Yaaan ss waislam , tumekua fisadi wa kubwaaa kuchochea upuuuz bda ya kuekana chin yaka maliiza sio kubisha ki elimu 😥😥😥, nyote hamna elimu mjuzi ni mungu pekeee . Hata mussa (a.s) alikua akijitapa kua ana elimu san , kumbe kuna wajuzi zaid yake ⚓⚓⚓... ishallah
@hussenaaghe2760
5 ай бұрын
Mimi naona ikijwa mtume Mohamad roho kuna waislamu benders roho ina Uma mbona zinaa hii waumizi zinaa au ubahili mungu na mtume atajwe kila siku kuliko baba zetu na mama zetu na pia wazazi hawa wawili tumeona sio kitu tuko watukanwe na wake zetu je tukuja kuwa na uchungu na mtume
@yahkiwera3611
8 күн бұрын
Wewe unajitambua
@hafsalonlinetv105
8 ай бұрын
Dah, Sheikh Waleed walaah una fungu lako jema lilo zuri mbele ya Allaah. Faida kubwa twazipata kwako,,,,,,,,,,,
@AminaDodios-ml2lv
7 ай бұрын
Muumini wa kweli aongei akamaliza maneno.
@user-ws7fb8ph9q
7 ай бұрын
Allah atawafedhehesha
@allyfundi6405
8 ай бұрын
MAASHALLAH shekh
@sibawaybakar6317
7 ай бұрын
Mashaallah, hii imetulia
@mbaroukkhalfani9244
8 ай бұрын
Shukran
@mohamedswalehe4442
8 ай бұрын
Mwana wa Ayubiyya Allah akuzidishie akupe hekma
@adamjutto5849
8 ай бұрын
😂😂😂,daah masufi mmefungwa kiakili wallahi,embu kaisome hadiith kwenye kitabu Cha fat-hul baarii uone mtume kakusudia nn,😂
@khamismwalim5604
7 ай бұрын
Masha Allah
@mbaroukkhalfani9244
8 ай бұрын
Ujumbe umefika in sha Allah
@aliyidrisa1536
8 ай бұрын
Mashaalwah. Yule kijana mungu anamuona
@khamisali5978
7 ай бұрын
Sio yule ht wewe na wote pia
@hutiswalehe2444
7 ай бұрын
Maashaallaah
@husseinkassimu2714
8 ай бұрын
Huyo mtoto wa bachu sio shekh mbabaifu shekh walidi kilalakheri
Sheikh Muhammad Nassor Bachu Tumemuelewa Vizur Na Hoja Zake Na Nyie Leten Hoja Sio Mnaishia Kulalama Tu...
@mohamedrashid7864
7 ай бұрын
Kasome mwenyewe acha kiwa fala wewe.
@yahayajuma1401
8 ай бұрын
We bachu watoto wapige sindano tu" hatakama wanalia"usiwaonelee huruma" "shehe " njoo kwenye niqashi " kama we ni mkweli"
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Waislam Waleo hao wanashangilia mambo ya dini kama mpira wa simba na yanga vile
@zainulabidiendhulfikar7398
8 ай бұрын
Nikash na mbovu wa akili sembuse elimu Hana mtihqn kwel kwel ....
@mohd39789
8 ай бұрын
Wapumbavu wa kisufi wameshikwa pabaya na shekh Muhammad Bachu, hii ndo inaonyesha dawa imewaingia
@mobilespecialschool4216
8 ай бұрын
@@fahadfaraj6474kama wewe, mana bachu anafikisha haq hawa wanaita watu katika upotevu hawawezi kuangaliwa tu
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
@@mobilespecialschool4216 wewe tafuta elimu kwa dhati halafu kwa maarifa uchambue ila sio kushabikia vitu na kufata upepo ikiwa we mwenyewe huna unalojua ni wajibu wa kila muislam kusoma sasa watu hamsomi mnaamua kuwa washabiki soma hutoyumbishwa
@Auf-uh3jq
8 ай бұрын
Wajua wazungu wakiona maendeleo ya Wa Islam wanatunga Yao walileta Ushia kuchanganyisha Waislam Sasa huyu Bachu tusishangae nae ametumwa kuvuruga Waislam si mshangao
@fakihassani3
7 ай бұрын
Musiopenda maulidi hamutaki kusoma na hamuma elimu na munachagua wa kukusomesheni ndio mana ujinga hauwatoki vichwani mwenu
@HamidaKibwana
7 ай бұрын
Sahihi kabisa Na ndko tunakopata taabu kwa hawa watu
@amiripolwe985
8 ай бұрын
Dhehebu lako Shafi'i 😂😂😂😂😂 Haya Mtume Alikuwa dhehebu gani?
