Nakupenda sana shishi kiukweli wewe kwangu ni zaidi ya mwalimu. Alooo najifunza mnoioo❤️❤️❤️❤️❤️✍🏻✍🏻✍🏻🙌🏻🙌🏻
@helentelemla5623
3 ай бұрын
😂😂😂 Ila Shishi kuna vipengele huwa unanifanya nicheke😂😂
@tataLil-i3v
3 ай бұрын
Nakubaliii kwenye music ❤shishi trump,shishi baby! Mchawi Hela a! Tubless na Ngoma moja 2024
@siriyangu4724
3 ай бұрын
Shishi baby uwa hana maingizo 😂mashallah ❤kijituma upandilishe maisha uliyo toka
@JudyUrio-zy7ri
3 ай бұрын
Hongera shishi Mungu aendelee kukuinua
@dn.n4983
3 ай бұрын
Ni kweli vijana wengi wavivu kulala kuangalia Nexlifix Yaani tena kaa nao mbali shishi wasikuone hapo ulifanya kazi hii muhimu wanaume na wanawake ubarikiwe wote
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
3 ай бұрын
Inasikitisha kweli mwanamke anamka saa kumi anaji taarisha na mapambano ya siku hile anataarisha watoto, kwa mavazi, vyakula, kila unacho kijua wewe, mume kalala hapo hapo ana ngoja umuamshe tena si mara moja mara tatu ina boa sana...
@NasraSaidi-dq7fh
3 ай бұрын
Mimi sikuamshi nakuacha hapo sikuulizi kitu utajiongeza
@mohammadoman8963
3 ай бұрын
Lkn si alimridhia yeye pia alijuwa mume hana kazi kwa nini alimkubali pia mwanamke akiwa na mali inafaa kumwiinuwa mume
@ashaabdalla924
3 ай бұрын
Kabisa yaani umeongea point na huyu wa 2 anaonesha shishi anataka wanaume wasokuwa na kitu awaache hawadhalilishe si vizuri lakini@@mohammadoman8963
@davidkisinini8855
3 ай бұрын
Very nice interview.
@TediFwoma
3 ай бұрын
Nakupenda mpaka naumwa
@Amina-ig3jw
2 ай бұрын
Tukuue is typing 😂😂😂 but dada shish uko sahihi❤❤❤
@ummySheikh72
3 ай бұрын
💯💯👆Nimekuelwa saana. Wapo wengi hao majumbani
@ernestkatyega5781
3 ай бұрын
Kwahyo mwanamke ahudumiwe na kaz aendelee kufanya Sasa mwanamke hela zake zinaenda wap.masingo Maza wataxidi kujazana mtaan afu masela hawaowi😂😂
@ireneshayo413
3 ай бұрын
Chuma hicho kinahitaji UTULIVU TU.!! We huigopi😂😂
@TheresiaMrema
3 ай бұрын
Olewo tu dada...Kwani kuna shido😂
@shanifambaraka-v6y
2 ай бұрын
❤❤❤
@oscanyakunga
3 ай бұрын
DADAANGU HIYO SIO NZURI SI UNAWATOTO NDOA NYINGI SIO VYEMA KIDINI SIJAJUA ULIKO
@PaulinaSengasu
3 ай бұрын
Kweli wauliwe 😂😂😂😂😂😂😂
@AzaAzamhmod
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂shishi❤❤❤
@Mwanah-cg3ie
3 ай бұрын
Kwer kabisaa ❤❤
@righitkileo
3 ай бұрын
❤❤❤love u❤❤ wewe dada.unapambana.nakupenda ❤❤❤ mapenz bila pesa Nonses kwa kweli❤❤❤Nakutaman.sana❤❤❤❤❤
@LoiceGalugalu
3 ай бұрын
Nakukupenda tajiri huna baya
@AhmedHamza-e4j
3 ай бұрын
Hiyo itakuwa ni nyama au ni gerej kila gari yaingia
@mikidadymohammedy7603
3 ай бұрын
Duuh! hatar
@SAFINESSCHEZUE
3 ай бұрын
6:30
@johnbugumba9054
3 ай бұрын
