Habar yako teacher nimekufatilia tangu form 2 mpk nimemaliza nashukuruu Kwa kunifungua katk kujifunza mwenyezi mungu azid kukupa uzima
@teacherd
2 ай бұрын
Amen 🙏🙏 ubarikiwe saana.. na Hongera saana
@AdamKibona-jy8wy
Ай бұрын
Habari. Nilikuwa naomba kujua gharama ya kusomea udeleva dalaja
@haddasahestara7543
Жыл бұрын
Teacher, asante Sana kwa mwongozo. Naomba unisaidie kujua kozi ya Electronic Ni sh ngapi kwa short kozi 🙏🙏
@HeriOmary-v1l
Ай бұрын
Je vyuo vya veta vnafundisha course ya elecrical engineering
@paskalimaneno1684
11 ай бұрын
Sasa Mimi nilitaka kujiunga naveta lakini sikufanikiwa kuigia shule kabisa at dalasa rakwaza nitafanyaje
@cleoptrabaraka618
2 жыл бұрын
Shikamoo mm naitwa cleoptra barak nmwnafnzi niliyemaliz form four mwka jana hvy matokeo yametka nnafour ya 33 hvy nashada ya kusmea maswala ya uscretry hvy cjajua hap itkuwaj? Kwa hil samahn naomb unjbu sbab bad xjajua nafanyje
@teacherd
2 жыл бұрын
HONGERA SAANA kwa kufanya mahamuzi mapema.... inawezekana kusoma chakufanya tebelea chuo Cha veta kilicho karibu utapata utaratibu wa kufanya.. pia unaweza shauliwa kozi gani nzuri zaidi
@AsiaHamisi-y4f
Жыл бұрын
Nahitaj kujiunga na chuo ufundi cherehan kwa sas inawezekana short coz❤
@teacherd
Жыл бұрын
Yaah
@lightchumi7633
2 жыл бұрын
Hi sorry mimi niliishia form two nahitaji kusoma form3&4 2023 je inawezekana???
@jacquelinemsimbe5903
2 жыл бұрын
kWa wale wanafunz wanaoanza mwaka wa Kwanza huwa wanaanza mwezi wangapi?
@charlesmakaya4844
Жыл бұрын
Mimi naomba nisaidiwe iyo link ni download iyo form nataka kusoma coz ya computer nipo mwanza
Mm ni fundi ila sina het nafanyaje ili nipate chet
@teacherd
2 жыл бұрын
Kupata cheti ni vyema uka kusoma
@CatherineLekule-c8h
4 ай бұрын
Me catherine lekule najiungaje na chuo hicho
@arekictito52
Жыл бұрын
Kozi udereva sifa gani?
@teacherd
Жыл бұрын
Umri tu..
@zephaniasimon5772
2 жыл бұрын
Habari.Taratibu zakujiunga na Veta zikoje?
@EzekielEmmanuel-jc8cr
5 ай бұрын
Niorodheshee hizo ratiba Ili niweze kuelewa
@petromuyaga4475
3 жыл бұрын
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nahitaji kusoma kozi ya ufundi nikiwa kazini je nifanyeje
@nassorsalehsalum8852
3 жыл бұрын
Jinga sana
@chachawambura4030
2 жыл бұрын
@@nassorsalehsalum8852 sasa ujinga wake uko wapi?
@husanhassani-eo9yw
Жыл бұрын
Iko chuo kipo wapi
@teacherd
Жыл бұрын
Vyuo viko Tanzania nzima . Kila mkoa kipo
@charlesmyamba8531
3 жыл бұрын
kozi ya umeme bdi uwe na sifa zipi?
@piliramadan875
Жыл бұрын
Mashaallah
@kihwelofrancis9318
2 жыл бұрын
Naomba mnitumie link ya fom ya kujiunga na chuo kwa mwanafunzi wa fomu 4
@merryloita2992
2 жыл бұрын
Naomba unitumie link ya form
@TinaPaulo-zh5qo
Жыл бұрын
Mko maeneo gan na no zenu
@johntito9152
Жыл бұрын
Mnapatka wp hata mm ku dereva
@VeronikaLazer
16 күн бұрын
Nataka nijiunge na chuo Cha kusuka na urembo
@colonelgervas1447
2 жыл бұрын
Za uzm je kama ni katikati ya mwaka huwez kuunga na chuo
@teacherd
2 жыл бұрын
Hapana uwezi
@colonelgervas1447
2 жыл бұрын
@@teacherd na kusomea mambo ya computer inahitaji uwe unachet ???
