Ya Allah mfnyie wepesi Sheykh Othman Maalimu yeye na wazazi wake wawe miongoni mwa watakaoingia peponi Aamin
@siafuonlinetv
2 жыл бұрын
Maalim wew hutaki kuingia peponi???
@luqmanajmal8647
2 жыл бұрын
MaashaAllah ulamaa east africa tunajivunia kwa Allah uwepo wako Allah akuhifadh kwenye rehma (huruma zake) dunian na qiyama Ahsante sana kwa daawa zenye hekma na elimu.
@sturbbornvideoz8547
2 жыл бұрын
Masha Allah Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu
@alimasiga8422
2 жыл бұрын
Alhamdulillah kwa hii khutba iliyojaa ilm, hikma na Takwa. Allah akuhifadhi Hapa duniani na kesho akhera.
@faudhiaramadhani4675
2 жыл бұрын
Mashaaallah nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh Othman, Allah akujaalie umri mrefu
@khadijakurdish7527
2 жыл бұрын
Mashallah tunakupenda sana kwaajili ya Allah na tunakuombea kila lenye kheri katika maisha yako hapa duniani na kesho akhera Na Allah akupe umri mrefu ili uendelee kuitoa elimu hii yenye manufaa katika vizazi vijavyo
@fatmamasafu8606
2 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Allah mwenyezi Mungu akupe uzima, afya na amani na imani na atupe mwisho mwema
@ashuraramadhani9981
2 жыл бұрын
Amiin Inshaalah!!!!!!
@adeshrostom9905
2 жыл бұрын
Tunakupenda sheikh Kwa minajili ya Allah SW. Allah akupe jazaa na atupe hidaya katika Amr bil maarif nahi 'anil munkar. Isiolo Kenya
@RamaMkongwe
2 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Othman Maalim
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Yaani nyie mbona hamueleweki ,waparestina miaaka na miaka wanauwawa na mayahudi wakisaidiwa na marekani mbona hamuliii ,makafiri kigusana kidogo na mahutuba mnatoa
@fahadkhamis1562
2 жыл бұрын
@Salum Juma Ruhaga. Tatizo letu sisi tunatoa maoni bila ya kitu kukifaham sheikh hajamtetea mtu ila mada ya hapo ni usifurahie baya linalomkuta jirani yako hemu kwanz sikiliza vizur alafu utapata lakusema
@aminaismail9736
5 ай бұрын
MASHA ALLAH BARAAKKALLAH ...NAMPENDA SHEKH OSMAN SANAAA ..ALLAH AKULINDE AKUPEE AFYA .ILI TUENDEELEE KUPAATA MAWAIDHA MAZUR .. AMEEEN
@fathatjuma9265
2 жыл бұрын
Maashaallah ALLAH akupe nguvu usichoke kutufikishia nasaha...
@kadulathumani7517
2 жыл бұрын
Mashallah Sheikh Othman . Mmungu akubarik na akupe Umri Taweel. Jinsi khutba zako zilivyojaa Taqwa na upana elimu na busara na miongozo mikubwa. Kipindi kigumu sasa duniyani, Vita hivi , maradhi na majanga mengi. Kweli si ya mmoja. Binaadamu tunahitaji khutba kama hizi kulingania haki na usalama na kumjuwa Mmungu wakati mgumu huu. Tuwaombee Duaa wenzetu hawa na kwa kila penye mabalaa ya aina yake. Allah awahifadhi wao na sisi . Aameen
@hawayussuf9244
2 жыл бұрын
Amin Amin Amin 🤲🤲🤲
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin
@alexbayingana7879
2 жыл бұрын
Aameen
@fatmaathuman4600
2 жыл бұрын
aamiin Aamiiiiin AllahumaAmiin
@maryamabdallah3140
2 жыл бұрын
Assalaamaleikum warahmatullah wabarakatuh ya ummati Islam... Allah akupe umri mreeeefu mnooo wenye manufaa na kheri ktk dini... Nakupenda mnoo sheikh wetu kwa ajili ya Allah
@harunamkakaro113
2 жыл бұрын
Mashaalah sheikh allah azidi kukulinda nahasad zawalimwengu, nakupenda kwaajili ya allah.
