Angeokoka ingekuwa heri kwake lakin kuendelea na vitu visivyo na faida haimpi Mungu Utukufu,Yafaa sasa angemtumikia Mungu Alie hai!!
@LimseyMassawe
3 күн бұрын
Tunapo Mshukuru Mungu kwaajili ya afya ya profesa jay.....tusisahau kumshukuru mkewake pia kwa hapa duniani. Proffesa kaoa mke wa shida na raha kweli kweli
@CatherineNzeki
3 күн бұрын
Kweli kabisa,,,tumpe maua yake, mke wa profesa J
@DIVINEPROMISE-c1n
3 күн бұрын
Amen
@derash6423
3 күн бұрын
Kwel wew mtu ,,maaan sioo rahus kwa kizazi huchii
@deogerald7828
Күн бұрын
kweli kabisa
@zeddymourice4249
Күн бұрын
Haipingwi bonge la mke,Kuna watu wamevunjika miguu wamewekewa hogo wake zao wamepita hivi😂😂
@heronimomsefya3190
2 күн бұрын
Mwenyezi mungu mwingi wa rehema atupe Maisha marefu na baraka Tele afya njema
@deniskimario9288
3 күн бұрын
Madhabahu ya Bwana inakusubiri, not just kuokoka but to preach the good news of the Kingdom of God
@jnamegabe9231
3 күн бұрын
Kwenye uwo wimbo kuna zaidi ya mahubiri unayotaka wewe.
@aminakipande5645
3 күн бұрын
@@jnamegabe9231😂😂 bora umempasha
@AgnesPius-g7f
3 күн бұрын
Wewe acha ushamba umeskia hamuabud mungu
@martinchambala9399
2 күн бұрын
Inawezekana hujui hata maana ya kuokoka muujiza aliotendewa usizani unaweza kutendewa na ww licha ya kujiona umeokoka
@ibrahimwigina
Күн бұрын
Uko sahihi ndugu yangu... Ili kupitua yeye waokolewe wengi.
@sophiakimaro5174
3 күн бұрын
Sikuwahi kupenda mziki wa kufoka foka ila Prof. J alinibadilisha mawazo.Mungu azidi kukujaza afya Bro.❤❤
@DaudFataki
3 күн бұрын
Tulimuumba kutoka tone la damu kisha akawapande lanyama kisha tukamuwekea mifupa kisha tukamvisha nyama kisha tukampulizia roho kisha tukamuandikia rizkizake kisha akasain maishayake ya dunia nakwake tutarejea mungu akupe umlimwema broo
@lucasolobiis4504
3 күн бұрын
Mungu apewe sifa Sana, anafanya yaliyojuu ya uwezo wa kibinadamu
@sumaadamson214
3 күн бұрын
hakika utukufu ni wa Mungu
@AminaTapwale-e5t
3 күн бұрын
Allah ndo muheza amempitisha kwenye ibada ngumu na amepona...Allah is every thing
@MustapherSamson-s6l
3 күн бұрын
ALMIGHTY GOD IS ALWAYS GREAT, BIG UP PROF JAY, ALWAYS KEEP GOD FIRST.
@esterarch8369
7 сағат бұрын
Asante Yesu kwa zawadi ya maisha kwa mtu wko
@abednegoaman7861
Күн бұрын
waoooooh Lord is great ; he stand again ; Mungu aendelee kumtunza na kumpigania yeye na familia yake daima
@nerryabel7512
3 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema sanaa,ipo faida ukimtegemea Mungu kwenye maisha yako.Mitihani kwa mwanadamu ni kawaida🙏🙏
@theempire4058
3 күн бұрын
Mungu ni mwema sana, hakika umeweka heshima ya mziki wako na heshima yako binafsi hadi leo, hakuna awezaye kuongea vibaya juu yako hadi wa leo, wasanii wa sasa wanajivunia na kujifunza nidhamu bora ya kazi, Mungu azidi kukujalia afya njema daima.
