Dah! Nimempenda sana Shishi Baby kwa kuwa real na kuwapeleka wenzake mpaka home manake wasanii wetu wengi wanapenda maisha fake tofauti na alichoonyesha Shishi baby. Much respect kwake
@funsupadatestourists9256
7 жыл бұрын
I'm
@fatumaomari8115
6 жыл бұрын
BARAKA MWAMWAJA sana sanaaa
@blessjustus2356
5 жыл бұрын
yap
@nshonabdll9363
4 жыл бұрын
Ss unakuta ck wakifika wt walienda kuzika ndo unakuta tena wt kuadisia a bora wapajue kqbla hj pt shida
@mwanahella9650
8 жыл бұрын
yaani ktk wasanii wasojali kbs ni shishi na wala hajali kbs mkataa kwao mtumwa mtu kwao mama
@sirbosco3645
7 жыл бұрын
angekuwa mwingine wasingeenda
@mwanahella9650
7 жыл бұрын
+SIR BOSCO. 😂😂😂 hawa ndo wanawake wa kuoa.sio Mwanamke akifika mjini anasahau ya nyuma
@sirbosco3645
7 жыл бұрын
Binafsi nilivyokuwa namfikiria ni tofauti afu yupo na confidence kubwa ulimwona wakati anamchana Msanii .... kutumia mkorogo
@mwanahella9650
7 жыл бұрын
+SIR BOSCO 😂😂😂 alimuuliza young killer akazingua kusema kweli.ikabidi amwambie unapaka nachokipaka mie😁 kwakweli ukijiamini utaishi kwa amani sana kwenye hii dunia.maana hata alivyomchangamkia Nuh si km wengi tulivyodhani mwisho wa mapenzi si uadui
@davidnkwela5931
6 жыл бұрын
SIR BOSCO
@aishaalhvvd2639
8 жыл бұрын
sijui nieleze vip jinsi ninavyo kupenda shilole wanadada wengi wanaficha masingila ya kwa lakini wee auko ivyo hongera my mswahi lakini una roho ya kizungu mungu akusimamie kwa kila ukifanyacho
@stanleymaganga503
7 жыл бұрын
She did a wonderful thing, yani hadi natamani kulia she bring a bongo flever home she made a history kwawana Igunga, Its so amaizing respect kwako SHILOLE
@kelvinwilliam5145
6 жыл бұрын
Fact
@railamypresidentrailamypre629
6 жыл бұрын
Stanley Maganga wengine hawaendi kwao mpaka wafariki
@lightnessmori6485
8 жыл бұрын
nakupenda shilole .... Mungu akupe hatua zaidi ya mafanikio... respect
@denniskiango6901
8 жыл бұрын
Nimeipenda sanaaaa..... kwa dada zetu nivigumu sana kufanya hv wanajidai wapo juu mjini tu
@juxhivinandniwamkoaganjuxj6496
5 жыл бұрын
nakubali maamuzi
@divaifrank4192
7 жыл бұрын
Shilole mi nime kupenda saana huvungi mama kwenu ni kweni ni meipenda sana hiyo
@hamisally7523
7 жыл бұрын
vizuri sana sister shishi, nyumbani ni nyumbani ,big up.hachana na hao masharo na masista duu ambayo wanavunga,we kamanda.