Munajifanya munafuata sunna hem nambieni wapi mtume kafanya munaqash?sasa hapo ndio mutajua km munaopinga maulidi munakurupuka hamuna elimu mtume kwakusema kila kitu mtume hakufanya ndio bidaa hivi ww unaejiona mtu wa sunna unavaa yebo yebo wakt mtume hakuvaa je na hiyo sio bidaa??
@fakihassani3
7 ай бұрын
Munakurupuka t kila kitu kwenu bidaa ambapo munafanya ujinga ambao hata mtume hakuufanya
@HamidaKibwana
7 ай бұрын
Hata qur an zama za mtume haikuwa kwny mas hafu..imekusanywa mtume keshakufa..mbona hamuikatai mkasema bidaa pia.
@mobilespecialschool4216
8 ай бұрын
Kwenye point ya kulala kimaendeleo tupo pamoja, ila kwenye madhabu na elimu juu ya dini kwa usahihi wake ***hapo ajitenge sheikh bachu yupo sawa 100%**** hapo hakuna majazi wala siasa na haiwezi kuachwa bila kusemewa mtapata mnachokitaka katika pesa na uislam uliovurugwa hakuna maana yoyote
@fakihassani3
7 ай бұрын
Ushauri wangu ww unaemfuata Bachu kasome ujue kutawadha kwanza mana ujinga umewazidi hamutaki kusoma ria imewajaa kujiona mnajua mwisho munaumbuka kasomeni maswahaba hawakua na ujinga km nyie,yeye kashindwa kujibu suali mombasa sasa lijibini nyie vibaraka km muna elimu,yn nyie ndio walee wanaopigwa mapema kwa kupenda kelele hata km kuna vita wao huona sherehe kwa ujinga
@mobilespecialschool4216
7 ай бұрын
@@fakihassani3 kama wewe mwenye elimu unatukana, bora Nikae mjinga mana sitaki kujua matusi kama wewe
@radgabbelege7234
8 ай бұрын
Hadith ya Mtume inatuhimiza tuwaweke watu katika nyadhifa zao hakuna kitakachobadilisha maanaa kuwa wewe sheikh wa mkoa mbna zamani ilikuwa ukisimamishwa huitwi sheikh wa mkoa?
@jumasemgaza6298
8 ай бұрын
Ukimsikiliza kwa makini utaekewa makusudio yake
@mohd39789
8 ай бұрын
Yupo bakwata kwa ajili ya tumbo lake na si Uislam. Shekh mwenye hofu ya Allah hawi bakwata asilani
@jumasemgaza6298
8 ай бұрын
Sheykh mwenye khofu na Mungu anakuwa wapi?
@HamidaKibwana
7 ай бұрын
Hzo ni hekma za kichamungi..usijitukuze wala kupenda kutukuzwa..Allah tu keshamtukuza Shekh Walid..shida mkichukia mtu hamtafuti sababu mnachukia tuu.
@ogenylaurent7961
7 ай бұрын
@@mohd39789utabakwa
@mahmoudukusso4488
7 ай бұрын
Mpaka sasa Sheikh Bachu 3 wala ubwabwa 0
@yahkiwera3611
8 күн бұрын
Wewe sio muislamu nina wasiwasi wewe ni kijikafiri kijidogo
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
Muda sio mrefu italuwa afadhari ya mbwa kuliko viongozi uchwala wanao jofanya wamesoma dini. Hivi, yeyote akitokea akasema uisilamu ni dini ya mashetani akatoa na maswali 6 akataka majibu, mtu huyo anatakiwa kutukanwa?, kuchambwa, kudhihakiwa?, kupuuzwa au kujibiwa maswali aliyouliza!?. ACHENI upumbavu mnajifanya eti mmesoma. Hata akitokea asiyekuwa muisilamu akasema Quran ina ushilikina akatoa na hoja anatakiwa kujibiwa haraka sana hoja zake kwa elimu ya hali ya juu na kuufunza uma haraka sana hilo ndilo suluhisho sio kuleta mashairi ya kipumbavu. Muhammad Bachu kajenga hoja ibukeni mjibu sio kuleta mzunguko wa mwezi mala jua huo ni utahila bora mseme hamna majubu watu waachane na barazanji.