@salimumshana8984
2 жыл бұрын
Lini naweza kujiunga na VETA?
@teacherd
2 жыл бұрын
Ni vyema kutembelea chuo kilicho karibu Yako . Ukapata taharifa sahihi na za huakika
@rehemaalfonse1637
2 жыл бұрын
Naomba kuuliza swali
@CatherineLekule-c8h
4 ай бұрын
Shkmoo me nimefeli form ila nimepata division four of 33 mnanikubalia kujiunga na chuo hicho kujiunga na course ya biashara
@teacherd
4 ай бұрын
Yaaah inawezekana kabsaa
@PauloEmmanuel-yg5ds
Жыл бұрын
Baada ya kumaliza masomo unajiajili au ajila ipo njenje baaada ya kozi ndefu????
@felistermlowe7962
2 жыл бұрын
Nahitaji kujiunga na upishi. Naomba nieleweshe galama zake
@nifahshayo2005
2 жыл бұрын
Kunachuo kipo buguluni kinaitwa mas nacho kimesajiliwa au
@mwanaidabubakar4800
Жыл бұрын
MimiAmin natak kuendelea na foum three inakuwj
@rajabuhamisi7774
3 жыл бұрын
Kama upon mbali afu unataka fomu unanisaidiaje
@teacherd
3 жыл бұрын
Kupata fomu lazima uende chuoni upewe control number ukalipie ndipo upewe fomu... Kwaiyo lazima ufike chuoni
@fridambuya354
2 жыл бұрын
Mim nimeishia la saba napenda kujifunza mapishi niko arusha teachea D
@teacherd
2 жыл бұрын
Ni vizuri ukaenda kwenye chuo Cha veta kilicho karibu na wewe kupata namna ya kuanza kusoma... Inawezekana kabsaa
@fridambuya354
2 жыл бұрын
Sawa
@deogratiusswai3427
2 жыл бұрын
Naomba kujua short corse ya ufundi mason
@teacherd
2 жыл бұрын
Zipo
@IreenGadiel
3 ай бұрын
Mpo mkowap gani
@akiduzacharia5485
2 жыл бұрын
Nice
@YoungKilemba
2 ай бұрын
Ticha D mimi nipo tanga nahitaj kusomea driving magar makubwa nifanyaj
@teacherd
2 ай бұрын
Tembelea chuo Cha VETA Tanga
@zaliamalaika9138
3 жыл бұрын
Habali mwalimu mimi naitaji kujifunza (wheel loader)je kwa miezi hii kuanzia 9 hua inaanza lini na bei ipoje mkuu
@teacherd
3 жыл бұрын
Ngoja nifanyie kazi
@rahmaahmed4012
3 жыл бұрын
Teacher D eti fomu za kujiunga na veta za kujiunga 2022 zichatoka
@yusfahabib812
3 жыл бұрын
Yusfa ukasha habibu
@husnayoung4611
3 жыл бұрын
et mwalim fom.Zamwaka 2022 zitatoka mwezi wangapi
@kaduboii3397
Жыл бұрын
Mimi nataka kozi ya rangi zamagali
@lizzybahati9833
3 жыл бұрын
Chuo cha veta songea munaza lini koz zenu mm naitaji sana
@piliramadan875
Жыл бұрын
Na fomu zinapatikana muda wowote
@TinaPaulo-zh5qo
Жыл бұрын
Mkoa gan
@upendourio7365
2 жыл бұрын
Za saizi naomba nisaidie matokeo ya 2022
@RainesChintox-qe1xn
6 ай бұрын
Naomba coz za ufundi zilizopo
@piliramadan875
Жыл бұрын
Bweni lakivna ishilini ni ya mwezi au
@halfaninguzo9793
2 жыл бұрын
mimi nataka kujua kusoa opratr mashine
@teacherd
2 жыл бұрын
Karibu
@suzy3318
Жыл бұрын
Naomba form
@FatumaKhamiss
3 ай бұрын
Hello
@alfredisteven7647
2 жыл бұрын
Naitwa alfledi stivini naitaji kusomea udreva vipi kuusu garama zake