@yusufumiraji7778
7 жыл бұрын
kwa mara ya kwanza naweka LIKE kwa hii video Shishy baby una upeo wa kufikir
Kwenyu ni kwenyu hata kama kibandani huezi sikilia aibu hata wazazi wawe aje huezi waficha.Hongera sana shishi mabadiliko ni mwanadamu hufanya mutumainie mungu utabadili nyumbani😍😍😍
@michaelgoldie3955
7 жыл бұрын
shishi baby...... home is sweet, usisahau ulipo toka ila usiishi maisha uliyotoka,
@sifacycy_bby8827
7 жыл бұрын
MashaAllah Shishi Bby Mungu akuzidishie tena na tena Amani na barka kwenye maisha yako maana wengi wasani sivirahisi kufanya kitu kama hicho mamy Wallah Allah akuzidishie huna majivuno😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏
@chunguenikadovela8384
6 жыл бұрын
Sifa Cycy_Bby igunga ndo mkoa gani jmn
@ashleahpeter1945
6 жыл бұрын
Hgg
@getrudapoul385
5 жыл бұрын
Shishi nimekupenda bure mpaka nimejifunza kitu
@Cris-Kai
8 жыл бұрын
she is very very real...kwa hili umescore sana Shishi!!!
@evansdesantos954
8 жыл бұрын
mimi napenda pale Mr Blue amelala kwa lile godoro n chakula kakiweka godoroni... not only shishi but almost all of them wamekubali mazingiza
@noahmwambopo2365
5 жыл бұрын
Nakukubali sana shish unaupeo sana mama
@ijmanzitv
6 жыл бұрын
Huyu ndye msanii mkali mwenye utu wa udugu msahau kwao na mkataa kwao ni mtumwa,nadhan ni msanii wa kwanza kufanya hivi safi sana shishi bby kigoli
@thomaslandwhale
8 жыл бұрын
Shishi is so brave and strong coz most of our artists is so rare to see dem invite dem frens remote areas like dat
@liliansanga2737
6 жыл бұрын
Waooo nimekupenda shishi
@hancymarin7081
7 жыл бұрын
respect to shishi coz ame show real life ya watanzania n were they came frm. wasanii igeni mfano mzuri toka kwa shilole ka show upendo kuwachukua na kuwapeleka kwa aliko tokea respect kwa hilo. wangekua wengne cjui ingekuaje.. appreciate u shishi
@irenebernard1331
7 жыл бұрын
love u shishi hustler woman keep it ip na mungu yu pamoja nawe love u sana sanaaa
@josephmasindi7348
8 жыл бұрын
its something very awesome i respect u shishi bby
@zaitunikasimu1751
5 жыл бұрын
Joseph Masindi
@nyandamisana3630
6 жыл бұрын
Kuanzia Leo mimi shabiki yako
@254sexiest4
8 жыл бұрын
shish we mkali love u so much u nver forget where u come from and that is a good thing u av done God bless ya so much wengine wafuate mfano huo
@oscarpatis1575
6 жыл бұрын
sana tu wanangu
@josephstephen2047
8 жыл бұрын
Sema Blue msela sana yaani kaamua kujiachia kabisa kwenye kigodoro chembamba namna ile
@hurremsultana270
4 жыл бұрын
Wise Noizy noma San
@harunilibangite7205
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@agogodadimwa3886
8 жыл бұрын
NIMEKUWA AGAINST THIS GAL BUT KWA HILI NIMEKUMAHABA GHAFLA.BIG UP SHISHI.
@edsonandrew2844
8 жыл бұрын
Shilole huwa unani bowa sna ila kwa hili ss nakupenda sna tena wewe ni msanii unae paswa kuigwa kwa hicho ulicho kifanya ushauri wangu kwako ni kwamba fanya kazi kama sehemu ya maisha yako naimani utafika mbali sna ongera sanaaaaaaaaaaa
@tembasimba9462
7 жыл бұрын
Mimi pia nimempenda sana. she is so open and real
@tatuhamiz4733
8 жыл бұрын
kumbukeni shilole hana wazazi kwa dada yake ndio laifu yake bravo shishi baby
@hassanaloobaidan25
5 жыл бұрын
2019 shishi aiseeee safi dear hongera sanaaa ndio maana unasonga mbele na hivi ndio maisha yanavyotaka
@wangwemrongoti3
5 жыл бұрын
Ur among of da super women keep it up shishi👏👏
@hassandude5085
8 жыл бұрын
u have done something very good shilole,,God bless u abundantly..