@rashidkejo8666
3 күн бұрын
Mungu ni mwema wakati wote. Ahsante mke mwema hakika umeweza.
@MSETONEWS
3 күн бұрын
Asante Mungu kwaajili ya uponyaji wa Prof. J. Pongezi kwako mwanamke mwenzangu (mke wa Prof. J), ulibeba hofu ya Mungu moyoni mwako kusimama na mumeo, ukaamini ni muujiza wa Mwenyezi Mungu tu utafanyika.
@allyiddy4542
3 күн бұрын
Shukran zote kwa Allah Prof Mungu yupo
@EmilyMakelele
3 күн бұрын
Mungu ni mwema Sana, sifa na utukufu ni vyake Bwana. Mungu anatenda yaliyo juu ya uwezo wa kibinadamu. Asante Mungu kwaajili ya ndg yetu.
@eventelias3566
3 күн бұрын
Much love much love brother J Mungu azidi kukuimarisha
@vinnocky_b1430
3 күн бұрын
Duuh yaani aise mungu haitwae mungu pekee 🙏🫣❤️♥️♥️ one love My beloved brother 🇹🇿🇰🇪😅😅😅😅😅❤
@AshaParis-s6k
13 сағат бұрын
Pole sna kkk yng mungu akutie nguvu wa kipindi iki kigumu inshaallah
@aginsagins-jf4vz
3 күн бұрын
Tunamshukuru Mungu kuona yupo na afya nzuri
@leylahassan9361
3 күн бұрын
Ila kaka yetu kawa handsome sana kuliko mwanzo Man Shaa Allah ❤
@kingngoshazephania4344
3 күн бұрын
❤❤. King of reggae music in dodoma Tanzania
@MosesKubo
2 күн бұрын
Muda huu sasa amuimbie Mungu umaarufu anao hela anayo nyumba gari,hao unaoona humu wanamsifu upendo wao mwisho ni kaburini lkn Yesu wetu ni wa milele
@pceodhc
3 күн бұрын
❤ Sifa heshima na utukufu ukurudie wewe Mungu ulie hai! 🙏🏾
@Eminamed
3 күн бұрын
Blessings to my professor
@nelsontayai8983
3 күн бұрын
Mungu ni mwema kwa kweli 🙏🙏🙏🙏
@HusseinChai-n4g
2 күн бұрын
❤❤❤❤mungu ni mwema daimaa Ayo TV
@Amedeus-fg8wq
2 күн бұрын
Huyu Ndugu angechana kabisa na nyimbo za kidunia ,akamtumikia Mungu kwa kipawa Chake,lasivyo ataishia pabaya. YESU FIDIA YA WENGI
@omarabdullrahman1884
3 күн бұрын
Ushauri tu ludia kwa mungu wako ayo mambo SI ya kufanya tena tubia kiongozi na kumshukuru Allah
@OnesmoEphrata
3 күн бұрын
Mungu tuu jamani EEEH MWENYENZI MUNGU NAKUOMBA UMPONYE KAKA YETU NA MSANII WETU APONE AWE SALAMA SALIMINI AMEN
@Graceyusuphh
3 күн бұрын
Yote Mungu anataka tujifunze😊 yy akisema ndio hakn ugonjwa utasema hapana. Mungu ni mkuuu
@SilasJacob-z6v
3 күн бұрын
Kwakweli nikiangalia Ile picha unatembezwa kwenye kiti Cha mazoezi af mungu amekurudishia afya hakika tumtukuze na tujitahid kumtendea mema
@barakaleader1550
3 күн бұрын
Looks nice God is good and give this man a very big tallent
@dj_poison255
3 күн бұрын
"wamitulinga" alhamdulillah Hakika Mwenyezi Mungu ni mkubwa wakati wote
@juliuspeter6971
3 күн бұрын
Mungu n muweza wa yoteeee
@naomilumolwa7864
3 күн бұрын
Mungu ni mwema🙏
@yusufmohamed8874
Күн бұрын
