Shida ya mashekh wetu wengi wanaelimu ya akhera tu elimu kama hii hawana na hawataki kufundishwa
@TajiriUstadh
3 ай бұрын
Umejitahidi Kidogo shekhe na ila uturejeshe kwa wanawazuoni miiyo yetu ipate utulivu ingawa umemtaja j alalu dini .mada zijazo poromoka na ulamaa tu
@rashidyahya99
3 ай бұрын
Nimejalibu kukuelewa kidogo! Ungezunguzia kidogo ata kwenye Quran kwamba YAKUTI inayotajwa ni sapphire na MARIJANI ndio RUBI ila Mwenyezi Mungu kasema ni mapambo
@Al.habeebAl.habaaib
3 ай бұрын
Tatizo nyinyi wahadhiri wasasa mmeacha kuhubiri dini nyote mmehamia kwenye uganga na uuzaji madawa. Na ndio maana mnatumia nguvu kubwa kutetea uchawi na ushirikina
9:00 sawa Kwa mtu wa Nyota gani? Mbona huongelei kwa undani? Sasa unachompinga Dr. Sule ni kipi?
@abubakarindete6c
3 ай бұрын
Umeweza kujb mwamba
@saidishekalaghe3496
3 ай бұрын
2:57 sawa hiyo elimu ya Pete unayo? Mbona sikuhizi Kila mmoja anatafutwa followers tu kwenye mtandao! Dr. Sule katoa na elimu ya Pete wewe hujatoa elimu hiyo. Msituchanganye.
@rahmasalum1317
3 ай бұрын
Nikweli madini ni muhimu kuvaa lkn sio kufanya shirki
@eastafricaqualitychickenfa9916
3 ай бұрын
Naona kelele tu sijaekewa chochote
@hilalalhabsi2047
3 ай бұрын
Sasa pete umevaa nje, damu ya ndani ya mwili imefika vipi?. Au kama herizi. Hapo unavhanganya madawa. Madini tiba kueka kwenye nyumba kama herizi na mwili au. Mie naona hapo jibu la kuvaa pete kwa namna hio basi hoja haijakaa sawa.
@hilalalhabsi2047
3 ай бұрын
Wauza dawa ongeeni kwa dalili, sayansi baada ya dalili sio sayansi mwanzo. Sayansi itakuambia ulikuwa SOKWE. Vipi tufuate tu madini ya SOKWE?
@isihakaabdul1134
3 ай бұрын
Sheikh wewe km hawatakuelewa yani hawataelewa tena na maushirikina yao, shida Kondo Bungo unapotea sanaa
@HamisAbdallah-cj2sc
3 ай бұрын
Uongo Kama nikweli mbona hatuoni elimu hii ikifundishwa kwenye vyuo vya kiisilamu.pia kwamaelezo yako tungeona wazungu wanavaa Sana maana wao asilimia KUBWA ndio watafiti nakubaini kuvu ya madini sasa hatuoni wakivaa hayo mapete wala waarabu hawavai hayo mapete waafrika washirikina Sana haya mambo yameibuka baada tu ya DK kudai nguvu ya Pete ndio tumeona masheikh mnaripuka mnachunaganya
@khaliphaabubakar9466
3 ай бұрын
@@HamisAbdallah-cj2sc Kwahiyo wazungu na waarabu wakiongelea na kuvaa madini ndio utakubali?Huo unaitwa ufinyu wa akili. Nenda ka google “faida ya kuvaa madini “
@zaydamos874
3 ай бұрын
Muogope mwenyezmungu kumbuka anakusubir umeongea yote cjaona ushahid wowote kutoka ktk kitabu Cha mwenyezmungu Sasa nikuulize tuwafuate hao unaotuambia au tumfuate mtume na kitabu Cha mwenyezmungu na sunna
@hilalalhabsi2047
3 ай бұрын
Mie naona bado yupo pale pale anaamini tamima NA tilawa viashirio vya herizi. Kunywa sawa, kuvaa nje vipi?. Bado jamaa hajasema kitu anazunguka
@Ramadhan12623
3 ай бұрын
Kwan mtume kakataza kuvaa pete KASEMA wanawake wavae zahabu ili ngoz zao ziwe nyololo na wanaume wavae feza kwahiyo nae mtume ajui anachokisema embu kuwen na inswaafu na uwadilifu
@hilalalhabsi2047
3 ай бұрын
@@Ramadhan12623 hakusema ili ngozi iwe nyororo wala ngumu. Sheria ya dini imeharamisha tu. Wapo wanaume hawana dini wanavaa tu mbona. Mie wanangu wakike wadogo mewavisha herini za fedha ni fresh tu sio kharamu kwao. Ni kharamu imeekwa mwanamme tu kuvaa dhahabu. NA peponi wanaume watavaa dhahabu wakitaka.
Пікірлер: 23