Bwana ni mwema Mchungaji wangu naomba muombee mwanangu Paty ajifungue salama na kwa wakati maana kuna siku zinazidi kupita naamini Mungu ndiyo Mtendaji mkuu.
@estersaku8655
2 күн бұрын
Pr mungu akubarki saana jina lake litukuzwe Mungu atanitendea kwa Umani
@HappinessAhia-ey1lq
15 күн бұрын
Amen pastor.
@dinahk.7622
12 сағат бұрын
Hallelujah
@AsteriaMontgomery
10 күн бұрын
Ameen barikiwa sana mchungaji
@lydiamuturi-yp6hx
15 күн бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji nimebarikiwa
@gilbertchweya
15 күн бұрын
Ubarikiwe mchungaji ,mahubiri yako yamenisaidia sana. Ningeomba tu nikuje vile nitaongea na wewe.
@annamuyengi5170
11 күн бұрын
Asante mchungaji Mungu akubariki
@FloraNgwada
15 күн бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri haya naomba umuombee samsoni mtoto wangu anakunywa pombe,ananavuta banging yaani Ana kila aina ya uovu,nimeshaomba sana naomba unisaidie
@cerecere5758
10 күн бұрын
Amen Mungu Nisaidie ata kama napitia magumu nisije nikakuwaxia upumbavu
@christinamafuru4784
2 күн бұрын
Bwana asifiwe Mungu akubariki na akupe afya njema aendelee kukutumia kwa ajiri ya mafundisho unayotupatia , naomba utuombee na mume wangu tuweze kupata mtoto
@maulidimgovano6649
Күн бұрын
Amina. Na Mungu akutendee lilotamanio lako
@ElizabethJames-r6n
14 күн бұрын
Ameen pastor
@dinahk.7622
14 сағат бұрын
Very powerful
@HappinessAhia-ey1lq
15 күн бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@JoyfullRwechungura
14 күн бұрын
Baba WA Mbinguni asante Kwa kunipigania, nauona ushindi Kwa familia yangu
@maulidimgovano6649
Күн бұрын
Barikiwa
@HappinessAhia-ey1lq
15 күн бұрын
Mchungaji niombee ufalme wa Mungu utawala kwenye process za kupata green kadi na travel document mapema. Bila Mungu naona ugumu ila kwake naona Ushindi mkubwa. UFALME WA Mungu ufunike Kila hatua
@valentinanduku8718
8 күн бұрын
Asante mchungaji kwa kufunua haya mafundisho
@maulidimgovano6649
Күн бұрын
Amina
@denisenabindu2876
15 күн бұрын
Alleluia kwa yesu ❤❤❤
@elizabethgodfreytondo3052
22 сағат бұрын
Amen!
@dinahk.7622
12 сағат бұрын
Amen
@irenelucas5204
9 күн бұрын
Mchungaji naomba umwombee mdogo wangu anaumwa.
@RoseRashidi-p9b
11 күн бұрын
Ameen
@cerecere5758
6 күн бұрын
Barikiwa Sana mtumishi
@maulidimgovano6649
Күн бұрын
Amina
@blandinakimbe8910
12 күн бұрын
Nimpende Mungu zaidi na kutafuta utakatifu
@CarolineMwambire
8 күн бұрын
Ufalme wa mungu uje kwa kila kitu ninacho kihitaji sasa
@RoseKimishabhalemi
5 күн бұрын
Mchungaji umegugi inategemea mwelekeo kwa nani? Maana hata walioko kuzimu wanamwita shetani baba., au mungu hivyo inategemea.
@RAZALOCHUMA
11 күн бұрын
Naomba niombee nimekua na loho ya uoga
@LoynesMalkusi-zx4yn
14 күн бұрын
hakika mcheni mungu na kumtukuza mwabuduni yeye maana saa ya hukum yake imefika mchungaji mbaga ubalikiwe sana
@mamajd251
15 күн бұрын
Nipataje kitabu hicho? "Siri ya maombi yaliyojibiwa".
@happyness-bs3tr
15 күн бұрын
AMINA AMINA
@LovenessTg
8 күн бұрын
Mchungaji Mungu awe nawe kwa kazi nzr uifanyayo mi nisaidieni namba yako
@LovenessTg
Күн бұрын
Kwa kweli nafurahia mahubir yako mungu awe nawe
@JoohslinJoseph
11 күн бұрын
bwana yesu asifiwe mchungaji naomba uniombee Nina changa moto ya moyo kifua na vidonda vya tumbo na uchumi wangu unayumba na nikipata pesa haikai
Пікірлер: 35