@yasiniselemani3917
8 ай бұрын
Sema hapo kwenye matusi umezingua sana pia ujue mashekhe huwa hawapendi kujieka kama huyo mtoto wa bachu kapewa elimu yakutosha imebaki ni yeye asimame mbele za watu aseme haya yameisha kila mmoja ashike njia yake bas na ndo maana huenda ukamuona yupo kmy na wewe kaa kmy usitukane
@yasiniselemani3917
8 ай бұрын
Hujasikiliza hata vizuri majibu aliyoyatoa hapo kajibu hoja katika zile zinazomtatiza mtoto wa bachu hutaki kuelewa wewe unatukana tu acha kukaa kama shabiki wa mpira hii ni dini siyo mpira
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
@@yasiniselemani3917 itakuwa unamatatitizo ya akili kijana. Unafatilia chanel ya Muhammad Bachu!?. Mwishoni amesemaje?. Eti amekaa kimya!?. Kakaa kimya wakati kauliza maswali 19 na kasema kuna maswali 11 hajauliza mpaka yajibiwe hhayo 19!?. Nani kajibu hayo maswali 19!?. Eti kakaa kimya!
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
@@yasiniselemani3917 ukisema kila mmoja ashike njia yake unajua maana yake!?. Makafitii wamesha shindwa vita ya upanga wanacheza na vita ya fikra ambayo wanatumia kuharibu haki na batili kuanzia kipindi cha Mtume walifanya juhudi hiyo. Wanatumia mianya ya elimu kuupoteza uisilamu. Wewe mpumbavu unapoibuka na kusema kila mmoja ashike msimamo wake unajua uisilamu utakavyo haribiwa!?.
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
@@yasiniselemani3917 wewe bwege nini. Nani shabiki. Kuna hoja gani kajibu!. Anyooshe darasa akae ajibu hoja moja mpaka mwisho sio kubabaisha baba isha.
@adamjutto5849
8 ай бұрын
يُرِيدُونَ أَن يُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَيَأْبَى اللَّهُ إِلَّا أَن يُتِمَّ نُورَهُ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ (32) هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ Mtume aliposema kua yeye ndo mwenye kufuta ukafiri,chukua tafsiri ya maneno yake hayo,kwa kuzingatia hzo aya hapo juu Nondo nyingine hyo nakuongezea ewe walidi Al haadii. Daaah😂,masufi mnatia aiibu wallahi
@user-vj4bp2hs3q
7 ай бұрын
Wewe Na Viswa Vya Babako Na Mipira Toka Hapo,Mtu Mzima Hivyo,Alafu We Ni Mnafiq
@ramadhanmgumba3680
7 ай бұрын
Koma w mtto
@user-vj4bp2hs3q
7 ай бұрын
@@ramadhanmgumba3680 Nyi Teteaneni tukaneni Lakini Juweni Hii Sio Mada ya mipara na kupigiana mifano Yenye miundo ya Kibinaadam. Tumieni Qur'an kusadikisha Ukweli Wenu.
@fakihassani3
7 ай бұрын
Munataka Bachu ajibu hoja kwanza ajibu yy suali alilopewa au jibuni nyie vibarakoa munaofuata mkumbo bila elimu wajinga wakubwa
@hamisself6820
7 ай бұрын
Bachu mwenye anajiita simba ama bachu mgani
@hamisself6820
7 ай бұрын
Unamuamini bachu mwenye anajua kila kitu akuna kitu ajui na mungu mwenyewe anasema binadamu ajakamilika c mwenye kujua kila kitu c kuna shda apo
@amiripolwe985
8 ай бұрын
Sio hampendi kusema sema, Ukweli ni kwamba HAMUNA DALILI YA HAYO MUNAYOYAPENDA, NI UZUSHI NA SI KATIKA UISLAM. FULL STOP.
