By the way God is faithful 🙏🙏 and have learnt something big through this testimony 1.usimwamini mtu yeyote 2.usitamani mali ya mtu mwingine 🙏 maana ujui anatumia nn ili kuinua mali yake 3.mwamini mungu kwa lolote lile 4.usimsikize kila mtu 5.usiwache mungu kwa sababu ya shida ulio nayo 6.baraka za mungu zinadumu kuliko ya mizimu na inagharama 6.tumtumainie mungu siku zote bila kuchoka eeh mungu tupe macho ya kiroho ili tueze kukumbana na haya majanga ya ulimwengu 7.tumtazamie yesu msalabani 😢😢😢na tuwe na imani 8.tuwe prayer warriors
@marcodaud1005
4 сағат бұрын
Wanaume tunakutana mengi sana kwenye utafutaji Mungu anatulinda tu kibaya zaidi wanawake wetu hawajui
@Neema-wy4mh
4 күн бұрын
Ee Bwana Yesu tusaidie. Dunia ina mambo. Inatishaa sana mpaka hapo Yesu ni mshidi amemuokoa😢😢
@felisterben6620
3 сағат бұрын
Asante Bwana Yesu Wewe ni Mungu ukomboaye🙏
@MariaEnock
5 күн бұрын
Eee Mungu nisaidie na kunikumbusha namna ya kuitakasa na kuiombea mikono yangu!
@divinehopeandsmile
4 күн бұрын
Licha walimkamata kuna neema ilikuwa inamlinda ❤❤❤
@bobutingababayo5047
Күн бұрын
Kabisa Kiasi cha Chembe ya haradari na bado ilimtendea
@gracelynferdnand5582
3 күн бұрын
Yesu jina lako ni la kuaminiwa sana Ahsante kwa kusimama nasi nyakati zote🙏
@MariaEnock
4 күн бұрын
Finaly kwa Yesu! Yote yanawezekana!! Nimejifunza Mengi mno mno
@emmanueltillya2017
16 сағат бұрын
Pole sana MKUU.
@angelrukyaa5598
4 күн бұрын
Dah😢… Mungu tusaidie ila huu ushuhuda ni mzito 🙌🏽
@peteroderobarasa5205
5 күн бұрын
God Have mercy upon us
@GemaLucas-mz2bn
Күн бұрын
Nguvu ya sadaka wana wa Mungu.Tutoe sadaka sana bila huruma yoyote
@peteroderobarasa5205
5 күн бұрын
God Jesus Christ open our Spirual eyes
@tabithachristopher3046
14 сағат бұрын
Mungu ni mwema
@kawilimlimuka8005
3 күн бұрын
Mungu anataka kukutumia kuokoa wengine. Yoel2:25-27
@barakamunisi
Күн бұрын
Hallelujah AMEN.
@selemanikapela7873
4 күн бұрын
Amen 🙏 🙏, Mungu atukunzwe mda wote
@LispafulgenceSimon-rs1zg
2 күн бұрын
Pole sana kwa.mapito
@marykarebeti9410
4 күн бұрын
Huu ushuhuda ni mahubiri kamili. Aiseee!!! Duniani kuna mambo magumu sana. Mungu atusaidie
@Queen..113
3 күн бұрын
Mungu ahsante kwa maana fadhili zako niza milele
@hefsibaMushi
5 күн бұрын
Shetani ni mbaya sana! Yesu tufungue macho ya rohoni.
@PapaaMlamii-cm6lh
4 күн бұрын
Pole sana ndugu😢 Mungu yu mwema
@annatemu4488
4 күн бұрын
Mungu atusaidie,hii inatisha
@Malaika2311
19 сағат бұрын
Nimejifunza kitu cha tofauti sana kutoka kwenye huu ushuhuda. Kuna fake prophets wanatumia nguvu hii hii kuwarubuni na kuwaibia watu wa Mungu.
@jerubetjoan20
2 күн бұрын
Wangapi tumelia online? Our God is always the way, the truth and the Life, Anasema njooni kwangu wote mlemeawo na mzigo nami nitawapumzisha.
@kelvinmasungakilunguja7539
5 күн бұрын
YESU atusaidie
@nikymatela7013
4 күн бұрын
Bznc men go through a Lot god have mercy upon us
@grolyjosephat8263
2 күн бұрын
Mwenyezi Mungu tupe macho ya Rohoni ili tuone yale yaliyojificha na pia tuwe tunaitakasa mikono yetu kila siku
@davidjohn9535
5 күн бұрын
Aisee.pole sana.
@rachelmsolo3639
5 күн бұрын
Baba sunbella nina dada yangu anapitia hii shida
@irenemshanga1812
4 сағат бұрын
Karibu kanisani yupo available muda wote
@lissagloo350
5 күн бұрын
Waooo Hili ni somo kubwa sana
@sarahjacobs8814
4 күн бұрын
Yes tusaidia sana
@atuganilekalinjila8385
Сағат бұрын
Dunia inamambo mengi ndio maana Mungu alikataza kutamani jaman YESU tusaidie tupe ulinzi
@GideonBisimwa
Күн бұрын
Yana tiahuruma sana Yani
@Queen-gv8ot
5 күн бұрын
Jamani Pastor😂😂
@heavenlight5084
4 күн бұрын
Mtumishi naomba nije unisikilize na mimi dady sunbela nipo arusha
@touma.__.7368
2 күн бұрын
😭😭😭
@wandedalushi2984
4 күн бұрын
Naitamani siku moja nisimamae niseme kile Mungu atakachonifanyia 😢
@lovenessmallya816
3 күн бұрын
Mungu aliowatendea atende kwetu pia.
@erickcharles4992
3 күн бұрын
Uhai
@GideonBisimwa
Күн бұрын
Mungu akupe usemi
@MariaEnock
4 күн бұрын
Shetani anatesa watu Mno tuutafute uso wa Mungu!
@luganowilliam2150
3 күн бұрын
usitamani maisha ya mtu hujui kaipataje..ndo maana Mungu pia kakataza kutamani
@beatricealexander8094
4 сағат бұрын
Ndo maana watu wanajiua,wamebeba vitu vingi sana.
@MariaEnock
4 күн бұрын
Nahumu 1:12-13
@Lovenessimon-zz8qg1jz6j
4 күн бұрын
Eeeeeh MUNGU wangu
@FloraSlivester
4 күн бұрын
Wewe ni mtumishi wa Mungu ndio maana umepitia hapo ili uwaombee wengine wanaopitia hapo
@kaninimuindi6470
5 күн бұрын
Alikua ameshika akili yako but kuna rohoo alikua anatumia usiwe na ujasiri akiona unafuvuka anabadilisha sura nawe ukua na macho ya kiroho mungu tupe macho ya kirohoo
@EstherCharo-lc3md
5 күн бұрын
Tukue makini na watu tunao shikana nao
@jenysilayo1342
7 сағат бұрын
Ulimwengu wa giza una gharama sana, lakini tukiambiwa tutoe ssdaka kanisani tunalialia😂
@mariahsizya4832
5 сағат бұрын
Yaani mganga akisema chap inapelekwa ila Kwa Mungu aahh😂
@JanethJoseph-sj8ep
3 күн бұрын
Kwamacho yakawaida unaweza sema jamaa alikuwa tapel lakin rohoni majin yapo yanaishi nayanafanya kazi jaamn tuombe ulimwengu wagiza upo naunatenda kazi
Пікірлер: 57