Kambi yetu ilikuwa yamauza uza. Haiwezekani jimsoni mwanuke na wenzake wawahi kambi lakini waliochelewa kambi ndio wanaunda first eleven. Next time ebu tuwe serious na ishu ya kambi viongozi wangu. Kambi angalau iwe ya wiki nne mpaka sita sasa akina chama wameenda kambi wiki moja then wakarudi simba day. Turekebishe hili linatugharimu mno mno
@castrocastro9615
Жыл бұрын
We ni utopolo nn. Kwa hiyo ulitaka Chama awekwe bench na Mwanuke??
@austorb.nyondo2708
Жыл бұрын
@@castrocastro9615 hiyo sio hoja yangu hapo. Hoja ni waliopata training kwa angalau muda sahihi hawapo hata substitution na ndio kocha alikuwa anawapa mafunzo. So next time timu iwe inaanza kambi na wachezaji wake wote ili kumsaidia kocha kwenye mipango ya ujengaji wa kikosi. Mpaka leo kocha hana first eleven kwa sababu ya ujinga ujinga kama huu. Sisi tunaoijua timu yetu vizuri tunaliona hilo kama nikosa kubwa sana
@nkoydavid9658
Жыл бұрын
Sawa lkn kwa nn baada ya kupiga kelele ndo akaanza kuchezeshwa?
@mandelamandela-c4p
5 ай бұрын
Wewe mwehu kabisa wachezaji gani hamuna kitu
@JospherGerevas
Жыл бұрын
Kinachirunda mliwaleta hapo wann
@mandelamandela-c4p
5 ай бұрын
Eti wachezaji bara wakina nani
@andrewdaudindullu1749
Жыл бұрын
Hawa ni waajiliwa yaani Thobias Sebastian na Ahmed Ally wapo idara ya habari na mawasiliano; sio chawa na si wachambuzi ok.
@LiisaMaisha-is1hi
Жыл бұрын
Msifagilie sana wakigeni sana angalieni na wachezaji wazalendo pia
@wangsomollel6169
4 ай бұрын
pole wew tu nd ulion mbali
@nbwchannel4997
Жыл бұрын
Nguvu moja wana SIMBA.
@ZainabuHaruna-ej3jy
Жыл бұрын
Mnasajil vizur Ila hawachez kwann mkuu mnawaalibia vipaji watoto wawengine
@serekachacha-zg2vp
Жыл бұрын
Ila Bo's muwe Makini Basi manaake wachezaji wanapigwa Pini Sana na hao nzi wa kijani
@upendomgombozi1239
Жыл бұрын
Niltegemea utamuulizia kwa nini Timu hatufanyi VIZURI mpira hauko kwenye kiwango? Na nini mkajati wai wakati mashindano makubwa yamewadia? Umeamua Leo kuuza sura, simba nguvu moja masika imewadia
@jafarilabia2889
Жыл бұрын
Haifanyi vizuri wapi acha kupotosha watu.
@maendeleoleo2594
Жыл бұрын
Wanataka ifanyaje vizuri huo ni utopolo
@SuzanKameta
Жыл бұрын
Simba Nguvu Moja
@emmanuelcuthbert2666
Жыл бұрын
Mwenyekiti kushinda mechi nyingi tungekuwa bingwa, nakuelewa km kiongozi lkn sare 7 ni nyingi na kwa klabu kubwa sana nchini huwezi kufananisha na vilabu vingine..
@mafurumatijo8803
Жыл бұрын
Kocha sijamuelewa
@karimabed2
Жыл бұрын
Nguvumojaaaaa
@mikiorupamahundi668
Жыл бұрын
Wow I like that we are original is not a copy
@RashidiAhmadi-k6z
Жыл бұрын
Simbasc nguvu Moja
@best_gan
Жыл бұрын
Sawa
@Samsonilaizer
Жыл бұрын
❤❤❤❤🦁❤❤👏👏👏👏
@Samsonilaizer
Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@stevenduwe9282
Жыл бұрын
❤
@magretpita3017
Жыл бұрын
Thank you chair man
@fardamwamlma6147
Жыл бұрын
🤜🤜
@officialYvaH3232
Жыл бұрын
Try again sisi hatuna shida na usajili safari hii mmesajil vzr sana na tunawapongeza kwa hilo Ila mmekwama sehemu ya kocha aisee yaan tangia tumeenda uturuki kuweka kambi mpk simba day ngao ya jamii tumerudi ligi kuu tumecheza mechi si chini ya nane tukijumlisha na za kirafiki mbona wachezaji bado papatu papatu inakuwaje mpaka Leo timu haijapata muunganiko kwanza timu akati inaenda kuweka kambi kocha yupo brasil yaan anarudi zmebaki mechi mbili kweli wachezaji sasa watakuelewa kweli?? Alafu mazoezi mnayo tupostia kila siku mnafanya ni yaleyale sisi kama mashabik hatuyaelew yaan cjui nn mfanye Ila ss tunataka timu iwe na muunganiko wachezaji wacheze kwenye namba zao mechi ulizocheza ni nyingi sana
@mirajrajab2674
Жыл бұрын
We mnafiki sana mzee una bifu na moses phiri
@jafarilabia2889
Жыл бұрын
Acha kupotosha watu
@abuusadick9891
Жыл бұрын
Yanga tayari wamesha waroga Tena obin kramo tayari abdalla Tari na timu mzima, yanga wamepitisha upepo wao
Пікірлер: 44