Katika ufunguzi wa mashindano ya Ndondo Cup, Shafii Daudah amesema jukwaa la ndondo cup linawapa nafasi vijana kujumuika katika mashindano ambayo pia ni mazoezi ya viungo na hupelekea kuwakinga na magojwa ya moyo, lakini pia ametoawito kwa makundi yote kushiriki mazoezi ya viungo
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#fanyakweli #usibakinyuma #mtuniafya #projectclear #wizarayaafya
Негізгі бет Shafii Daudah, mratibu wa mashindano ya mpira wa miguu ya Ndondo cup anamachache ya kusema
Пікірлер