Wanawake hawaeleweki siku zote, kwani kabra hajaingia nae kwenye mahusiano hakuliona hilo? Kinachotokea ni kuwa na yeye ni malaya tu hawezi kutulia na mwanaume mmoja ndiyo maana yupo na huyu mara huyu na hao tuofahamu
@annajohn3377
3 ай бұрын
Shilole mwili mkubwa uso wakitoto halafu mcheshi sana
@hyacintagugu7
3 ай бұрын
Nimemuona live..Ni mzuriiiii
@beinafuu6219
3 ай бұрын
Pesa zenu uwa ni zenu uwo ni uwongo mno.kuacha kazi ni sawa
Kabla ujaolewa ulikua ujui mwanaume wko wa aina gani 😂😂😂 foolish
@ThomasAlute
3 ай бұрын
Utaolewa hata kwa ndoa 30 kwa Sheria ipi na kwa Dini gani mzinifu wewe mbwa
@omanoman2044
3 ай бұрын
Hakika asie fanya kaz aende akapambane naujinga wake uchebe alikuw mme ww tuy ndo ulishidwa kufata masharti ya din angekuokoa kesho akhera
@FloraJoseph-xd2kw
3 ай бұрын
Shishi fungua shishi food mwanza
@omanoman2044
3 ай бұрын
@@FloraJoseph-xd2kw sehem gan huko mwanza jaman nina milion 6 natafuta pakuweka hiyo sehem hebu nambie
@StelaJohn-nj5yf
3 ай бұрын
Pambana Shishi! Umeongea point.. Bless you❤
@azeezaya8510
3 ай бұрын
MashaaAllah MashaaAllah nakupenda shish
@mataypanga5262
3 ай бұрын
Wewe naona una akili sana,mwanaume ndio akuache kitandani afanye kazi ila kama mwanamke ndio kajaliwa zaidi sawa na mwanaume naye atafute kadiri ya uwezo❤
@SurprisedAstroStation-bb3nn
3 ай бұрын
🤣🤣 wanaume tafteni hela mjue tu mwanaume akiwa na hela ni rahisi sana kuishi na mwanamke ambae Hana hata mia lkn sio mwanamke kuishi na mwanaume ambae Hana hela hawezi tuwape maua Yao wanaume jmniii wanaviti vyao pepon 😂🤣🤣
@gaspercharles2244
3 ай бұрын
Utakufa wanaume nao wana bad spirit Kuna shida dunia hii acha kuruka ruka tulia Mungu hawezi kukupa kila kitu be careful
@philemonmagesa5548
3 ай бұрын
Hata na wanawake ukiwabadilisha tofauti tofauti Wana bad spirit na kujiongezea mikosi kwahyo sasaiv sio wanaume au wanawake wote hawaeleweki ni kutokana na maisha ya sasaiv na malezi ya mtu binafsi
@JeannetteManirambona-o6m
3 ай бұрын
@@philemonmagesa5548iyo tatizo ipo pande zote
@FatmaHamad-g6s
3 ай бұрын
Olewa tu dada utampata wakuzikana nae tu kuliko kuzini sio ishu
@mataypanga5262
3 ай бұрын
Siyo kuzini ,anajipa raha😂
@rehemaqueen8646
2 ай бұрын
Daah umefanya kitu kizuri sana shishi allah akujaalie ulipopunguza
@fortunataangelo5575
3 ай бұрын
Yaani miwanaume ikiona mtu anapesa, haimpi, chochote hata zawadi, na ukweli ni kwamba tunahitaji pesa hata kama tunazo😊
@bahathmuro7145
3 ай бұрын
Yaaan tunazitaka sana hata kama ni buku si ya kupewa jamani
@habibajumahabiba6730
3 ай бұрын
Nimependa shishi kaongea ukweli wanaume wanapenda mtelemko sana ❤
@iamobadia3295
3 ай бұрын
Kwani yeye alipenda nini kwa yule mwanaume!!!
