Nanga u have the capability to fill the gap left by legend #Mzee Majuto rip,u need to improve place where you shoot your vida not everytime unashoot Kwa Ile nyumba yenu no. 1 fan from Kenya
@afterx3172
7 күн бұрын
Always huwa nafatiliaa san clips zako hongereni sana
@alirissa4474
7 күн бұрын
Nanga mngepisha Adhana halfu mngeendelea
@raymondclaud6026
7 күн бұрын
Acha kuchanganya dini na Sanaa hii nchi sio ya dini moja
@Thisisgrace979
7 күн бұрын
@@raymondclaud6026hivi vitu vinanichanganya aise. Sana sana dini ya upande wa pili.
@nancyfantasia1945
6 күн бұрын
@@raymondclaud6026saaafi hawa sijui wanajionaga nan hawa😅😅😅😅😅😅
@mohammedmohamed9969
4 күн бұрын
@@raymondclaud6026acha ushoga ww tutakup Diddy yaan unaongea ujinga kwan hapo kaongea kipi kibaya hii nchi Ina misingi,miiko na maadili yake walipaswa kupisha adhana mpuuzi ww
@mohammedmohamed9969
4 күн бұрын
@@nancyfantasia1945tunajiona wasafi na watakatifu kwani we unataka Nini kwamfano mpuuzi Nini wewe
@JamesMoses-bf4qj
7 күн бұрын
Wakusmarta jau sana 😂😂😂😂
@godfreygoyayi6576
6 күн бұрын
Ku act mnajua sanaaa. Shida creativity. Vitu vyenu vinafanana sanaa. Issue zenu nyingi ni mnaitana mnakaa mnaongea weee afu ambavyo ni common na vilevile. Ila kujua mnajua sanasana muongeze ubunifu
Пікірлер: 26