daaah.. nmevutiwa mnooo kaka na historia ya mzee wa kaliua! best hustle ever. ILA MSAMEHE BURE YULE JAMAA WA AZAM MEDIA ALIYEKUFUKUZISHA KAZI. "JAMAA YETU"
@japharykikoti3391
4 жыл бұрын
Masha Allah M,mungu atamlipa Maulid Baraka wa Kitenge kwa Roho Nzuri na kusaidia Watu.
@costantineseverine50
4 жыл бұрын
Story nzuri sana interview zifuatazo mlete jeff lea ama jemedari said.
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Duh..! Asante mzee wa Kaliuwa..ila Maulid ki ukweli ana roho sana ya kusaidia amefanya hivyo kwa watu wengi
@wananchitv8690
2 жыл бұрын
Safi sana, leo ndio nimejua Oscar ni mwananchi. Hongera sana!
@saulbichwa4782
3 жыл бұрын
Safi sana. Vijana hawa wapambanaji sana. Mungu awanyooshee njia kwa kweli. Kipaji kikubwa sana cha kuelezea mkasa.
@christophermbunda2172
4 жыл бұрын
Aisee Maulid Kitenge yuko vzr sana
@samanyaswai6272
4 жыл бұрын
Daaaaaaah Oscar Oscar uko vzr na umeshukru ulipo Toka na Aliye tumika kuwa ngaz ya wewe kupanda umemkumbuka umempa Ujasiri hata kesho Aweze kuwasaport wengine
@stevenbihondo3241
4 жыл бұрын
Bonge moja la finishing. Superrr
@BOIPLUSTV
4 жыл бұрын
Aminia Big Boss Bihondo 💪🏻💪🏻
@mrishoabdulhakim6384
4 жыл бұрын
Wema hauozi, bora umemshuru Maulidi bado akiwa hai. Allah akulipe sana wewe na Maulid Kitenge.
@nicklyanga7044
2 жыл бұрын
Kumbe kuna watu wa dizain ya maulidi Dunia ....ajabu kabisa
@nicolausside6783
2 жыл бұрын
Halaf ziko nying kichwani
@allymakangana6450
Жыл бұрын
huyu anaehoji c nd msimamizi wa ligi
@Mhasibu
2 жыл бұрын
Mbona kama amelewa
@kitulakitula5429
4 жыл бұрын
Jamaa comedy sana
@leonardsimon2148
4 жыл бұрын
Very sensitive story haki ya Mungu
@OnesmosangalaliThs
6 ай бұрын
Huyu Jamaa anastahili kuwa alivyo
@alihamis602
3 жыл бұрын
Kitenge 💯
@athumanimbonde2439
4 жыл бұрын
Daaah__umetishaa sanaaa bro alafuu unajuaa sana sanaa snaaa
Huyo boya tu Oscar na pale Efm kulikuwa huyu pamoja na Mahuridi kitenge wanazi Sana wa Yanga Sana tena Sana
@afandesele8506
4 жыл бұрын
Wewe mchambuz namba moja Tz nakukubar sana sana
@superdywz9982
4 жыл бұрын
Ww jamaa uko serious unamjua ahmed ambangile ww
@folonatuszongo475
4 жыл бұрын
"Maulid Baraka wa kitenge " aka "CHUMVI",Ukiwa Senior tumeona na tunatambua mchango wako wa kuinua Majunior ,Hongera Maulid Kitenge na Oscar Oscar kwa kutambua mchango wa Maulid Kitenge kwenye mafanikio yako.
@husseinyusuph5458
4 жыл бұрын
Huu niungwana uliotukuka kushukuru kwaukubwa mtu alionyesha kukusaport
@masuemanuel978
3 жыл бұрын
Oscar Kama kanywa bia hivi
@mberwamtelo3341
3 жыл бұрын
Nimeipenda Kaka TAFUTA nyingune
@rehemachishomi3040
4 жыл бұрын
Du mungu amupe maisha marefu kitenge
@Zaburi-
2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@gavanashy3197
4 жыл бұрын
Kichwa cha kazi Mzee Wa kaliuwa tabora
@Nufaila442
4 жыл бұрын
Wanasimulia maisha yao
@hassanmzee8026
4 жыл бұрын
Huyu ndugu yetu asiye tajwa apo ni Jemedari saidi huyu jamaaa anajifanya kila kitu anajua yeye mpk nmeacha kusikiliza sports hq ya Efm sababu yake mchambuz wa kawaida sana na anaonesha anaroho mbaya sana mmakonde huyu.
