Mashallaah jazakallahu kheir ,haomakafir wananjia nyingi za kupoteza watu ,hivyo mashekh juhudi zenu zinahitajka mxikate tamaa mpaka mwixho wa uhai inxhallah
@imamumponda1615
6 жыл бұрын
Wee shaafi azwiim sana wa llahi (hafidhaka llahu) wa jazaaka llahu khayra
@mzeemwamguno9367
4 жыл бұрын
Shukraniii shekhe wangu
@munaseif9769
6 жыл бұрын
mh wakristo wanawapoteza watu ila mungu atawaongoz katika njia ilio nyooka
@voodothurday
12 жыл бұрын
ALLAH akujaalie kila la kheri mwangaza mweupe
@mariamvicent7312
5 жыл бұрын
Maa shaa Allah Me natamani inshaallah siku moja Allah awajaalie muende nyasa mbamba bay
@bahatihadijabahati7456
5 жыл бұрын
Allah akbar
@ZainabJolie
12 жыл бұрын
mwashallah tunaomba vido zingine za Nurdi kishi ishallah
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Jolie zainab ingia KZitem zipo nyingi mnoo andika tu sheikh Kishki utachagua mada IPI wapenda
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
Allahu Akbar. ...
@davidgasper8821
4 жыл бұрын
Yesu kristo ndie njia ya kwel na uzima kila jicho litamuona kila goti litapigwa na kila ulimi utakir kuwa yesu mfalme wa wafalme kuwa ndie bwana wa mabwana
@sadikfarhan25
4 жыл бұрын
wewe ban nend kasome kwanz yesu ni mungu au mtume au ni mwan wa mungu ebu nijibu kwanz man munababaikababaika
Пікірлер: 14