Nabarikiwa sana na mahubiri Mungu azidi kukutumia pia hua nakuombea kwenye maombi yng
@saighilunyangusi4986
2 жыл бұрын
Hakika napata uelewa niliokuwa sina. Barikiwa sana pasta na timu nzima ya mahubiritv. Songeni mbele mmekingwa na nguvu za Mungu hata kusudi litimie. Wasikilizaji na watazama nawaombea mfungulie macho ya kiroho myaone na kuelewa tunayoletewa ya mapenz ya Mungu.
@alicenyakawa2062
2 жыл бұрын
Thank you pastor Mmbaga for the encouraging sermon, really there is surprising benefits from your teachings. May God bless you and gives you strength
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Amen
@kabaranamaganga6646
2 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Tafadhali mwambie pastor nina shida ya maombi nina tatizo la presha ya kupanda na moyo kupanuka.
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Pole sana. Tunakuombea . Mtumie ujumbe wa Whatspp +255 755 932 283
@benedictojakobo4425
2 жыл бұрын
Kiukweli Mimi napenda mafundisho yako Sana tu, mungu akubariki ninge litamani siku moja ukaribie uku kwet bunda mara🙏
@FloraNnko
2 ай бұрын
Mungu akubariki pr nimekuelewa vizuri barikiwa
@kingdullah7843
Ай бұрын
ww ni mwalimu wa kwel nimekuelewa sana mungu akulipe mema
@niwagwenemayeye972
2 жыл бұрын
Somo zuri sana Mwenyezi Mungu atusaidie kusimama imara na kuelewa
@mshigilakarume4425
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@mussatete2618
2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi, kunamida huwa unachekesha kweli na hiyo mifano😆😆😆😆🙏
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
Nitaomba kuingia mbinguni, Kwa BWANA
@raelsarange638
2 жыл бұрын
Mtumishi be blessed may God strengthen you I have learned a lot from you be blessed once more 🙏🙏
@salimkatana6721
2 жыл бұрын
Somo zuri sana.
@esthermboje8959
2 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na masomo yako mungu akubariki mtumishi
@clintonjeah2860
5 ай бұрын
Pastor Mbagga tuko pamoja sana
@raelbosibori7131
Жыл бұрын
Im happy pastor sababu nimesonga kiwango ingine kwa maisha be blessed
@phylliskiendekiende1783
2 жыл бұрын
Blessed here in Kenya
@aloycegasper5188
2 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji Mbaga umenipa nguvu na namna ya kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu
@lydiahsarange7430
2 жыл бұрын
Amina mjungaji kwa usemi wa hakima na maarifa ya hali ya juu.asante sana na mungu azidi kkuongeza saidi
@benmurphy8927
2 жыл бұрын
Pastor naomba siku utoe somo namna ya kusoma biblia sababu watu wengi tunasoma kama kitab cha hadith
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Noted
@paulinekisorio9098
2 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Hello pastor . Thanks kwa today message.🙏 I listen to this video by open dairy on the tales of two messiah. How true is this 🙄🙄. Tena this video by the same Topic their God is not our God
@agatheminani9807
2 жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri baba mchungaji,Mungu wa mbinguni akubariki
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Mutumishi Wa mungu nakufata kutoka omani nisaidie sana mawazo yakushindwa ya itoke sababu mimi mawazo yangu yote inakuwaka nawoga kusema nitashindwa ku fanya jombo najikaza ya itoke ila mawazo hayo hayanitoke ila ku endelea ku sikia mafundisho yako nitafanyikiwa amina
@juharazanzi997
2 жыл бұрын
Amina Mungaji barikiwa sanaa
@rhinakiza
2 жыл бұрын
Amina pastor nilipo ngoduwa siri hio najivunia huo Baba Yesu
@MN-hi8ll
2 жыл бұрын
Nabarikiwa na neno la Mungu
@user-vi7db5sj8x
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu natamani kujifunza zaidi, ninapopata wateja wengi namshukuru Mungu aliyetupa riziki maana Mungu ndiye ngawaji wa riziki, nikimpunguzia mwenzangu wateja maanake namuelekeza Mungu kuwa umesahau jirani yangu?