@allyjuma6848
2 жыл бұрын
MASHALLA UJUMBE MZURI SANA
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Kwa kipi hasa ambacho ni kipya,huyo shee Hana jipya,ana taka watu waingie peponi kama bi halusi
@yahayasaidi3951
2 жыл бұрын
@@salumjumaruhaga2513 wewe utakuwa kafir tu
@abdallahsaid2924
2 жыл бұрын
89
@halyberryrahmeyadams3335
2 жыл бұрын
jazakallah khayran sheikh Othman kwa mawaidha nzuri sana
@zuhurasalumu6668
2 жыл бұрын
Allah akulipe shekhe wetu duniani pamoja na akhera
@mbwanambwana3646
2 жыл бұрын
Maashaallah Allah akupe mwisho mwema Inshallah
@mbwanambwana3646
2 жыл бұрын
Maashaallah
@zainulabideen6955
2 жыл бұрын
Assalam alaykm ya sheikh Othman Maalim, Allah the greatest may bless you this world and hereafter, ameen
@amourhemed4343
2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri mrefu wenye kheri na mafanikio ns uzidi kutupa elimu ya dini
@bayuuharoub2691
2 жыл бұрын
Mashalaah, mungu akuweke, akupe zaid ya elimu ulionayo, mawaidha yako, ni mazuri sana mashallah
@rashidshukery
2 жыл бұрын
MashaAllah alhamdu lillah jazakum Allahu kheir sheikhi alhabib wataqabbala minkum amin mkono kwa mkono hadi peponi 🌹
@amissiyagara7718
2 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh jazakalh kheri kiogozi Allah akulipe kila lakheri Insha Allah
@shemelaruhinda6113
2 жыл бұрын
Amiina manshahallah Allah akuzidishie 🙏
@imamushafiiforgoodislamict5420
2 жыл бұрын
Maneno makubwa sana hayo Allah akulipe kheri
@aminaismail9736
2 жыл бұрын
Waaleikum salam warrahmatuullah wabarakatuh ..MASHA ALLAH...MAWAZO MAREFU YA SHEKH WETU KIPENZI...UKISIMAMA KUTOA MAWAIDHA BASI...NAFURAHIA SANA WALLAH..MAANA NAONDOKA NA VITU MUHIM KUTOKA KWAKO..SINA LA ZAID NI KUKUOMBEA DUA ..ALLAH AKUPE MAKAZ YALIO BORA MEMA PEPON WW NA FAMILY YAKO NA UMMAT WA MUHAMMAD SAW..WANAEKUSIKILIZA..NA AFYA NJEMA ALLAHUMMA AMEEN 🤲
@sabihaibrahim143
2 жыл бұрын
Naam Shekh inshallah Allah atufanyiye wepesi
@mussaaskar3356
2 жыл бұрын
Mashaa allah❤
@isihakaabubakari6906
2 жыл бұрын
Daaah wallah khutba imejaa elimu,Hikma na busara kubwa mnoo ujumbe umegusa uongozi wa nchi yetu na hao wanaopgana Allah tuletee nusra... Mungu akujaalie Jannatu firdaus pamoja na mtume wetu (s.a.w)
@dadamaisha4470
2 жыл бұрын
Ameen YaRabb. Ameen
@cjireri5651
2 жыл бұрын
Mimi nimkristo ila napenda kumskiliza sana sheikh Othman 👍👍😘🙏🙏🙏🙏🙏
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Mungo akupe hidaya uingia katika uslaam mimi kutoka makaa
@awamimzamiru8461
2 жыл бұрын
Mashallah Mungu akufanyie wepes kwa kila jamb lako Shekh wang
@bongue6003
2 жыл бұрын
Mashallah bonito meu sheikh allah huakbaru
@jafarykangwa2588
2 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu pia akuzidishie ujuz zaid utupe mawaidha yaliyo bora zaid
@ramadhanikhamis2493
2 жыл бұрын
Masha Allah she othmaan nakufananisha na swahabha flan Allah aruhifadh sote Tena kwa khee
@kagoyemwambal9061
2 жыл бұрын
Mashallah Allah ni mwema
@abdisaid7073
2 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh wetu
@ameali1251
2 жыл бұрын
Tabaraka llah ujumbe umefika
@abdickarena-live114
2 жыл бұрын
MashaAllah Allah ni Mkubwa na ni mfalme wa mbingu na ardhi
@jimjam4148
2 жыл бұрын
MASHAA ALLAH. ALLAH akuzifishiye furaha apa duniani na kesho kiyama amin amin YARABI amin.