Mungu ni mwema
@pascalmbilinyi4240
3 күн бұрын
Yana nasema prof anatakiwa amtumikie mungu madhauni TU ni muujiza unaoishi
@RajabuKitalambo-q2u
Күн бұрын
Noma Sana jay
@ChristineEketo
3 күн бұрын
God is good 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@AsungaSteven
3 күн бұрын
May our God who is above lift you up again
@rithadonatus8110
3 күн бұрын
Ameeeeen
@atuganileswedy4830
3 күн бұрын
MUNGU azidi kukuhurumia uzidi kuimarika amen
@YacintaJames
3 күн бұрын
❤❤ Mungu akulinde
@RobertAlexander-m4x
3 күн бұрын
wewe ni mwamba sana karibu mikumi i,miss you
@margrethhaule2419
3 күн бұрын
Mungu mwema sana atamuweka sawa msanii.wetu pia kiongozi wetu wa morogoro
@hafsalucky1088
3 күн бұрын
Mungu ni Mwema sn,
@Carolina-sm5zt
3 күн бұрын
Mungu akujalie Afya ya Mwili na Roho Bro
@BwireMtaki
3 күн бұрын
Legend always is legend 🎉
@mohamedhamisi9766
3 күн бұрын
Mungu anaweza
@deniskimario9288
3 күн бұрын
Mungu anakutaka madhabahuni
@josephenock5312
3 күн бұрын
Mungu akujali mhe kazi zako zinaonekana
@MariyimJumanin
3 күн бұрын
Asante mungu kwa kumponya kaka yetu
@LilianKimpire
3 күн бұрын
Mungu ni mwema🙏🙏💯
@fredyjunior6961
3 күн бұрын
Mungu ni mwema sana❤❤❤❤
@AwatyNho-lb9bd
3 күн бұрын
Mungu hajarihe maisha malefu❤❤❤❤❤😢😮😮
@TALLUBOY
3 күн бұрын
Kwel kwa uwezo wake allah jalal Kaka yetu kipenzi amesimama tena Aahme mungu wetu mkubwa kila muda
@deogerald7828
Күн бұрын
mungu ni mwema
@johnssaimon450
3 күн бұрын
Mwanadamu ni mgumu sana.still bado anarudi kwenye muziki wa kidunia ungeokoka p Jay mrudi BWANA YESU geuka hiyo njia.
@DIVINEPROMISE-c1n
3 күн бұрын
Hata kufurahisha wanadamu wakafurahi ni kazi ya Mungu ndie alimpa kipaji Mungu hatendi kazi km binaadam
@johnssaimon450
3 күн бұрын
@@DIVINEPROMISE-c1nneema ya Mungu ikufikie uujue wokovu wa MUNGU Mungu hamkupa kipaji kuimba upuuzi wa duniani ni hukumu na jihanam asipotubia hilo.
@DaudimloweMtumishi
3 күн бұрын
Mungu akupe nguvu zaid
@bagumampenda2275
3 күн бұрын
Mimi naona kuna neema kwa huyu jamaa. Yuko hai so bado yuko kwenye game. Kama anamudu, management impangie charity shows kwa ajili ya VIPs. Show inasapotiwa na aliofanya nao collabo, mfano wabunge wenzake Sugu na FA na mastaa wengine. Kwa ushawishi wa status yake ya ulejendari kwenye muziki na uongozi, wanaweza kuweka kiingilio hata laki 5, hawatakosa watu buku. Hiyo ni milioni 500, akipiga show 5 Dar, Moro, Dom, Mza na Mbeya? Ni lazima atavutia sponsors pia. Prof anaweza staafu kwa neema sana. Anaonekana anachangamka, he is still a star. Mungu kamjalia uwezo wa kuvuta watu hata akiwa katikati ya mitihani.