@lucaslucaswalogwa9524
5 жыл бұрын
Katika vitu ambavyo nimeshangaa ni upendo wa ajabu sana alioufanya shilole na kudhihirisha nyumbani ni nyumbani hata kama pako vipi wengi sana hawawezagi hili jambo big up my ccter
@thabitmolly6957
7 жыл бұрын
Hongera Shishi kwa kuwa na courage lakini nakushauri ufikiri mara mbili huko nyumbani ukipeleka milioni 10 tu unabadilsha kila kitu maisha yanakuwa bora sana Duh... kweli maisha si kama tunavyo yaona jitahidi dada ake hiyo hali ya nyumbani inatisha.
@salum8831
7 жыл бұрын
nikweli kabisa 10 milioni inaweza kubadilisha vitu kibao hapo home kwao
@suhailalbastaki5531
6 жыл бұрын
Thabit Molly asha sema sikwao ni kwa dadake jamani
@hopechidera
6 жыл бұрын
Suhail Al Bastaki kwani kwa dadake ndio hawezi kutuma hizo 10millioni!?huyo dadake saa iyi ndiye mamake,sababu ndiye kamlea,mama yawo mzazi alifariki Shishi bado mdogo akiwa na miaka misaba(she was 7years old ),hapo ndipo kwao tu.
@smidyjay2886
6 жыл бұрын
Thabit Molly masidhi
@joycekaguo8476
10 ай бұрын
😆😆
@coolmom7329
8 жыл бұрын
this is so nice jaman Good job shishi nimemuona Amina tulisoma darasa moja wow nimelia
@funsupadatestourists9256
7 жыл бұрын
Safi sn shishi ayo ndio maisha watu waige ukiwa star sio ndio ujiwekee juuusn big up kwako
@SAMCHOM
7 жыл бұрын
I almost dropped tears in this ishhh, sijui kwanini hata...I love reality....I MISS HOME!
@lucasmhagama8166
6 жыл бұрын
Safi sana angekuwa mwingine angeficha kwao nyumbani ni nyumbani
@juxhivinandniwamkoaganjuxj6496
5 жыл бұрын
Lucas Mhagama
@sophiasoud2197
8 жыл бұрын
Big up shilole u r one in a Million superstar who never forget where she came from
@nyotalaprincess3393
8 жыл бұрын
I never know you're this sweet shishi, but I love you for this
@dickeyjoseph9187
8 жыл бұрын
big up shishi nimeipenda sana very very nice east to west home is the best
@ibrahimlumbe402
7 жыл бұрын
Real life is good for you guys shishi is doing well.nuhu you have a few days to come up with shish coz u see if you want and you can get it if you like.look around life goes on.
@joarymagaga9082
6 жыл бұрын
Uwazi ndo kitu cha msingi katika maisha 😍 you shishi
@aishamussa7246
3 жыл бұрын
Mashallah mung akzdishie Dada shishi uko real xna
@jameshilya9468
8 жыл бұрын
shilole we ni mtu wa kipekee kabisa katika wasanii wa bongo mungu akubariki sana
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
8 жыл бұрын
big up saaaana shilole na mr mziwanda nuh amenona ama nimacho yangu love you kwamazuri nakusapot but kwamabaya siwezi kukusaport big up lov love
@janepopular889
6 жыл бұрын
Daaah Dada shishi mm comment zimeisha maaana zote Wamesha maliza waliokuwa Wakwanza but msisitizo aumkazo nikujenga home basi nimemaliza Nc Dada shishi 😍 love u mingimingi!!
@engchrispianjohn9681
7 жыл бұрын
Real life not forget. God with u .shilole ..wa kwetu nyumban n nyumbani banaa
@sosanhi4109
7 жыл бұрын
hongera Dada kuna wengine hawapendi kujionyesha katika hayo mazingira ila ww big up siz
@abdallahjuma4881
6 жыл бұрын
shishi...am proud of u siz ..no one like u..aki uko real c kama wengine...