Amiin yaarabaliaalaamiin yarab tuhifadh na utulinde pamoja na mashekh wetu na viumbe nyako
@fardoshnassor7847
2 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@fauznuhu9981
2 жыл бұрын
Shukrani
@munasayed8657
2 жыл бұрын
Maa shaa allah, jazakallah sheikh wetu.
@aliseif2691
2 жыл бұрын
Hadithi ya panya na kuku ni nzuri inafundisho zuri sana.
@ismailmajani9162
2 жыл бұрын
Hakika tuwe makini inshaa allah
@filmflm5389
2 жыл бұрын
Sheikh mungu kakupa khekima na elmu nanimfasihi wa kauli
@khaajaahmed7464
2 жыл бұрын
Masha Allah shekh
@djmedymovie6815
2 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana Othman na tunomba uendelee kufamisha jamii
@kadogoomushadi5409
2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupepepo wallah miminatamani karma ningekuwa na uwezo niwalainishe rohozao hao wanaouwana waache wasikilizanetu lakini watu ndio kwaanzaa wanachocheatu hilijanga nasisi litatupataabu mungu tusaidie
@arafalubuva3855
2 жыл бұрын
Alaah akulind shk naatulinde na viongozi wabaya
@muddymuzungu4357
2 жыл бұрын
Allah akulipe sheikh
@bigmanfish6346
2 жыл бұрын
Sunna ya ndevu ni sunna tulioamrishwa na Mtume (saw). Kasema tuache ndevu tutowe masharubu. Nafurahi sana kukuona shekh Uthman na ndevu. Mungu akubarik
@heyumi2340
2 жыл бұрын
usipokuwa na ndevu huwi mwislam ana au lazima kuwa nazo
@@heyumi2340 umeambiwa ni sunnah, sunnah iko na thawabu kubwa na fadhila zake ni kubwa mno
@ummuramadhan1842
2 жыл бұрын
Jazakallah Khairan
@omarabedi1372
2 жыл бұрын
Allah Akbar mweyezimungu atupe mwisho mwema
@zainathaljumaa4825
2 жыл бұрын
Asallam Allykm.m/mungu akujalie afya njema
@hashirally4311
2 жыл бұрын
Big up
@johngitonga662
2 жыл бұрын
GOD restore peace in Ukraine
@usamaahmed2624
2 жыл бұрын
Maasha Allah
@kombojuma2807
2 жыл бұрын
Mashallah wa marhaba
@zainathaljumaa4825
2 жыл бұрын
Allah akujaalie mwisho ulio mwema
@mwajitajunior7633
2 жыл бұрын
Mashallah....maneno ya kisomi
@hussensangoda3855
2 жыл бұрын
Maashaallaah
@mikidadimuhando2315
2 жыл бұрын
Sheikh, usemayo ndiyo lakini tutakaa wapi ili tusahau utumwa na ukoloni, ubeberu na unyanyasaji wa wazungu ,leo wasema tuwaombee dua, waache wauwane ,sisi tuliwana kwa fitinisho lao, Mungu ni wetu sote
@yusufiddi9588
2 жыл бұрын
Safi inapendeza kuona shekh anaenda na wakati km mtume alivokua
Amin yarabby, kweli yashatufika, petrol imeshapanda bei na bidhaa zote zitapanda ,
@godfreysanga6091
2 жыл бұрын
Mm ni mkristo ila nampenda sana maalim , othman..