@HamidaKibwana
7 ай бұрын
Shida nyie hamusomi na mnachagua waalim.
@user-zs6qg7ql1i
7 ай бұрын
Kasom makame
@AliShee-mb2gh
8 ай бұрын
wewe Walid kama ni madh hab ya Shaafii tuletee qawl yake kuhusu maulidi wacheni kutafuta imani kwa wafuasi wenu,ukweli wa mambo hamna elimu hebu tuambie mwanachuoni gani aliye tafsiri محي الذنوب ni kufuta madhambi
@user-mr1sl6dd7g
7 ай бұрын
Lugha haujui,,, achana kupotosheni watu
@islamseyffden7723
7 ай бұрын
Ujue wew.chzi kwel 😂😂 kwan hujui kwamba ukimswalia mtume unafutiwa dhamb hem kasome
@user-fy4op1sw2f
7 ай бұрын
😂😂😂😂 kasome acha ushindani wa kijinga
@fakihassani3
7 ай бұрын
Kusoma hamutaki kazi ujinga t eti maulidi bidaa wakt ww mwenye kila unachokofanya una uhakika km mtume kafanya?wapi mtume alipopanda ndege au boda boda?acheni ujinga kasomeniii sunna sio ndevu wa kanzu fupi ti icho sio kipimo cha kua na elimu acheni upuuzi mijitu mumejaa ria na kibri hamuna hekma hata chembe kila kitu munajiona
@HamidaKibwana
7 ай бұрын
Wao wenyewe wanapenda kusifiwa maofisini na kwa wake zao..yaan wananichosha hawa waislam wanashindwa hata na makafir hawatamsni hata kukumbuka uzawa wa mtume wao.
@princeabuu8297
8 ай бұрын
Huu mfano wa daktari mbona ni hovyo hivi wewe shekhe mzima huwezi soma na ukaelewa maandishi ya daktari...!!?? Kweli kabisa hapo ndo elimu yako imekufikisha...!!??😢😢
@suleymansalim5732
8 ай бұрын
HUYO bachu akitulia mnamuanza chokochoko muanze kulia lia tu sijui mkoje. Sh.Saidi wa Mambrrui kaisha kimbia😂😂😂😂😂😂😂😂😂alilaumu kweli hajibiwi sasa kapewa no wameanza kusafiri. Huyo Bachu muachen nyie kma mnataka watazamaj msimfoc kuwa agenda
@mchagagaspar6649
8 ай бұрын
WASIO KUA NA AIBU NDIMIZAO HAZIJ6WE (TAMU NA CHUGU) KAMAHUYO KIJANA ANAMSUKUMA BACHU ILI AZIDI KULAANIA ETI UNAMPENDA.
@yasiniselemani3917
8 ай бұрын
Kwani kati ya siadi na kitoto cha bachu nan kakimbia
@yasiniselemani3917
8 ай бұрын
Au na wewe ni shabiki tu hutaki kujua chochote ila unajua bachu tu ndo yuko sawa
@mobilespecialschool4216
8 ай бұрын
@@yasiniselemani3917zimewekwa hoja 19 mezani nyie mnakazana na hana elimu mara hana adab jibuni hoja kama majibu hamna acheni maulid ifuateni haq
@jumu1964
8 ай бұрын
Hujui yalipo fika saidi kambia mbio
@user-hp4lb9mf6l
7 ай бұрын
Shiriki na uongo kama anavyodai Bachu kwenye kitabu za barazanji huvion au ndo nyie watu alio wasema mtume mtakja kuharibu dini? Watu washaelewa uharamu wa maulid acha masuala yasio faa Mungu anakuona
@mohd39789
8 ай бұрын
Walid hujui kitu, shekh atakuwa wa bakwata? Wewe upo bakwata kwa ajili ya tumbo lako na si Uislam. Kwanza ulitakiwa ulete istighfar kwa yale maneno yako ya kijinga uliposema kama mufti wako hutomkuta peponi mtaandamana
Пікірлер: 111