын
Mashallah mashallah kazi njema sana
@bindauud6596
5 ай бұрын
Mashallah kazi nzuri
@salhiaadam5205
5 ай бұрын
Kama kuna Munsheed anamshinda Salim Ally kwa nasheed nzuri naomba niandikieni hapa nimjue. Huyu mwanamme sijui mahadhi anayatolea wapi kila siku mapya na hayaishi hamu
Пікірлер: 68