@mbwanakiting7180
2 жыл бұрын
Naenda maswali sheikh
@munamuna7488
2 жыл бұрын
مساء الله
@salehrashidshekidele1039
2 жыл бұрын
🙏🙏
@ramygichero1016
2 жыл бұрын
Urusi anatakiwa ashinde vita hivi vya Ukraine Inshaalah
@yasinamiri7649
2 жыл бұрын
Waleiku salam warahmatullah wabarakatuh
@salmakundi2717
2 жыл бұрын
MashaaAllah sheikh uko vizuri
@jamilahamisi5458
2 жыл бұрын
🔥🔥🙏
@rasurmasoud5762
2 жыл бұрын
Adui muombee njaa shekh ,na mtanganyika apaswi kuchangia Vita hii toa Banz jichoni mwako Kwanza bora we mzenji utofautian na na myukrain
@emmanuelogorenisanafocus8016
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@indamajid7439
2 жыл бұрын
SHK wangu
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Yote hayo ni kutomjua ALLAH. Ukimjua ALLAH lzm utakumbuka kuna kufa na kufufuliwa siku ya kiama na utahisabiwa ni lazima. Ukifikiria hivyo unakumbuka yupo ALLAH na ndie Mkuu mwenye sifa zote na uwezo wa kila kitu.
@azzasalti6124
2 жыл бұрын
Sheikh huyo allah atampa kheir za dunia na akheira maana anajuwa kitu gani anakisema...hawa ndo masheikh ambayo sllah kawapa elimu na vipaje ....hazungumzi kuropoka kasoma na anajuwa dini lakini baadhi ya wengine ni kuzudisha number tuu..allah atuhidi sote na akupe kila la kheir sheikh othoman
@fadhilisalehe4639
2 жыл бұрын
Gombea urais shekh Zanzibar utapita bila kupingwa
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Mbona chi za waislam hampazi sauti,mssichana wakizanzibar yupo gerezani Kenya miaaka imekarka alishikwa akienda masomoni sudani,wakasema at l S,mbona hampazi sauti,
@tycoonally6257
2 жыл бұрын
😳😳
@saidihaji3739
2 жыл бұрын
Twayyib Wew ushafanya jitihada gan juu ya hilo ?? Halafu una uhakika gan kuwa sheikh analijua jambo hilo ??
@Heismasai
3 ай бұрын
😢 now 2025
@fatmaahmed8637
2 жыл бұрын
Mola akupe Umri wa afya,Maneno yako hekima,ndio tulivyoamrishwa,kuwa n washauri kila pahala.kwani linapofika halifiki kwa MMOJA ila ni DUNIA nzima yatatuangamiza
@mohdjuma2575
2 жыл бұрын
Ia
@gahangazaituni9633
2 жыл бұрын
Asalaam alaykum sheikh wetu Palestinians walipo pigwa mabomu ya nuclear na Israeli takribani watu 2200 waliouwawa na Israel mbona amja react kama hivi subhannallah
@nasymchuzi8667
2 жыл бұрын
Anazungumzia sana ayo sheikh tafuta mawaidha yke
@fahadkhamis1562
2 жыл бұрын
Kwanza uifahamu mada yeye hajatetea anachosema yeye usifurahie baya linalomkuta jirani yako kwa iyo usizungumze kama hujafaham kwanza
@shahidhassani1960
2 жыл бұрын
Hakuna kitu UISLAMU uliacha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️✊✊
@fredjoel1350
2 жыл бұрын
Kweli mpk wazaramo na wandengereko hawana lugha zao kisa kiarabu!
@khamisalli1282
2 жыл бұрын
Da mbona hamkua mkisema parestina waislam walipokua wanapigwa na kuuliwa!!!
@iddyissa8110
2 жыл бұрын
Othumani wewe unaitaji kuwa mshauri wa dunia hii hikima unayo Kama vile Mungu alivyo mpa suluemani hikima
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Mmm! Ashauri dunia gani na mijitu mikafiri. Hawamjui M'mungu na hawamdhamini kabisaaa!