@marthaigogo18
3 ай бұрын
Tunatakiwa kuacha alama kwenye maisha ya watu📌
@rochiusromward8495
3 ай бұрын
Na alama enyewe ndo hii
@ChidyMfululu
2 ай бұрын
Anapenda vijana akiwachoka anakashifu sasa vijana wataish nae kama mshangaz.tu
@mapishiyetumazuri2312
2 ай бұрын
Hapo kumsadia mungu atakulipa
@rajabdibwa6415
3 ай бұрын
Kwani toka mwanzo hukumuona? Sema umeshamchoka😂
@faithkaganda-k3s
3 ай бұрын
Ila vido akaamua arudie silent ocean 😂😂cyo silence osen😢😅😅nakupenda sana dada shishi❤❤❤🎉🎉🎉
@faithkaganda-k3s
3 ай бұрын
Au unasemaje suzy😂au unasemaje suzana🤷♀️🤣🤣🤣🙌🙌❤❤❤🎉🎉🎉
@taitadollnicky273
3 ай бұрын
Mwanzoni ujanani alikua yuonekana Hana mwelekeo wa maisha...ila mashallah 😊
@HassanHassan-si2rt
3 ай бұрын
Mwanamke kuachwa zaidi ya mara 3, Basi kwako ni DOA na ujue ww mwanaume mwanamke huyo HAKUFAI,
@irakozeshakiru1131
3 ай бұрын
Nagupenda sana Dada shishi ❤❤❤ from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@husnamohamed9245
3 ай бұрын
Shilole mie mara yangu ya mwanzo kukusikiliza hodari sana umeelezea vizuri mungu akubariki. Tungependa uje ututembelee canada pia shilole, natamani hata mie nifungue restaurant au saloon lakini niko mbali
@samiramawby1257
2 ай бұрын
Shilole ulichomfanyia Ringo ni kikubwa mno🙏Baraka ikufate
@rashidikhassim8125
3 ай бұрын
Unajua binadamu tuna akili gani wewe furaha yako mpaka utuchangishe ili iweje wakati kuna uwezekano wa kufanya jambo Kwa uwezo wako
@iamobadia3295
3 ай бұрын
Mimi najiuliza kama uyo mwanaume alikuwa ajiwezi yeye shishi alifuata nini kwa uyo mwanaume😮
@lenniefei6710
3 ай бұрын
Hilo dongo nalo !😂
@KinguKingu-mg4ig
3 ай бұрын
Mboo
@OliverKassim
3 ай бұрын
My RÔLE MODEL jamani ...., Nakupenda saaana jmm
@AshaRamadhani-r2o
3 ай бұрын
Shishi tupe ajira bc jamn
@ChenchiKing
3 ай бұрын
Shishi Ni Mtu Wa Mana Kweli Mungu Akubariki Kwa Moyo Wako Huo
@AziziMapunda-vt4nv
2 ай бұрын
Ukokuolewa nakuachika ukwosio kupambana ni kujizalilisha tatizo nimoja masikini akipata--------
@MassoudSalim
3 ай бұрын
Shilo wewe wabake tu wakumiminie kojo olewa tu uuuuuuuuwi bado zamu yangu.
@dignakanje4508
3 ай бұрын
Olewa hta namia ,usiburie nawatoto wako kuolewa nawanaume kma waliokuoa ww.Unadhani kuwa najina kubwa pesa ndio sifa yakumvulia Kila mwanaume nguo.Utajikuta umeshazeeka kwabeba Kila kibenteni Wanakukubalia kwakuwa unavijisenti
@elishakayagwa9371
2 ай бұрын
Hicho ni kiburi cha maisha tu ila fikiria baada ya kufa unakwenda wapi? Huo mwili wako utachunguliwa na wanaume wangapi? Huo ni ujinga tu
@VashtyBurge
Ай бұрын
Watu wako commitment na kami zao😂😂😂
@sir_ENOCKMACHA
3 ай бұрын
Ameongea vizuri si kwa ubaya...tena nimependa kipengele cha wote mume na mke kupambania kombe,hiyo nimeipenda sana....kukomaa
@AdamSaffi211
3 ай бұрын
Hilo litakuwa shimo au mtaro? Utalipa kodi ya manispaa?
@loner_wolf
3 ай бұрын
Hivi Shishi unajua ulijulikana sana baada kuonekana ktk Tamaa mbaya ya 20% ?
