Kwenye Utawala huu wa Mh Rais Magufuri Hakuna Janja janja kama Zamani Ni Maswali ya papo kwa papo!
@hatarimganya1051
4 жыл бұрын
Mheshimiwa njoo huku lukonde kuna mfugaji msumbufu alie wekeza kwenye shamba la urugulu teila analisha mashamba ya watu na kisha kuwapiga ovyo sana kwakibuli kisa kawekeza tunashida kubwa mweshimiwa rais
@msetikebwasi6895
4 жыл бұрын
Huyo mkurugenzi anaitwa nani!!!!!!!.
@msetikebwasi6895
4 жыл бұрын
Leo mkurugenzi ana magumu.
@ridhiwaniomari7425
4 жыл бұрын
Mhhh! Mheshimiwa rais una kazi kubwa kweli ya kuwatendea mema watanzania maana wengine hawawezi wanajilazimisha tu
Пікірлер: 9