Alizwa na wenyeji wake hawapo sifa za Allah ziwape makazi wazazi wangu na masheikh walotangulia. Mwili wangu umepata simanzi kumuona shariffu akilia. Allah akbaru
@Safinatulshifaa
Жыл бұрын
Sharifu ni nani
@chozilasamakikachumbari6705
Жыл бұрын
@@Safinatulshifaa 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe ni mchokozi kwani hujaona mtu Akilia hapo kwa hiyo clip?
@naasiraxmed4734
8 ай бұрын
ماشاءالله تبارك الله رب العالمين جزاكم الله خير الجزاء يا شيخنا الفاضل ويا اخواننا الصوفية ورفع الله قدركم في آلدنيآ والآخرة وجعلني الله وإياكم مع الذين أنعم الله عليهم من النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا ونفعنا الله بعلومكم نفعا لا خسران ولا نسيان بعده
@sheikhmahfudhloo2809
Жыл бұрын
Shukran swahib Malam Mungu akupe until mrefu, Mimi Ni Wa Lamu
@mahmoudabdalla-fw3do
Жыл бұрын
MashaAllah
@AbuwNibras926
9 ай бұрын
Allah akuongoze katika hakii Sufy ww
@jamiiljiddah.07
8 ай бұрын
Mutakufa kwa chuki zenu mungelikuwa munajua haki musingekuwa na maneno machafu
@ABDINURA-hb9ky
6 ай бұрын
Hiyo si maneno chafu,,,ni maneno ya haqi
@h.bkassimb.mzinga.h.bkassi1981
2 жыл бұрын
Wallah maxhozi yamenitoka ...darsa lako limenigusa sana . Nikweli uyanenayo
@sheikhmahfudhloo2809
Жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu mwenye baba
@abeliever6823
Жыл бұрын
Aamiin. Aamiin. Aamiin
@JumanaziruShekalaghe-mk2fn
Жыл бұрын
Da. Mungu. Mkubwa
@latiffaomar6429
Жыл бұрын
MashaALLAH sheikh
@headboy7768
9 ай бұрын
nijuzwe mimi ndio mwanzo kusilimu kule kanisani Kuna Miziki na nyimbo swali langu hii ndio nyimbo za kuabudia kwenye uislamu?
@nguvuyafikramedia1202
Жыл бұрын
Masha allah Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar
@nurudinisalim290
2 жыл бұрын
habiibi umeniliza wallaah
@abdallahkassim7602
Жыл бұрын
Ma sha allah
@naasiraxmed4734
8 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا وشفيعنا وقرة عيوننا ونور صدورنا وعافية أبداننا نبينا محمد بن عبدالله بن عبد المطلب وعلى آله الطيبين الطاهرين وصحبه المحبين المحبوبين عدد خلقك وزينة عرشك ورضا نفسك ومداد كلماتك مرحبا يا رسول الله مددا يا نبي الله أحبك يا حبيب الله
@azizaiddy4981
Жыл бұрын
Mashaallah
@allymazundelivetv6492
Жыл бұрын
Allah Akbaru
@nassorbinfundi1196
Жыл бұрын
Shekh wana kera sana, mawahab hawa, kuwastahmili nikazi kubwa sana Wallah
@maymoona-hp4pp
Жыл бұрын
Mungu wangu kupitia baraka za mashekhe wetu Hawa watukifu mashaalha
@maymoona-hp4pp
Жыл бұрын
Wape kher marehemu zetu kupitia baraka ya masharifu Hawa haaswa mwinyi baba nawengine mashaalha
@chozilasamakikachumbari6705
Жыл бұрын
Nauliza hapo ni wapi? Please nijulisheni
@jaffarypaula7820
Жыл бұрын
Tanga iyoo tamta
@qassimmsega8422
Жыл бұрын
Tamta
@rashidikanyama7227
2 жыл бұрын
Alwahumma swali wasalimaghale swalawatulwahghalee
@ABDINURA-hb9ky
6 ай бұрын