@teacherd
2 жыл бұрын
Ni ndogo saana . TEMBELEA CHUO KILICHO KARIBU NA WEWE KUPATA NMNA YA KUJIUNGA
@YoungKilemba
2 ай бұрын
Teach mm pia nimemaliza form 4 matokeo sy mazur naweza somea kozi gani ya mda mrefu naomba nijib@@teacherd
@teacherd
2 ай бұрын
@@YoungKilemba ni vile wewe unayo taka.. maana sifa unazo
@YoungKilemba
2 ай бұрын
@@teacherd niend veta yoyote
@YoungKilemba
2 ай бұрын
@@teacherd unawez nitajia veta moja yanye boarding hp hp
@suzzmokiwa9580
2 жыл бұрын
Mimi nataka kusomea kozi zote ada shilingi ngap
@teacherd
2 жыл бұрын
Kozi zote ni ngumu
@EzekielEmmanuel-jc8cr
5 ай бұрын
Nahitaj kusoma beta
@paskalmasere9114
2 жыл бұрын
Je kama sisi walemavu tusiyo sikia tutajiunga vp
@joanitamusa1348
3 жыл бұрын
Kwa computer nikitaka kusoma coz ndef nilazima kuwa na Chet cha from 4
@sarahnkiwa6976
2 жыл бұрын
Mimi nauliza kozi za uaskri zinapatikanaje
@teacherd
2 жыл бұрын
Ni WIZARA YA mamabo ya ndani
@tinahosea9930
2 жыл бұрын
Nitumie link ya form nipate na maelekezo mwalimu
@julianachiwango
Жыл бұрын
Naomba nitumiwe namba yacm
@jescaisack8904
2 жыл бұрын
Kipo maeneo gan
@barakawalter6630
2 жыл бұрын
Naitaji kujifunza ufundi welda
@eneliusmutegekindibalema8262
2 жыл бұрын
AKHASANTEE
@cleoptrabaraka618
2 жыл бұрын
Ntapatj form
@carolinecute8983
3 жыл бұрын
Me nataka secondar coz nlfer la saba msaada mkuu
@teacherd
3 жыл бұрын
Karibu
@carolinecute8983
3 жыл бұрын
@@teacherd kama nmeishia la saba naazaje sasa kujiendeleza
@teacherd
3 жыл бұрын
@@carolinecute8983 unataka kupitia veta? Ua kwa masomo ya shuleni?
@suzynelson5795
2 жыл бұрын
Sawa tumeelewa lakin mwisho wa kujiunga ni lini
@teacherd
2 жыл бұрын
Ni vizuri ukatembelea chuo kilicho karibu yako watakipatia detail zote
@harunibisongoza8040
2 жыл бұрын
Naomba kujiunga na chuo cha veta
@teacherd
2 жыл бұрын
TEMBELEA CHUO KILICHO KARIBU NA WEWE KUPATA NMNA YA KUJIUNGA NA MASOMO
@joharissa2020
Жыл бұрын
Mimi naitaji nitafanyaje kaka nisaidie
@arekictito52
Жыл бұрын
Ada zenu nikwanzia began
@asnathsalumu6551
3 жыл бұрын
Je kwasas nawez kupt form
@janehassan4818
3 жыл бұрын
Naomba kuuliza ni course ipi nikisomea inakua ni bora sana mana nawaza kusomea wanamitindo na umeme sijuhi nisomee kipi nisaidie tafadhali
@teacherd
3 жыл бұрын
Wewe nikitugani unakipenda? Kutoka moyoni...ukiwa unakifanya roho yako inafurai?
@mrsam9114
Жыл бұрын
Natamn nijiunge
@Bakarbakarijuma
Жыл бұрын
Maombi yangu nikujiungana na kusomea uinjinia nitasomea kwamuda gan
@Bakarbakarijuma
Жыл бұрын
Me naomba.kujiunga na.chuo cha veta vitugani mhimu.vinatakiwa nike naye
@fredialex3303
3 жыл бұрын
Naomba mawasiriano munapatikana wap
@teacherd
3 жыл бұрын
Mawasiliano Ni kwenye chuo chochote Cha veta kilichokaribu yako...
