😂😂😂😂😂 apo mwishoni Sasa ndo changamoto iyo tunasema kubababake
@abubakarmohd4822
2 ай бұрын
Jmaaaa hyupo serious , kuna shmu znhtaj awe serious yy anznguaa dah , mwanya series bdo jfunze kwa clam vivo Yan bdo kbsaaaa apa Hmna ktu
@Mrpembe
2 ай бұрын
Apo saf unyama sana 🎉🎉
@dullamuwise4802
2 ай бұрын
Wabongo mnapenda kitonga hadi kwny kuongea khaa!!🤣🤣
@Msegenajr
2 ай бұрын
Hamko serious mtu kakutana nae usku mmoja ushampelka kazn hamko serious na hii movie
@cristaezekiel1036
2 ай бұрын
Yaan afu mwanya anaongea kiutan muda wote 😂😂😂😂😂😂
@villamuzic
2 ай бұрын
haikupangwa poah ucommedy n mwingi sana nlitaragia mwanya kuwa serious after kutoka kijijin na anaanza u@@cristaezekiel1036
@HAWAMAULIDI-zl5xd
2 ай бұрын
Yani hajamaliza hata kuongea eti ingiya kwenye gari 🥲
@Jofuboy
2 ай бұрын
Ila mwanya 😂😂😂😂😂😂
@villamuzic
2 ай бұрын
episode 1 ilkuwa sawa ila ya pili mumezingua.siku ya kwanza kukutana mnakaa mnajuwana aaai
@Mlokoz_twangalatwz
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 nimekuerewaaaaaa
@user-ml9xz8ud9u
2 ай бұрын
SHANTER nimeona mmetisha
@BAbulaotv-r8l
2 ай бұрын
Good 🎉🎉🎉🎉🎉
@abdullatif053
2 ай бұрын
Lengo nipate erraa😂😂😂🎉🎉 SW baba Mia Mia wauweee 🎉🎉🎉 nime❤ iyoo
@nyakungaonlinetv
2 ай бұрын
Mv niusikukeausuiku au bean mr mwany
@erickalfaxard3728
2 ай бұрын
Kumbe 😂we bwabwa
@CharlesAsifiwe
2 ай бұрын
Jamani mwanya 🤣🤣 weweunatafuta kazi yauraisi balabalani? WE mwehu kabisa ,🤣🤣
@muniramuhando6303
2 ай бұрын
Sio poa😂
@MR_RAMSABOYTZ
2 ай бұрын
Nipeni like zangu hapaaaa mwanyaaaaaaaaa
@Msonjo_khan
2 ай бұрын
Another one best series 🔥🔥🔥
@davidmtafya
2 ай бұрын
Mwanya 😂😂😂😂😂
@emmanuelibrahim4556
2 ай бұрын
Muvi ni ya sryaz lakini watu wenyewe 😅 acha tu tuvumilie😂
@ALIKHAMIS-un4fv
2 ай бұрын
Hahaha mwenyekiti anasema wanawake wa hapa maji yamejaa hawaolewi duuh 😂😂hapa umenichekesha wachawi wabaya
@Twilumba
2 ай бұрын
Mwanya anafos kupata kazi anakuwa kama anakujua mjin
@Arianaalyy
2 ай бұрын
Broo❤
@Juliana-gx5ok
2 ай бұрын
Good job❤
@octavian54
2 ай бұрын
Kila nikitazama hii move ndio napozidi kuwapa heshima Yao CLAM na KICHECHE kuigiza Ni kazi na kujidhatiti kisawasawa
@DavidSamwel-ez3fs
2 ай бұрын
Wakwanza kwa mr mwanya kutoka Katoro geita naomba hata laiki 20t❤😢😢😢😮
@HAWAMAULIDI-zl5xd
2 ай бұрын
Huzipati n’gooo
@Dpoached
2 ай бұрын
Let's focus on this boss
@killerwizzyofficial2157
2 ай бұрын
umetka iringa huyo
@EgraLuka
2 ай бұрын
Huu moto ni balaa🔥🔥🔥 😂
@EzekiellKingmollel
2 ай бұрын
Apoo kwenyee uchawi angekuwaa ankozala 😅😅wasaidiane na bibichala
@user-xb7jv6sj1q
2 ай бұрын