@melvinnakhungu2504
2 жыл бұрын
Amen
@nsajigwakipembe2763
2 жыл бұрын
Mungu Baba ni mwema xna somo zuri
@strongmummy580
2 жыл бұрын
Surely pastor what you spoke reality in ourselves, all this nimeshudhia kabisa
@fridayuda9577
10 ай бұрын
Nimebarikiwa Sana na mahubiri haya mwenyezi akuzidishie tuendelee kujifunza zaidi
@williammussa5621
2 жыл бұрын
Nimemuona kijana Makala apo...mtu makini sana
@samuliharunk7782
Жыл бұрын
Nime balikiwa saana nahubili hili nanina zidi kuujuwa ukuu wa Mungu kupitia masomohaya Mungu akubaliki,
@dianasmachera5413
2 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@shaniaking7525
2 жыл бұрын
Mungu akubarik nimekupenda huna ubaguzi wa dini wala kashfa,
@luciasteven6441
2 жыл бұрын
NAJIONA NI MWENYE NEEMA KUBWA....KUFUATILIA MAFUNDISHO YA MCH....MBAGA......YANI HII NEEMA SIIFANANISHI N CHOCHOTE....ASANTE MUNGU KWA NEEMA HII🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@rausoni
10 ай бұрын
Mungu,akubariki,sana,mchungaji
@victoriajames6190
2 жыл бұрын
Amina
@brunomirambi8792
2 жыл бұрын
HATA MIMI ULISHA NIFUNDISHA NIMETUMIA NA MUNGU HAJAWAHI KUNIANGUSHA KTK HILI LA KUFUKUZA PEPO KWA HILI MUNGU AMEKUWA MKUBWA SANA KTK MAISHA YANGU.
@ruthaminga9525
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@gracedickson6926
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na Haya mahubiri 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@brightonngerere5588
2 жыл бұрын
Pr unanibarik mungu mwema akubariki
@bitishoriziki1113
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wam🤲🤲🤲🤲🤝🤝🙏🙏❤❤ngu
@golasrichard4400
Ай бұрын
Be blessed..
@jebetkiplagat835
2 жыл бұрын
Umeniogoa kwa alama ya 666 nilikuwa natakikana wakati nilisikia maubiri yako nikaona wanakusemea why oh my God niombe jina langu nitolewe Mimi ni kiplagat chebet nko Saudi Arabia pliz pray for me
@user-ur1eq9uh8o
10 ай бұрын
Somo nzuri
@learnenglishandfrench4910
2 жыл бұрын
Asante baba mchungaji kwa maombi mazuri
@ekelaalex9411
2 жыл бұрын
Amen Pastor
@zenalzen8997
2 жыл бұрын
Amen be blessed
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Mtumishi wa bwana
@jackplaymacheku3021
4 ай бұрын
Amen🙇♂️🙇♂️
@faustianwali-mutekulwa8878
2 ай бұрын
❤amen
@ndakipetro4502
Жыл бұрын
Mchungaji nashindw kujiunga na App ya mhubir tv
@bitishoriziki1113
2 жыл бұрын
Amen amene kbs
@salumuathumani2217
2 жыл бұрын
mchungaji mbaga uwa nakuelewa sana
@emanuelayo6723
2 жыл бұрын
Mchungaji na ni mwalimu , nakuombea Mungu aendelee kua ndani yako, nabarikiwa na kila msg inayo pitishwa kwako na Mungu mwenyewe,
@ChanceBariziraVital-cv5jx
2 ай бұрын
Pasita nakuomba utusaidie.kwaswalilinalo sumbua jeyesu ni mweusi
@ellenmbota1241
2 жыл бұрын
Amen amen
@karlgabrielwilfredkalivuba927
2 жыл бұрын
Glory to God
@maureenkemei9254
2 жыл бұрын
Amina sana nimejifunza kutoka kwako tangu nikusikiliza ni nikujifunza kila siku na kwa kweli limezaa matunda. Asante Sana Mungu akubariki.
@bitishoriziki1113
2 жыл бұрын
Ahhhha pasta una chesha kbs
@mossesjoseph2202
2 жыл бұрын
GLORY TO GOD.
@busaramduma581
2 жыл бұрын
Amina mchungaji
@irenejoseph5925
2 жыл бұрын
AMENI kubwa
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
na spiritual connection
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
Yani Kama mie nikilazimisha vitu ninakomaaaa
@susanolambo9723
2 жыл бұрын
Biblia inamaanisha nini inapoasema kwa mfano wake na kwa sura yake? Msaada wa kueleweshwa
Пікірлер: 84