@kaduboii3397
Жыл бұрын
Mnapatikana mwanza
@teacherd
Жыл бұрын
Tembele VETA MWAZA Utapata huduma
@IreenGadiel
3 ай бұрын
Mpo mkoa gani nije😊😊
@jescaisack8904
2 жыл бұрын
Kipo wap
@raphaely3356
2 жыл бұрын
Nirazima uwe na cheti
@jumachabalaa8506
Жыл бұрын
nahitaji kijifunza kuopareti mitambo nahitaji kujua ada kwa miezi 3 hadi 6 utaratibu ukoje
@selinachristopher772
3 жыл бұрын
M Nataka Cho cha Ufund Chelhan Ada Sh gp
@teacherd
3 жыл бұрын
Upo mkoa gani?
@agaifidelis5890
3 жыл бұрын
Samahan mimi nahitaji ufund umeme garam ni shingapi nipo dodoma
@teacherd
3 жыл бұрын
@@agaifidelis5890 inategemeana unataka kusoma short kozi au long kozi...Cha msingi tembelea chuo kilichokaribu yako upate maelezo mengi mazuri...najua dodoma kipo
@agaifidelis5890
3 жыл бұрын
@@teacherd yaa vipo lakin nataka koz short koz ya mashine
@suleimankongoloka4836
3 жыл бұрын
Habar techer
@esterbakari3717
3 жыл бұрын
Miez ya kujiunga nilini
@yusfahabib812
3 жыл бұрын
Naombeni maelekezo yakujinga ila kwa whatsp maana KZitem inasumbua
@joanitamusa1348
3 жыл бұрын
Ukitaka coz ndef fomu zinatolewa mwez wa nane mwez wa kumi na moja kufanya mtihani ukifaulu ndo utasoma ukitaka coz fup fomu inatolewq mwez wa tisa
@joanitamusa1348
3 жыл бұрын
Ukitaka coz ndef fomu zinatolewa mwez wa nane mwez wa kumi na moja kufanya mtihani ukifaulu ndo utasoma ukitaka coz fup fomu inatolewq mwez wa tisa
@joanitamusa1348
3 жыл бұрын
Ukitaka coz ndef fomu zinatolewa mwez wa nane mwez wa kumi na moja kufanya mtihani ukifaulu ndo utasoma ukitaka coz fup fomu inatolewq mwez wa tisa
@abdumumbi8293
3 жыл бұрын
@@joanitamusa1348 kesho nitapata
@tonnylife3511
3 жыл бұрын
Na udereva vp
@teacherd
3 жыл бұрын
Pia unategemea Kama Ni muda mrefu au mfupi...jaribu kutembelea chuo kilichokaribu yako
@meckitridaibrahim3229
3 жыл бұрын
@@teacherd udereva kwa kozi ya mwezi mmoja ni bei gan kwa kutwa?
@meckitridaibrahim3229
3 жыл бұрын
Na mafunzo yanaanza lini?
@ashurangabo8545
2 жыл бұрын
Veta babati
@mirnababy5012
4 ай бұрын
@dtv
@mirnababy5012
4 ай бұрын
@Adamchauya1698 njoo uone
@hidayaselemani7684
3 жыл бұрын
Habar kaka mm naitaj kumpeleka mwanangu veta ila mda je kwa mwez huu naweza akaanza na je fon napata wapi 0717471169
@teacherd
3 жыл бұрын
Kuna fursa imetolewa na waziri mkuu Wai Sasa kwenye chuo kilicho karibu...saivi kila mkoa Kuna chuo Cha veta...upo mkoa gani?
@zephaniasimon5772
2 жыл бұрын
Kwani lazima kusoma mkoani kwako? Fomu napataje?
@asnathsalumu6551
3 жыл бұрын
Je kwasas nawez kupt form
@rosemesha2143
3 жыл бұрын
Ntumie no zko tukatafte
@salmamanyota5488
2 жыл бұрын
Mimi nipo tanga na ninataka kusomaea umeme wa magari kwa Sasa naweza kupata form
@babystellah5058
Жыл бұрын
Je Kwa sas nawez kupat form
@husanhassani-eo9yw
Жыл бұрын
Samahani mimi nipo dar nilikuwa nauliza iko chuo kipo sehemu gani
Пікірлер: 151