Mr mwanya Abu kuwa serious ukicheza serious iyi movies itafika mbali Acha ukiomba KAZI huwezi kuweka vichekesho baba
@mrmwanya
2 ай бұрын
Kunipangia ndio kitu huwezi 🎉
@NaibuNoah
2 ай бұрын
Tatizo lako jeuri shenzi wewe,hauko serious kwenye upande wa kuongea mzee
@kefasonivenace5424
2 ай бұрын
Ukiwa mjuaji sana huwezi fika mbaLi kuwa serious kwenye kuongea sio unalazimisha kuchekesha
@mayco-channel__1
2 ай бұрын
Movie haifundishi ki2 ety atoke bushi afike Mjini aanze kuwazoea zoea watu bila connection 😄😄 movie mbayaaa
@Kidoaaisha
2 ай бұрын
😂😂😂
@EnockKenedy-sj4nd
2 ай бұрын
Good job 👏 likes
@Spagles
2 ай бұрын
Hamuwezagi kuwa seriously 😂😂😂😂😂
@Fundi_feck4248
2 ай бұрын
NOMA SANA
@AllyKhamisi-wb2vv
2 ай бұрын
We mwanya unashoot movie usiku tuu
@singledimpozempire
2 ай бұрын
KAZI NZURI ILA BADO STORY HAI SISIMUI KAKA TUNA ITAJI KITI BEST
@mrmwanya
2 ай бұрын
Kiti si ni kkoo jmn au
@ZuwenaLandism-ft1lb
2 ай бұрын
Good content bro, ila hapo kweny Hiyo seen ya mchawi watu wanatok nyumban kwao na vijora
@osimtawa5392
2 ай бұрын
Siku mbaya kazini 🎉🎉🎉🎉 Mr bonjour 🙌🙌🙌🙌
@charmingcomedian
2 ай бұрын
Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja
@Mubarakaashim
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@lynMishy92
2 ай бұрын
🔥🔥
@user-cc4th3bq6s
2 ай бұрын
Bab kubwa 😂
@stoperbenz
2 ай бұрын
Digiriiiiiiiiiiiii laisi 😂😂😂😂😂
@deeonetheginger7011
2 ай бұрын
Mr pengo we ni msenge kama wasenge wengine
@director_lavvy
2 ай бұрын
Dah hii series ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nkuxstv7891
2 ай бұрын
Mwanya apo umetupiga ungetakiwa upigwe tukio kwanza ujue hustling za town zilivyo kwanza Sasa ww unafika town apo apo unatuonyesha umepata msamaria anakuchukua apo apo anakutafutia mishe
@deeonetheginger7011
2 ай бұрын
Muwe serious kidogo huo.usiku ni mda wa watu kulala lakn walivyo toka majumban mwao km vile wametoka makazini mfano mwenye kiti kavaa suti kabisa 😷😷😷😷😷
@HusseinBizzy
2 ай бұрын
Kweli kk hawana uhlisia asaa
@mrmwanya
2 ай бұрын
Ulikua unataka watoke uchi au
@ajmaladam6343
2 ай бұрын
Achan nao SI wafanye na wao Kam wanaweza@@mrmwanya
@vellah-op4ut
2 ай бұрын
Mbona huku Mombasa ndo twaenda kazi usikuu 😅
@deeonetheginger7011
2 ай бұрын
@@mrmwanya Nilicho gunduwa we ni msenge nimejaribu kupitia reply zako unaonekana kabisa hukubali kushauriwa mada faka
@angelynboniface8044
2 ай бұрын
❤️❤️🔥
@DastanKenedy
2 ай бұрын
Huja wahikukoosea❤❤❤
@Tiwestboy
2 ай бұрын
KAKA HIII KUBWA 🏆2024 Episode 1 mungu akutangulie kwenye safari yako Una baya mkubawaaa📌
@marynyota6146
