Sana,sasa sijui kwa nini ameiharibu hii video kwa kuweka muziki
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Asante hatukusikia
@nabiljumbe
3 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@abdul-rahmanfakijuma1879
3 жыл бұрын
Maa Shaa Allwah
@mohamedhamedseifelsawafi8309
7 ай бұрын
Tusikilize ngoma? Au tumsilize mzee wetu? ( roket)
@adilhabib8988
3 жыл бұрын
Maa shaa allah
@alikadiriamswaha
Жыл бұрын
Mashaaala
@aminamsuri8762
2 жыл бұрын
Mashaalaa mungu amsimamie
@abdulrahmansalim9773
Жыл бұрын
MA SHAA ALLAH
@adilhabib8988
3 жыл бұрын
Hio miziki inamaana gan
@albertdoherty9394
3 жыл бұрын
Maa shaa Allah tabarakallah
@consolatasamson9455
Жыл бұрын
Mashallah lafiki take marehemu babu waswali naleke
@just_this_way
3 жыл бұрын
Kaswida hiyo inazuia sauti kusikika.
@Nuru_ya_sunnah.official
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hatar nimependa uvaaji wake 😅😅😅😅
@FahadMasoud-io4mb
Ай бұрын
Hata hatusikii vizuri
@njonjolomahfudh3238
3 жыл бұрын
masha ALLAH Allah akubakize na afya tele miak 93 na hija 51 kheri tupuuuuu
@saynabmohammed6263
4 ай бұрын
Kuna ukweli gan
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
UTAKUWA HUJAMUELEWA VZR
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
Elezea wewe ulivyoelewa thahbul_kissa
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
Mbona hujamuuliza kwa miaka 51 kaenda hijja.Alikuwa na wafadhili wanamsaidia?
@faridahalil4456
Ай бұрын
Sasa tunasikiliza music
@mohamedhamedseifelsawafi8309
7 ай бұрын
Wacheni kutia ngoma
@mohamedhamedseifelsawafi8309
3 жыл бұрын
. Musituekeee ngoma.
@janimohammed143
3 ай бұрын
Mangoma ya nini sasa! Mnakera sana
@ustadhinuhu4251
3 жыл бұрын
Mesahau kuwa siriya munguipo kwaviumbewake
@adilhabib8988
3 жыл бұрын
Huyu mzee toen namba yake au ya mtu wake wa karib
@munamuna781
2 жыл бұрын
Pliz ondoweni hiyo music ili tumsikie maneno kwa usafi
@MakaiKasala
2 жыл бұрын
Wakati Mwingine mkiwa mnaanda kipindi msiweke sound track.. inasumbua usikivu.
@radisafaa6676
3 жыл бұрын
Mziki ondoa
@abdarahamanselemani6764
3 жыл бұрын
Mziki nimeelewa Ila Mzee sijamuelewa kasema makha kwa miguu
@Nuru_ya_sunnah.official
5 ай бұрын
babuuu au shekhee?????😂😂😂😂 babu nasema ila sio kweli baadhi anadanganya
@nasrabdallah3873
3 жыл бұрын
Sasa mpaka mupige ngoma?
@nasrabdallah3873
3 жыл бұрын
Sipendi kusikikiza ngoma aina yoyote
@FahadMasoud-io4mb
Ай бұрын
Mziki mumeweka mkubwa
@abdallahmwakasege5405
2 жыл бұрын
Mziki wa nini sasa. Umearibu ujumbe wore
@SaidGonga-pk6yf
Ай бұрын
Hana muujiza wala karama lolote.
@jesmirmohamed3467
2 жыл бұрын
sasa mumeeka miziki yanini twataka kuskia vizuri hayo maneno
@islamjarwan1476
2 жыл бұрын
sasa hicho kinanda cha nini hatusikii vizuri zima tusikie ukimaliza hayo magujiano utawasha
@jumaevarist9103
2 жыл бұрын
Miziki hiyo jaman unafanya nini
@isamony58
Жыл бұрын
yani huyu mzee akiwa sitendi gari likampita basi nilazima litaaribika wanamuheshimu sana madureva uyu daluweshi mzee kuswali mnalekee
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Kumbee😂
@khaijakadija2082
Жыл бұрын
Subhna Allah
@safiasaleh669
2 жыл бұрын
Izo kaswida zinatubabaisha siku nyengine msiziweke zinatuboa
@hilaljaffery4011
2 жыл бұрын
Sauti ya iyo qaswida imeeondoa ladha
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Mziki wa nini
@tareqmarzowk1190
2 жыл бұрын
Masufi bana mtihani sanaa Allah awaongoze huyu anakudanganyeni
@rastafare878
2 жыл бұрын
Kwa hivyo mkweli diamond Na Ali kiba au vipi ?