@gmosha1
8 жыл бұрын
i like it... it feels good to see how far u came from and the progress you have made in your life
@user-zh6qj9kd9x
14 күн бұрын
Nimemuona gadina
@zuenaomary9987
7 жыл бұрын
nampenda huyu dsada huwa hajivungi na nimkweli wengine wanajidai km hawajatoka vijijini
@pascolemmanuel4839
8 жыл бұрын
Umetisha sana uko fresh .
@zuhuramabrouk5184
8 жыл бұрын
Nakukubali zaidi ya maelezo shishi kwa hili wallah Allah akujaalie mengi mema Zaidi ...Ameen yarabil alamin +254
@rehemaabdullah7606
4 жыл бұрын
Nimekupenda Sana Dada wasanii weng wakitoka Kimaisha huwa wanaficha makwaoo hongera
@mariamagoma6253
7 жыл бұрын
safi sana dada umekuwa na roho yakujiamini sana, nyumbani ni nyumbani mungu akubariki ktk kaz zako
@jolenejhn8john831
7 жыл бұрын
she's so og.......I love her.
@reymuddy9577
5 жыл бұрын
Shilole we ni mwanamke wa tofauti saaana shuw we ni bonge la dem by the way love you so much
@iamjb44
7 жыл бұрын
Gud she is proud of where she is from. East or West home is best,ametoka mbali. lakini si atleast ajaribu kufanya maendeleo kiasi pia nyumbani.
@happinessnyambita8139
6 жыл бұрын
Vzr dada shishi cyo mtu wa kiki unaonyesha maisha halisi big up my.
@mwanaishambili241
7 жыл бұрын
mkataa kwayo mtumwa nakependaje dda shishi mungu akutangulie kwa kila ufanyalo...mapenzi upofu shishi bby mrudue nuh jamani
@agnesmgomba3421
7 жыл бұрын
uko vzur Ccter shishi huigz maisha, love you
@EmmaMroso
8 жыл бұрын
this is lovely
@noreenmillicient8101
4 жыл бұрын
Dah,,,for real don judge a book by its colour,,this is amazing men
@tatuhaji6575
5 жыл бұрын
Shishi baby unajuwa mm nakukubali kinoma yaan unajiamini sana nafurahia sana uwepowako
@joycemichaellovelove2221
8 жыл бұрын
big up shishi love u
@elicegelard5026
5 жыл бұрын
Fanya uwajengee kamjengo dada Shishi. We mtu mkubwa bhana
@jumafuko9005
7 жыл бұрын
kwa hilo shishi nakupa big up unajuwa wengi tuna fail kuwapeleka malafiki nyumbani hatuwezi nyumbani ni nyumbani tu hats kuweje hongera saana dadake
@toshirohitsugaya6421
8 жыл бұрын
wabheja sana mwanike kommaga mungu akuambilije
@linawitness1126
5 жыл бұрын
Shish nakupenda sana mama
@dianaketegwe8147
6 жыл бұрын
Shishi the fighter very inspirational jaman am inspired
@irenebbygal3511
8 жыл бұрын
Umefanya jambo la maana sana shishi,,,much love 💙💙💙💙💋💋💋💋
@rahmangajime551
7 жыл бұрын
Maua sama ilove u shishi nakupendaje
@esthernyokabikimiti9984
8 жыл бұрын
Niiiiiiiice one shishi. umetisha
@maishayetunibahari
6 жыл бұрын
nimependa sana shilole kuwa muwazi hadi home like you shshi bby
@victorchampion1513
3 жыл бұрын
nice& lovely, yaan kama mm tu
@anitajairos2664
7 жыл бұрын
sina meng sana bt bigup my lovely Sister mana mkataa kwao ni mtumwa mbli nipata funzo juu yawew na nuhu
Пікірлер: 541