@peterassenga4220
4 жыл бұрын
Cmpendi huyu jamaaa
@dendeshasanjata5949
4 жыл бұрын
Ko jemedar yy ni simba au
@annamosha968
Жыл бұрын
Nampenda saaana Jemedar
@maryflorenceinvestment7532
4 жыл бұрын
Njoo kum mbili, mm saa kumi 11
@johnadam726
4 жыл бұрын
😂😂😂
@uwembatvonline
4 жыл бұрын
Kwa maelezo hayo tu ya kufukuzwa kazi it means Azam na simba ni kitu 1
@khassanallybashary1612
4 жыл бұрын
Duh una akili mbovu 😂😂😂😂
@aristidrichardmrema536
4 жыл бұрын
Anayetajwa apo ni jemedari said kazumari alivyokuwa azam fc
@mustaphamuslim6564
4 жыл бұрын
Kumbe jamaa mnonko
@jardindullahsheikh9214
4 жыл бұрын
Jamaa simkubar kafanya Nisisikilize HQ siku Hizi yeye mjuzi Wa kila kitu kumbe Hovyo tu
@rajabumrope8732
4 жыл бұрын
historia ya maisha hata miaka 40 hujafikisha dah
@mustaphamuslim6564
4 жыл бұрын
Leo ndo nimejua Oscar Oscar anashabikia tim gan hapa bongo.
@masuemanuel978
3 жыл бұрын
Timu gani
@fadhilisalumufadhilisalumu3219
4 жыл бұрын
Duh pole kaka ndy maisha kaka
@fadhirifadhiri9209
4 жыл бұрын
nakukubali.sana broo.sana sana
@salummachapati8259
4 жыл бұрын
Bonge la shoo. GOOD!.
@BOIPLUSTV
4 жыл бұрын
Pamoja mwamba
@erickkipenya5801
4 жыл бұрын
Mwananchi ndio kwenu
@Aidansimwanza
2 жыл бұрын
Kwa interview zote za Mzee wa kaliua hii no nouma
@emmanuelmotto745
4 жыл бұрын
bora wewe umekumbuka hata maulid kitenge aliye kuonyesha njia ila kuna mmakonde flan alionyeshwa njia sasa hivi anajenga fitina.
@allykigatta7564
4 жыл бұрын
Kabisa kabisa...simpendi kweli yule mmakonde...
@martinmwakila6992
4 жыл бұрын
Tatizo mkiaminiwanyie ndio mnatumia nafasi ya kutudanyanya
@mwasitinzoto5312
4 жыл бұрын
Mzee wa kaliua unafaa kuwa mbunge wa kwetu huko wesisoga sana mnyemwezi
@jumamakamba2212
4 жыл бұрын
Oscar sisi kama wadau Wa media tumepigana sana kucoment upewe mkata efm ninazo hadi voice za msg zetu tukikupigania
@christophermbunda2172
4 жыл бұрын
Hii story ndo imenifanya kujua kwanini mwanzoni pale Efm alipokuja jamaa mlikua hampatani 😂😂😂😂
@simonjames5216
4 жыл бұрын
Mzazi naona umechangamka
@saidylikangasimba5091
4 жыл бұрын
Dah nataman kumjua huyo mshakaji wetu
@emmarockstarblb6571
4 жыл бұрын
jemedali said mnafki sana
@florabenard6695
4 жыл бұрын
Hongera kwakuwa muwazi na kumpa mtu shukrani nasifa kabla hajafa bigup dogo
@ramadhanmkoka444
4 жыл бұрын
Interview moja nzuri sana Karim,Mkoka.
@BOIPLUSTV
4 жыл бұрын
Ahsante sana kaka mkubwa Mkoka 💪🏻💪🏻
@mkungamedia6090
4 жыл бұрын
@@BOIPLUSTV mzee umepiga bonge ya interview Nakuona mbali Lakini usiingie kwenye media nyingine kazana na hii yetu ikue
@BOIPLUSTV
4 жыл бұрын
Ahsante@@mkungamedia6090 ...tunakomaa hapa hapa
@aristideskablaya9546
4 жыл бұрын
😀😀😀hiki kichwa bhan
@peteryohana9534
4 жыл бұрын
Inapendeza sana kushukulu mtu na kuusema ukweli wa moyo wako hongera sana ndugu yangu
@jardindullahsheikh9214
4 жыл бұрын
Kazumar Mnoko tu
@joackimmbonde4125
4 жыл бұрын
Naikubali ile caption yake ya #alisikika mlevi mmoja... Uirudishe bc😂😂
Пікірлер: 75