Samahani watazamaji wetu, kuna makosa kadhaa wakati wa kunukuu, mara mbili badala ya kutaja injili ya Mathayo, nimetaja Yohane kimakosa lakini aya ni hizohizo. Pia kuna kosa dogo niliposema kuhusu ofisi tatu za kristo nimetumia ualimu na unabii kama jambo moja. Tunaahidi kuwa makini zaidi wakati ujao. Asante sana
@Jifunze1002
Ай бұрын
Sawa kiongozi. Binafsi najifunza mengi sana kupitia wewe. Mungu azidi kukuimarisha.
@doctrina01
Ай бұрын
Tunaomba radhi pia ubora wa video umekuwa unafifia wakati fulani.
Пікірлер: 3