🤣🤣🤣🤣🤣madishi yanayumba baba na mwana.R I P. Majuto
@muhmmadilutando9561
3 жыл бұрын
Majuto fundi sana Allah akusamehe makosa yake
@salomemukani1627
4 жыл бұрын
Aki mzee majuto Rest In Peace. BABA mkwe wa salma salma uko mrembo sana alafu mitihani kwa ndoa yako duuu😆😆😆😆😆😆😆hongera sana jameni tamu. Nasikia Raha sana nikiona hii movier💚💚💚💚🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦.
@tambwe
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mJp5m5usnYidnIo
@maherzain615
3 жыл бұрын
Napendaga nywele zake😁
@joymsupagladysijeya8384
3 жыл бұрын
Manjuto atabaki kuwa juu kanumba atabaki kuwa juu now we have Gambo zingamba
@maherzain615
3 жыл бұрын
Mkojani nae ako fiti
@nadzuamrema5837
6 ай бұрын
Continue rest in peace mzee wetu
@sergiomaito5605
3 жыл бұрын
Nahuyu kaka haji salumu ananikomowa..kkkkkkkkk Mboto
@masungamwandu4960
3 жыл бұрын
Majuto ww na mwanao huyo mnatisha
@nurusaleh255
4 жыл бұрын
Allah akujalie kauli thabiti akuondoshee azabu yakaburi na akujalie pepo ya firdaus King Majuto maana tuna mis vichekesho vyako
@hamidawairimuathmani3811
4 жыл бұрын
Ameen
@mlahulamasiga407
3 жыл бұрын
hv iyo fridaus nikama maji ya kunywa et
@tambwe
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mJp5m5usnYidnIo
@abuumagomba3394
3 жыл бұрын
@@mlahulamasiga407 huwez juwa kwn cc wote ni waja wa Allah so hakuna ajuae adhab wala sehem yake ya kupumzikia mbele ya umaut wake
@fatumamwalimu5765
3 жыл бұрын
@@mlahulamasiga407 ,wewe ulitaka amuombee dua gani?
@maherzain615
3 жыл бұрын
Yaani mtoto amtongozee baba mwnamke kisha huyo ndio awe mamake mdg.Dah king mungu akurehemu😂
@mathewmuruyuki7258
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa ona hiyo kidole ya kati ya Majuto eti NAMWAMBIA.😂😂😂. Majuto RIP my grandfather.
@tambwe
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mJp5m5usnYidnIo
@wyckliffemogaka5929
3 жыл бұрын
Kibajaji
@Seifbrown
2 жыл бұрын
😀😅😀 kali sana
@omarriziki270
8 ай бұрын
Rest in peace king😢wanna meet again in the next episode
@mahalawanamahalawana1870
3 жыл бұрын
Noma sana
@kadijajggf9367
4 жыл бұрын
Mwanaume wa hivo hata bure 😂😂😂😅
@humphreynduye6239
3 жыл бұрын
Mtoto na mwana ,,,,pipa na mfuniko
@salomemukani1627
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀mboto umewekewa sumu mulikua saba🙆🙆🙆🙆🙆🙆
@tambwe
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mJp5m5usnYidnIo
@maherzain615
3 жыл бұрын
Umenipikia chakula unnecessary😀
@hassamaimun9103
3 жыл бұрын
Mahaba ya uwa jamani Rip majuto
@justinluhwavi9790
4 жыл бұрын
Atar saaaana.....😂😂😂😂😂😂😂😂pimzka kwa aman majuto
@aminamaulid5157
3 жыл бұрын
King majuto R.I.P kaz nzur very funny
@ramaaman9173
3 жыл бұрын
Da hiyonoma baba kama mtoto.
@qaltumsaid3095
3 жыл бұрын
Mungu akupe makazi mema huko ulipo king majuto tutakukumbuka daima.kama nawe nishabiki wa king andika R.I.P
@frankamos3155
3 жыл бұрын
2Nu 😜
@mozahpretty1030
3 жыл бұрын
Haaaaaaaa owa musukuma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@priscillahkiswaga20
3 жыл бұрын
Eti kwani ananibeba hahaaa majuto
@jummannemaganga7961
3 жыл бұрын
Da hiikari mnooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiamnyanyi1870
3 жыл бұрын
Atosha kisava
@aishafrancis7714
3 жыл бұрын
Majuto unajua kuniliwaza kwa kweli daah pumzika kwa amani mzee wetu
Пікірлер: 118