Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 32 nina watoto 3 na wote ni wadogo na mwanaume ni msaliti na ni mnyanyasaji sana ...staki kuambiwa ukweli hana hofu ya Mungu na ajali anasema mchepuo wake ndio aliyeiteka roho yake hivyo ananifukuza ili aishi naye ni fanyaje
@hadihadi9167
Жыл бұрын
Nawenye tumezeeka sura tukiwa single tutasimama wapi 😂😂😂😂
Пікірлер: 6