Kama unampenda inatakiwa ukubali aondoke akatafute changamoto sehem nyingine
@rajabujohn4573
4 жыл бұрын
Kipezi chetu kajalibu maishaa Ila usubili tucheze na yanga tukishawanyosha luksaa
@simonjustin5921
4 жыл бұрын
😃😃😃🙏
@jamespapaa644
4 жыл бұрын
Kapombe yupo vizuri Sana
@kacherosimba5762
4 жыл бұрын
Dah😢😢😢😢😢😢😢
@samsonmajebele837
3 жыл бұрын
Mm nakubali kpaj unacho uko vzr bro
@shikuassi4876
4 жыл бұрын
Tunakupenda mwamba katafute changamoto In shaa Allah
@enessamramba5542
4 жыл бұрын
Safi sana kutafta changamoto ni sawa ila aliyeuliza swali hajielew simba inasajili ili unapopata majeraha walau ukitoka pia kuwe na mtu ambaye awe vizuri walau viwango vikaribiane kama zimbwe na gadiel
@ewaldambrose6136
4 жыл бұрын
mmmh..unataka kuanza ustaa tena? Mbona kama unasusa bro? usitufokee
@zainabumcharo2163
3 жыл бұрын
Acha tamaa kijana
@shabanimkumba1224
4 жыл бұрын
Tatizo wengi wakienda nje wanafeli
@gidionjacob1850
4 жыл бұрын
Tunakupenda shomali usiondoke bwana
@emmapallanjo3641
4 жыл бұрын
Kapombe ulishafeli ulipoendaga ulaya ukarudi sasa umri wako siyo rafiki tena sisi wanasimba bado tunakuhitaji sana plz usiondoke tena simba malizia mpira wako hapa hapa simba
@frankkalanda872
4 жыл бұрын
Unajifanya niongee tofauti,nenda japo bado nakuitaji sana mdogo wangu!
@malelabmalela5016
4 жыл бұрын
jaman
@janeelias4879
3 жыл бұрын
Anataka kwenda wap huyo mm bado namhitaji sana kwenye kikos change cha simba
@eng.sibanganyalbjse9600
4 жыл бұрын
Kapombe nini tena jamani? Ustupasue mioyo sie!! Kaa tulia Simba kumenoga, tunakupenda sana wanaSimba.
@masanjajuma3010
4 жыл бұрын
Nakupnd xn shomi
@rashidsamwel6823
4 жыл бұрын
Nenda ukatafute sababu kuñakihàma kinakuja hapo simba
@abrahamkibona7038
4 жыл бұрын
Baki hapo tu nje huko ulishashindwaga
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
Mpaka sasa yupo SIMBA na anawauwa YANGA keshokutwa KIGOMA. KUDADADEK
@gibsongodfrey985
4 жыл бұрын
Njee ya wapi mnaendaga mnaludi
@frankkalanda872
4 жыл бұрын
Analeta ujinga nae,nilimuona wa maana anaongea ujinga!
@mussamakungu7209
4 жыл бұрын
Uwezo wako sina swali ! swali langu ni pacha2 yako ndo cjui hapo!
Baada ya kumsikiliza nimekubaliana na wewe. Kapombe anahofia kupoteza nafasi ela mm namuona bado nimchezaji mzuri. Ninachokihifia nikua endapo atafanikiwa kuondoka anaweza kupoteza kiwango chake km akina Kichuya. Ela hatuwezi kupinga maamuzi yake
@ireneroman290
4 жыл бұрын
Ni kweli mbona kiwango chake bado kikopoa sana cha msingi yy angee na mawakala wamtafutie team za nje lakin sio kukurupuka tu from no where
@omarymtamajika6947
4 жыл бұрын
Nikwel me nakubali kapombe ni nzuri sema aangalie uko nje na team ambayo ataenda kuchezea akikishe anacheza asije akaenda kuuwa mpla. Bola astaafu apa apa Simba na kupewa eshima ila namuombea mafanikio mema mungu awe P1 na yeye Simba nguvu moja 🤝🤝 🤝🤝 🤝🤝 🤝♥️
@mussamakungu7209
4 жыл бұрын
kwa dani alves ✔
@mbozeevanc4325
4 жыл бұрын
Baki usiondoke shomari bado tunakuhitaji
@musahusein3090
4 жыл бұрын
Nenda sisi simba tunakuombea kilalakheri by kambini kichokochwe 1
@zahorrashid5459
4 жыл бұрын
wachezaji wetu wanavunjika nguvu.wanajituma kuiweka timu pazuri mwisho wasiku wanaachwa km deo kanda.au shibobu.hakuna sababu yakuwatema.KBS
Пікірлер: 49