Muhadhara uliotolewa na Sheikh Nurdeen Kishkii , Masjid Jaamia Lamu Mashariki Nchini Kenya Tarehe 04/06/2023, Mada ikielezea Sifa sita za watu wa peponi ni sifa zipi? InshaAllah fatilia hadi mwisho upate kuelimika, Na kupitia Muhadhara huo Sheikh Kishki aliweza kupatanisha magomvi ya Vijiji viwili Rasini na Chundwa, Ulikuwa ugomvi wa Nini? InShaAllah Fatilia hadi mwisho wa kisa hiki upate kujifunza mengi na kuelimika kupitia kishki Tv, tunaomba msambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni
- Жыл бұрын
SHEIKH KISHKI APATANISHA VIJIJI VIWILI RASINI NA CHUNDWA LAMU NCHINI KENYA .
- Рет қаралды 8,151
Пікірлер: 23