@VenancyMorice
3 күн бұрын
Jaman huyu mungu
@dicksonjonas1799
3 күн бұрын
Mungu ni mwema kabisa,
@ZanzibarWeihai
3 күн бұрын
😮❤❤❤
@neemaryan9947
3 күн бұрын
Usiache kumtolea Mungu shukrani zako
@ErickJosephmlay-kf2sy
3 күн бұрын
Mingu akulinde kaka sina zaizi ya kukuombea
@emmyurio7735
3 күн бұрын
Glory to God
@mwajabuhamisi7095
3 күн бұрын
Mwezi mungu mkubwa Allah azidi kukupa afya njema siku zote
@CatherineAndrew-q2y
3 күн бұрын
Mungu azidi kukupa afya mzuri urudi kam zaman
@ireneimbuhira7759
3 күн бұрын
Mungu mwema 🤲
@erickmutasingwa8667
3 күн бұрын
Glory be to Allah
@mohdkhalifa8828
3 күн бұрын
Dr cheni ni wakimataifa zaid kwa tz ni nmber1 kwa U mc
@judithkatunzi3903
3 күн бұрын
Mungu ni mwaminifu
@vonkale8565
3 күн бұрын
God is good
@mankamushi4588
3 күн бұрын
Jamani mungu amemponya Asante mungu
@annamasawe9784
3 күн бұрын
Mungu akusimamie kaka
@leonardlaizer6686
Күн бұрын
Hakika Mungu yupo
@VictorineAchieng
3 күн бұрын
Nimefurahi kuona MTU akisifiwa akiwa bado yupo Hai mngekua mnafanya hivi Kwa kila MTU kwli HT Mungu anaweza kumuongezea muda Wa kuishi Duniani Sio Ile MTU akishakufa ndo uzuri wake unaonekana by the way mm nilikua cjui km profesa Jay alikua mgonjwa lkn Kwa hizo sifa ndo imefanya nijue Mungu amponye Na amuongezee miaka Wa kuishi aleee familia yake 🙏🙏
@SamsonSamsoni-q9s
3 күн бұрын
👏👏👏👏🙏🙏🙏
@janethmwihumbo1289
3 күн бұрын
Ndugu acha nyimbo za dunia imetosha sasa Muimbie na umtukuze aliye kupigania,,na ana makusudi na wewe,,wengi wageuke kupitia wewe
@MathewNathan-yb2bz
3 күн бұрын
Mungu ni mwema atapona.
@philipongenzatv
3 күн бұрын
Rahaaaa mungu atukuzwe
@davidwatson6821
3 күн бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu
@FurahaPallangyo
3 күн бұрын
mungu mkubwaa aisee
@absm8084
3 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema
@asiakhamisi469
3 күн бұрын
❤❤
@WillyMalale
3 күн бұрын
Hakika mung acha aitwe mung pia Kuna kitu nmeendelea kujifunza tuish na watu vzr ndo mtaj mkubwa wa pro jay
@bossbillionare
Күн бұрын
Shakur mungu simba yuko hai
@OfficialJunior-g7o
Күн бұрын
Watasema
@ezekielkasongo1511
3 күн бұрын
Mungu atukuzwe
@mistareagle2398
3 күн бұрын
Apumzike kwanza, mziki bado upo tu , hafya kwanza ,
@barakamusapolekidoti957
2 күн бұрын
MUNGU MKUBWA P J MWENYENZI akusimamie uweze kurudi kama ulivyokuwa mwazo
@rehemamagomba5963
3 күн бұрын
❤❤🎉
@kikongajoel2693
3 күн бұрын
Pro jay
@suzanmichael5793
3 күн бұрын
Achen mung aitwe mung, kuusu huyu brother ni ushuuda tosha
@hedayamohammed2781
3 күн бұрын
Ashukuliwe Muumba Ardhi na Mbingu na vyote vilivyomo
Пікірлер: 137