SAVIMBI: Mpigania Uhuru Wa ANGOLA, Aliyezikwa Kama Mbwa!
Dk.Jonas Malheiro Savimbi ni msomi wa Chuo Kikuu ngazi ya PHD aliyejitengenezea sifa mbaya zaidi Afrika kiasi cha baadhi ya watu kudai kuwa hakuutendea haki usomi wake.
Alifanya mambo mengi mabaya sana kwa nchi yake,aliua wananchi wasiona hatia nchini Angola kutoka na uasi wake kwa Serikali licha ya ukweli kwamba yeye alikuwa ni mmoja wa wapigania uhuru wa taifa hilo kutoka kwa Mreno.
#HISTORIAYASAVIMBI
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: facebook.com/globalpublishers Instagram: instagram.com/globalpublishers Twitter:
twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Негізгі бет SAVIMBI: Mpigania Uhuru Wa ANGOLA, Aliyezikwa Kama Mbwa!
Пікірлер: 681