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RuwaBoycomedy
2 ай бұрын
JAMANI NENDENI KWENYE ACCOUNT YANGU PIA KUSAPOTI 👏👏
@user-vh7gw3we5z
2 ай бұрын
🎉🎉🎉❤
@donatussimon3712
2 ай бұрын
Bro mwanya jaribu kutofautosha kai ya Movie n Comedy....JARIBU KUWA SERIOUS KIDOGO...story ni nzuri ila movie haina mvutoo🏃♂️
@mrmwanya
2 ай бұрын
Tupishe sasa sio lazima 🎉
@NuruFreddy
2 ай бұрын
😂😂😂😂 hatariii
@Robertkichembu
2 ай бұрын
Mbona mwanya unarecord muvi kama huna director
@donatussimon3712
2 ай бұрын
@@mrmwanya Shida hutaki kujifunza😢 Bro unajua Sanaa Tena Sanaa ila feedback ni muhimu maana sisi ndio watazamaji tunaokuangalia kaka...Zingatia feedback za watu na ufanye changes👋
@user-in7ie3mj9o
2 ай бұрын
Mbona ume Pata kazi kirahisi ovyo alafu ulikuwa naongeya kisela tu 😆😆😆
@nickdemitychanell
2 ай бұрын
Be serious Mr mwanya unaznguwa
@Twilumba
2 ай бұрын
Riii8iiii
@user-ev4kx2so3r
2 ай бұрын
❤❤❤
@21focus_studio1
2 ай бұрын
Dah mwanya story ni nzuri sana ila upande wa camera ndo umefeli uyo jinsi anavo shooting bado mgeni ata upande wa light alipo sawa Sasa Fanya kazi nzuri mwanya
@user-xy5bp1wo8g
2 ай бұрын
Nenda ukalime
@Sifa254
2 ай бұрын
Sanaa imekushinda, katafute kazi ingine ya kufanya,miaka zote izo na bado kama ndio unaanza jana😅, why?
@MushagalushaMigabo
2 ай бұрын
😅😅😅😅😂😂😂😂
@Mubarakaashim
2 ай бұрын
😂😅😅😅😅😅😅😅
@cristaezekiel1036
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@flaviusflavius3979
2 ай бұрын
Asante sana brother mr mwanya
@Dielo_tv
2 ай бұрын
👏👏👏👏
@21focus_studio1
2 ай бұрын
Ata kwenye color alipo sawa
@NeemaMosha-qe3bj
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Hashim_a12b3c4d
2 ай бұрын
Kazi zur ina tufudisha kaka Asante mungu akubariki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@yurry_meh8911
2 ай бұрын
Inakufundisha kitu gan ambacho hukujui
@yurry_meh8911
2 ай бұрын
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
@yurry_meh8911
2 ай бұрын
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
@yurry_meh8911
2 ай бұрын
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
@Bromo844
2 ай бұрын
Mtu wa maana kabisa mwanya Mr shubamiti good job bro appreciate all of you wasaniii wetu hapa nchini big up 💪💪💪💪💪
@user-jw6bz6yh9c
2 ай бұрын
Mbona kila seen ni usiku tu mwanya nini shida
@YunnusAhmed-vy3cw
2 ай бұрын
Mwanya wewe nifundi mdogo wang
@squithermussa3433
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Sugu_omari
2 ай бұрын
Niko kongo
@teMohmamboleo
2 ай бұрын
Atakama mimi ni wamwisho ku Comment. Nipe ata like moja tu ! Nitashukuru ❤
Пікірлер: 135