@shabanhussein5366
2 жыл бұрын
mashaallah tunakuombea duwa sana sheikh odhman mali allah akupe mwisho mwema
@fundileani1007
2 жыл бұрын
Afwaan
@jeremiahmwalukosya8431
2 жыл бұрын
Ndo namwona mwislamu mwenye hekima nakili sana wengi wamejaa mihemko ya chuki juu ya watu fulani waliokinyume nao
@aflow9085
2 жыл бұрын
Hii ni hekma
@mjahidosama9538
2 жыл бұрын
Huna lolote we ni mushiriki unaleta mfano usio wa kweli
@makacharatv4257
2 жыл бұрын
Waache wazungu wapambane ndio maana salafi wanakupinga. Ao wote makafiri waache wauane.
@nasymchuzi8667
2 жыл бұрын
Una ndugu aliekua huki ndiomana unasema ivyo
@abdallahesika8407
2 жыл бұрын
SHK OTHUMAN MAALIM:ANAZUNGUMZIA VITA INAYOENDELEA UKRAIN/ NA UISLAM UNALIZUNGUMZIAJE SUALA HILI. eti jaman ni kweli hichi ndo alichokizungumzia shekh? Nyie Riyadh tv muogopeni Allah. ACHENI UONGO
@ramygichero1016
2 жыл бұрын
Shekhe apo mimi siku ungi mkono kabixa wao miaka yote walinyamaza kimiya wakati waislamu wa Palestine wanauwawa sasa wewe unawaombea wao ili iweje
@sabunisop1050
2 жыл бұрын
Hujui din na maana ya dini hujui ,na uwezo wa kufikir pia Ni mdogo sana. (Akili finyu)
@ramygichero1016
2 жыл бұрын
@@sabunisop1050 Hujui sisa za kimataifa wewe ata kidogo najipendekeza kwa kumtetea Ukraine wakati mmeshindwa kuwa tete wapalestina wairaqi na walibya Tatizo hamna elimu mmesoma Quran peke yake
@fizomakuya4142
2 жыл бұрын
Sheikh aboud rogo Samir khan Ibrahim rogo Hassan rahimullah
@user-qe8xp6ii1u
2 жыл бұрын
Kwan Huyo Athumani Ni Sheikh!???Au Ni Sufi
@husseinmkanga8182
2 жыл бұрын
je ww ni nan,unajua nn kuhusu dini ww....????je unajilinganisha nae..?
@user-qe8xp6ii1u
2 жыл бұрын
@@husseinmkanga8182 mim ninafuata Salafu. Huyo ni Msanii.anaejivika vyeo vya Uwanachuoni au Ulamaa Kwa sabab Aonekana kweny TV na radion akiskika. Kama hukusoma huwez kiwajua Maulamaa ni kina nan
@user-zj5nk7pm7m
2 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u basi hujajua uislamu vizuri🚮
@faisalyusuf8986
2 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u wewe bado hujawa salafi wewe ni muhuni tu, salahi hawakuwahi kujibeza na kudhalilisha watu wala kuwakataa wanazuoni kwa itikadi na mafundisho yao kawasome vzr maimam walivyo kua wakiheshimu hoja za wanazuoni wenzao hata kama walikua hawazikubali. Kwa kifupi kaka wewe ndo msanii tu. Watafuta nn sasa huku mitandaoni?
@abuusaleh7115
2 жыл бұрын
Shehe kwenye uislam hakuna demokrasia kwbb demokrasia imekuja juzi na demokrasia ni mfumo wa kutenganisha dini na maisha kwa maana utenganishe maisha na maelekezo ya Allah hiyo ndio demokrasia. Sasa shehe unaposema uislam una demokrasia maana yake unautukanisha na unautia dowa la ukafiri. Wakat uislam ni mfumo wa Allah aliyetakasika na kila kasoro.
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
We shee huna swaga makafiri wakigongwa mnaumia sana
@bandukayunus7714
2 жыл бұрын
Nakupenda ssna shehe kwa ajili ya alah
@mbarakahussein9107
2 жыл бұрын
Soma dini ww usiwe unakurupuka,msikilize shekhe anasema nn na analenga nn ufikili wako bora ndio utakufanya kujua kiongelewacho na akisemacho shekhe,asalam aleikum warahmatullah wabarakat
Пікірлер: 167