Serikali ya kaunti ya Nandi kwa ushirikiano na washikadau mbalimbali imeweka mikakati kutoa mafunzo ya kiteknolojia kwa wafanyikazi wa kaunti hiyo. Mafunzo hayo yanalenga kuimarisha huduma za kaunti kupitia mfumo wa kisasa huku wataalamu wa teknolojia nandi wakiahidi kueneza mafunzo hayo hadi vijijini kuwatayarisha vijana kiteknolojia.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Негізгі бет Serikali ya Nandi na washikadau mbalimbali watoa mafunzo ya kiteknolojia ili kuimarisha huduma
Пікірлер