Wacha zako,,,hii ni nn wasema sasa,,,,kasoma dini yako
@abuuminya8746
2 жыл бұрын
اللهم صل على سيدنا محمد صلاة تحسن بها الأخلاق وتيسر بها الأرزاق وتدفع بها المشاق وتملأ منها أفاق وصلاة دائمة من يوم خلقت الدنيا إلى يوم القيامة
@azizaiddy4981
Жыл бұрын
😭😭😭
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
masufi ni washirikina nyie acheni ushirikina
@Naaam353
Жыл бұрын
Njoo kwa masufi wakufunze namna ya kudhibit nafsi yako dhid ya chuki,hasad,wivu na tabia mbaya
@abdulali753
Жыл бұрын
Tusome Elimu Insha allah tutafaulu
@jumabias4917
Жыл бұрын
Uliza ujuzwe, epuka kubeza
@ibrahimmohamedmaalim5568
Жыл бұрын
Fanya adabu kama haukubaliani nao sio kuwatoa kwenye dini
@user-bw8oi3kw2q
9 ай бұрын
Hukm ya usuf umeitoa ktk kitabu gn kua niwa shilikin
@alhidaaya5288
2 жыл бұрын
Ibada ya Kumswalia mtume ilikuwepo Tangu kipindi mtume yupo na Maswahaba na Waliofuata Suala la kujiuliza Wao walimswaliaje mtume?? Je Mtindo huu wa kumswalia Mtume na kupiga Ngoma na Yote yaliyopo katika Maulid ndivyo walielewa na kufanya hivi Ikiwa sivyo ni ipi basi Ya kufuatwa njia waliokuwa nayo Maswahaba au hii ya Masharifu wa Kisufi??
@sinenopesananehassan3090
Жыл бұрын
Naam asslm alykm warahmatul llahi wabarakaatuhu. Sheikh ikiwa hili kusoma kwako waliona halifai fuata yafaayo, sie tuache ju twaelewa na kujuwa kuwa tupo ibadani tena ibada a'dween xn, tutamsalia mtume Muhammad SAW ucku n mchana.
@nassorbinfundi1196
Жыл бұрын
Maulid khabari zake ninzito, sana, haina tafaut sana na hijja, anatajwa Allah na ntume, na yanatoka mazingatio makubwa watajwa wanazzuon wewe acha fitna soma sawasawa, utajua nyie viumbe hatuitaji,
@alhidaaya5288
Жыл бұрын
@@nassorbinfundi1196 Hujielewi
@abdulrasul2213
Жыл бұрын
yaarabbi tupe nafahati zao
@abdulkhaliqmuhammed456
7 ай бұрын
Hayo maneno baki nayo mwenyewe kwa sabab hakuna atakaye kusikiliza kuhusu hilo umepoteza mda buree ku type ujumbe mreefu kisha hakuna atakae faidika nao, hivyo uwe ujumbe wa mwanzo na wa mwisho. Kisha ukae kimya
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
sharifu hana kidevu cheupe kama embe
@chozilasamakikachumbari6705
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati hana ndevu kama Embee! Ulikuwa unataka awe kama Nazi? 🤣🤣🤣 wallahi kuna watu wachokozi
@faisalmohamed727
Жыл бұрын
Afadhali embe huyu kama 💡 au mabinti.
@jumaally558
Жыл бұрын
Unajua huyo unae mbeza
@faisalmohamed727
Жыл бұрын
@Juma Ally Najua mtume swalallahu aleihi wa Salam ametuamrisha tunyoe shurubu tuache ndevu, anae muhalifu mtume swalallahu aleihi wa Salam hawezi kujigamba eti ampenda mtume swalallahu aleihi wa Salam.
@ABDINURA-hb9ky
6 ай бұрын
Kidevu kama glope,,,,weka ndevu na ufate mafundisho ya mtume Muhammad swala na salamu zimfikie na muwache uzushi
Пікірлер: 54