@ivankadaudi8161
3 ай бұрын
Uyu dada ana moyo waupendo sana ndio mana haanguki watu msiwe namikono mifupi kusaidia❤❤
@ConfusedLighthouse-so9mc
3 ай бұрын
Nakupendea shishi unavyoishi
@AmaniManase-x1i
2 ай бұрын
Mbunifu sana kwenye biashara yako
@lulurubby2235
3 ай бұрын
Kuolewa ndoa nyingi pia ni mikosi, huyu anapenda kula viharage hawezi kaa kwenye ndoa
@sleeprelaxation8431
3 ай бұрын
huwa napenda kicheko cha shishi, pambana dada yangu
@stamilihalifa2763
3 ай бұрын
Mbona uja fikisha ujumbe wa bwana mangulue kutaka kumuowa
@catherinesembeka1417
3 ай бұрын
Kweli dada Ake kikubwa furaha ya moyo.👌🌹🌹🌹♥️♥️♥️💯💯
@bossmolellsisiya4101
3 ай бұрын
MIMI BINAFSI NSMKUBALI SANA HUYU DADA NI MPAMBANAJI SANA ALAFU NAMPENDA ANAVYO JIAMINI YAANI HUYU NI IRON LADY NAMPENDA SANA HUYU MDADA JAMANI NI MPAMBANAJI ANAE JIAMINI
@AminaAmina-cr8jq
3 ай бұрын
Wakti huna hela ulikuwa unasema mme,wangu je kama ni yota,yake inaitembeleq,agalia usije ukayumba
@mwasitigervas2624
3 ай бұрын
Kwani shilole uliitenbelea china yote manayangu😂
@yunhonct5971
2 ай бұрын
Ongera sana mwanamke mwenza Maisha sio ku kaa tu , kushugulika pia., ❤❤❤
@esterdoriye8377
3 ай бұрын
Interview ya shilole haichoshi majibu yake yapo on free stress
@Shehasweet-hy6xn
3 ай бұрын
Nand kampa hela mumewe wamefungua biashara..mbona wewe usifanye hivyo
@awatifalghanim1106
3 ай бұрын
Mtangazaji huna kazi sasa unataka kujuwa nini bei ya 👜 handbang.???
@ukhutfatumah1154
3 ай бұрын
Auna BAYA shishy baby enjoy dear
@mrliverpoolynwa7641
3 ай бұрын
Shilole naomba nikuoe❤❤❤❤❤
@fauziasultanikilewa7602
3 ай бұрын
Mimi ndo ntaquwa wifi yaqe au sio
@umalqasimalhamhami6707
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatumamtukane6060
2 ай бұрын
😂😂
@LovenessJames-r9l
3 ай бұрын
Ndo utuonyeshe kwa nguvu iyo macho ma3 yako aya tushaona😂
Wapo very committed na kazi yao.. na si wapo very commitment
@bennamush4616
3 ай бұрын
Dada shishi emb nisaport laki mbili tuu jaman nikafanye biashara flani ivi nimeiplan
@gloriamsaki9109
3 ай бұрын
Embu?`Naomba'
@tigejuma9865
3 ай бұрын
Watu wako committed na kazi zao...sio commitment dadangu😅
@madammbago9787
3 ай бұрын
Umekuwa mdada umepndz ubonge ulikuzeesha
@HarunYussufAyoub
3 ай бұрын
Shishi tupe ajira basi mdada na sisi utuinue ndugu zako. one love sister
@khalsasalim7930
3 ай бұрын
Nyege zilivyoisha ndio unaona mwanaume analala 😂
@sergebaleke695
3 ай бұрын
Shilole eti sio kuleta mauwa tu😂😂
@Zuwenasalum2788
3 ай бұрын
Berkin Hermès. 4000usd waaaouh
@mvmezerosamira3960
3 ай бұрын
Shilole mpambanaji tatoka mbali na apo anafika mbali
@huldamichael4445
3 ай бұрын
😂😂ila hili litoto la Igunga bana!!!nalipenda tu
@nicolauselias9084
3 ай бұрын
Mwana mke mzuri lakini tabia mhh huyu demu umalaya uko ndani ya damu kwahiyo wanaume tuwe makini nae tafauti na hiyo atawamemenda saaana mamaaaaeeeee zake
@lunangabenjamin3121
3 ай бұрын
Shishi usiende tena juu yakuongeza shepu,feki.tunataka mpango wa shishi chakula tu.
Пікірлер: 173