My greatest sheikh of all time....may Allah Azzawajallah have mercy and dwell him to jannatu firdaous
@khamismussa6308
5 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh nassor
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
Kaburi lako liwe ni kiwanja katika viwanja vya pepon
@salimmwadanda6673
3 жыл бұрын
Nikiwa Kenya Mombasa nampenda sana shekh inshaAllah namuomba Allah akaniweke na nayeye peponi..............MashaAllah makubwa haya..........
@tatumagina7546
5 жыл бұрын
Allah akuweke katika pepo yake yenye neema
@jumahassan326
6 жыл бұрын
M/mungu akulipe malipo kamili unayostahiki kulipwa aaa min m/mungu atujaalie nasisi mwisho mwema aaaamin
@khadijakuhigwa3999
3 жыл бұрын
Ewe ALLAH mrehem sheikh Nasoro Bachu
@rahmasalum7107
4 жыл бұрын
Mashallah kila siku tunafaydika kwa kuwacha sadaqatul jariya yako mwenyez mungu akusamehe makosa yako akuweke kwenye pepo ya Firdaus na cc mwenyez mungu atupe khatma njema
@mohamedathuman2216
3 жыл бұрын
Inshaallah Allah akupe pepo ya daraja la juu sheikh nasoro bachu Rahma ullah
@nuramoboy
2 жыл бұрын
Amin ya rabbi mlipe firdaus yeye na sisi kwani kwake niwanafunzi
@makulemshana5301
6 жыл бұрын
Inalilah wa inalilah raijuni. Allah amuifathi na thiki ya kaburi na amuweke mbali na moto.
@fatmah12mohamd46
8 жыл бұрын
inshaallah!!!umeacha manufaa ',na kila tukiskia mawaidha yako allah anakuandikia mema akuepushie adhabu ya kabri na akufanyie qabri yako iwe katika kaburi za waja wema inshaallah.
@hyasintajoseph2589
2 жыл бұрын
Yaa Allah mrehem huyu shekh
@sabahsaid8698
6 жыл бұрын
Mashalllh mungu akufnyie wpesi na safari yko akheraa
@asatrachiwewe1432
7 жыл бұрын
Haji.saidi.kayame.mwenyenzi mungu akuhifadhi pamoja na waja wema.Allah huma swali alla muhammadi waara alimuhammadi.
@abdallahtofick9673
8 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh wetu,,,,, Allahumma Aamiiyn
Пікірлер: 55