@tareqmarzowk1190
2 жыл бұрын
@@rastafare878namuomba Allah akuondoe kwenye kiza za usufi na ujahiil
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@walidmgonja3644
Жыл бұрын
@@tareqmarzowk1190 hicho ni kibri,
@jakuabdull34
11 ай бұрын
@@tareqmarzowk1190ww unauhakika gani kama anadanganya tufikie wakati tuwe tyr kubadlika haki inpodhihir isiwe ni wapingaji tu
@salumally8316
Жыл бұрын
Acheni kutia miziki inakera kweli huu ni upuuzi mtupu
@saidsalim4524
2 жыл бұрын
Tatizo mnaongeza sauti ya music mpaka hatusikii anaongea Nini
@mwanajeshimkuuu7643
3 жыл бұрын
Anakaaa wapi huyoo shekh
@an-nuurtv
3 жыл бұрын
anapatika DSM au Mtwara
@mikidadially9773
2 жыл бұрын
Punguza mziki mziki mkubwa sauti za msemaji hazisikiki
@kheiramour2973
9 ай бұрын
Ondoeni mziki mtu anapozngumza
@mohamedsalim972
3 жыл бұрын
Uyu mzee Ana walakin katika dini anayo zungumza nikinyume na mafundisho yadini
@mikealeck6447
3 жыл бұрын
Hiiiiiiii,Kama hujaelewa,Yulia.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
Kwani Nabii Musa AS aliyaelewa mafunzo ya Khidr AS?
@jakuabdull34
11 ай бұрын
Ni shida kumuelewa kama huna imani ya kweli
@TeamKRX
2 жыл бұрын
Huyu ni muarabu mbona anasema mmakonde jamani anakaa wapi nimeumia maskin Allah ampe umri
@abdikadirabdullahiaulabdia267
2 жыл бұрын
Ni mshirikina mkubwa
@mansurali109
2 жыл бұрын
Chunga sana ulimi wako ndg yangu utakuja kupata matatizo makubwa usiyajue dawa yake kwa kuwadharau na kuwasema vibaya wachamungu.jiepushe sana kusema na kuwasimgizia wachamungu utapata shida sana ndg yangu
@tareqmarzowk1190
2 жыл бұрын
@@mansurali109 mchamungu gani huyo mganga wa kienyeji vijana someni dini acheni kufata hawa wazee wapotevu masufi anaropoka hovyo hovyo anaongeaje na Allah ana Kwa ana
@AbuuHudhaifa-b7y
Ай бұрын
Mganga wa kienyeji? Una uhakika na unachokisema? Acha uzushi ndugu yang Mimi namfahamu sana hajawah kuwa mganga wa kienyeji@@tareqmarzowk1190
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
Hivi mnajua kuwa anachokizungumza ni makosa hivi anawezaje kuzungumza na Allah ikiwa aliyepata hiyo nafasi ilikuwa nabii musa pekee huu si uzushi
@ahmedmuhamed4379
3 жыл бұрын
Kasome Acha ubishi
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@ahmedmuhamed4379 Labda unisomeshe wewe kunako AQIDAH maana umeona mimi nimekosea kusahihisha kosa lililo la dhahiri
@kheirameir6284
3 жыл бұрын
Kasome dungu huyo nimiongoni mwa watu wema.acha kuandika mambo ya upagani.shehe yuko sawa.
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Unaongea nae ktk swala
@rajabumbendenga5480
3 жыл бұрын
@@kheirameir6284 unaweza kunitajia wema waliotangulia ni nani na nani wameongea na Allah uso kwa macho km hujui kukaa kimya itakuwa ni bora zaidi
@adilhabib8988
3 жыл бұрын
Mkirikod watu wachen miziki
@msemamsemakweli9228
3 жыл бұрын
Mashallah tuswali naleke
@albertdoherty9394
3 жыл бұрын
Hapo kusema anaongea na Allah moja kwamoja mmh
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sasa kinachokushangaza weye kitu gani.apo we kasome ndg yangu
@mansurali109
2 жыл бұрын
Sass we kinachokushangaza weye nikitu gani apo kasome ndg yangu usifanye masiara na wacha mungu
@zuhurambonde1982
2 жыл бұрын
Hujamuelewa hata wewe weka imani unapoomba Ni Kama unaongea na mwenyezi mungu live na majibu utayaona imani hujenga.
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Hawa wanaopinga huwenda wakamtilia mashaka na khidhri a.s
@aliomar1986
Жыл бұрын
Usibishe
@abdikadirabdullahiaulabdia267
2 жыл бұрын
Uwongo ni mchawi Hana lolote
@stanslausmteme8455
2 жыл бұрын
Wew jamaa usimtuhumu kwa hilo una uhakika na hiyo tuhuma?
@ismailmsangule1380
Жыл бұрын
Dhana mbaya unayoifikiria ni zaidi ya uchawi unaodhania
@husnaally7964
Жыл бұрын
Bora km hujapenda Kaa kimya usimdhanie mtu mabaya.kimya huleta salama.fikiria angekua Mzee wako sisi ndio tunasema hivyo ungejionaje?
@adilhabib8988
3 жыл бұрын
Kwenye dini hakuna qaswida ni mziki huo
@Abuumuqbil4994
Жыл бұрын
Masufi ni wapumbavu tu na wewe mwenye hii channel unaeneza upumbavu utakwenda kulizwa hizbiya mmoja wewe
@nasrisaidi7175
2 жыл бұрын
HUYO NI MCHAWI
@ramadhaniomary9241
Жыл бұрын
Haa wewe una matatizo na hujiwi Chochote katika Dini hujiwi mitume wote waliitwa wachawi mfano Nabii Musa na mtume Muhammad s,a,w
@Abuumuqbil4994
Жыл бұрын
Huyu ni hizbiya mpumbavu tu
@jakuabdull34
11 ай бұрын
Sizani mtu aliyekwenda hija 51 amazing atakuwa ni mpumbavu au anaejiona mwelevu aka wa ndio mpumbavu bila ya kujua
Пікірлер: 138