Leo ndo final ❤kazi ndo imeisha naomba nyingine movie mr mwanya mimi na ww naitwa kicheche BURUNDI 🇧🇮❤❤like zangu kama mia
@EgraLuka
4 ай бұрын
Nimecheka sana unakimbia unaacha chakula😅😅😅 nzuri sana💪🫡
@PrinceAmos-y8t
4 ай бұрын
Movie nzuri sana 🎉😢😮😅
@Izoodaddy
4 ай бұрын
WA kwanza mm
@k.o.n.g8925
4 ай бұрын
Madako yako 🤣 🤣 🤣 🤣
@SaadaJuma-jq2fc
4 ай бұрын
😂😂😂 uyo anae mlilia kakaak kanichekesha
@Mgosi_Og_
4 ай бұрын
Santee 😂😂😂😂
@dullysalah4483
4 ай бұрын
😂😂😂 Dah Yan hii movie Kama cartoon 2
@SpanishiSugu
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂leta nyingine mwanya
@salumuwembo-fo5rr365
4 ай бұрын
Naipenda Saaana Tangu kongo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@medelinamkeya1176
4 ай бұрын
Mwanya mwenye mwanya wako mjini umeweza lol❤
@NanckTz
4 ай бұрын
Moto Na damu uliyo mwaga chini sasa🤣🤣😂😂😁
@Dieu-merciLobiko-sv8ys
4 ай бұрын
Kazi nzuri sana Mr mwanya
@9talieMusic-zc7cy
4 ай бұрын
Yan mmeivuruga move mchawi anarogaje watoto wak nafamilia nawajukuu sijapendaa mwanya
@angelkidoti9245
4 ай бұрын
🤣🤣🤣dah ila mwanya🙌
@InnocentConseillerernest-mk4mz
4 ай бұрын
Hiyi haisthili final Kama nu final mutupatie season 2 please Mr mwanya
@barakachas3728
4 ай бұрын
Huyu mwanya noma
@SostheneBishikwabo
4 ай бұрын
Iyi ni kali kuliko yote😂😂😂😂
@YunnusAhmed-vy3cw
4 ай бұрын
Ebwaeee Leo umetisha kwasababu ndo mwisho au 👍
@Allysapeur
4 ай бұрын
Mzee mwanya baba tupe Season 2 please ipo vizuri sana 🙏
@truthmediatz
4 ай бұрын
kaliii léta ep 2
@BasuleBasule
4 ай бұрын
Ila Mwanya Bana silipanga Nisicheke Kabsa Leoo ila Ndo Nishacheka Tena Hivi😅😅😅😅😅
@Mwirind
4 ай бұрын
Watatu mkali hpa
@officialyoungxure
4 ай бұрын
Sijawah kuona movie mbaya kama hii toka dunia iumbwe
@emmanuelibrahim4556
4 ай бұрын
Kwa macho ya nyama nikama maji lakini nimoto wenyewe huo. Mr mwanya why umeimaliza mapema likini si ungepeleka ata mpaka EP ya kumi🎉🎉
@MinhaMaarifa
4 ай бұрын
Sasa imeishaje toa nyingine lkn kuweni siliazi
@Comediani_KAMUSWGA97-ix6fl
4 ай бұрын
Naomba like zanguu kazi hatar hii
@Arianaalyy
4 ай бұрын
Umeweza sana kaka
@skystarVEVO254
4 ай бұрын
Hii yafaa iendelee isiishe hivo
@ChristopherLucky-m5h
4 ай бұрын
Chezeni comedy ndo munaweza movie haieleweki
@angelkidoti9245
4 ай бұрын
😂😂dah
@sheholajunior-lk7jp
4 ай бұрын
Familia ungefanya ifike hat kumi2 mwanya SEm vzr pia kazi nyuzi tupo pamoja
@Jay-ZMCOVICH
4 ай бұрын
Movie nzuri ttz mwanya unatakiwa kuwa sireous kak
@abdulkhalifa1352
4 ай бұрын
😮 khaaa namna gani ww !
@Elossbproflash
4 ай бұрын
Mwanya mwenza na mtaka uyo dada mdogo ku wote ana nifaamimi
@NanckTz
4 ай бұрын
🔥🔥🔥🙌🙌
@CramoTzcomedy
4 ай бұрын
Mr naomba kazi ya kuigiza na kipaji
@Pablowakama
4 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@kiskillerboy
4 ай бұрын
Ila mwanya hii faino nimecheka kishenzi
@FrankSinyangwe-wg2nx
4 ай бұрын
Pamoja
@jofreymfugale4752
4 ай бұрын
Binafsi sijaona tofaut ya hii series na maigizo ya mashuleni 😂
@Spagles
4 ай бұрын
Umewahi kuleta final boss
@rammyMpwapwa-f1o
4 ай бұрын
BIBI CHACHA UMEUPIGA MWINGI
@charlesluswaga1090
4 ай бұрын
Eti kaka mchichaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@Nasibu.kiboko.yawarembo
4 ай бұрын
Kwann umeimaliza mapema ndo ninapo honaga ww ahuna mind ya kucreat seasson
@k.o.n.g8925
4 ай бұрын
Mwanya unatisha 🤣🤣
@VictorSoko-y1c
4 ай бұрын
❤nipe like zangu
@exascongimbudzi316
4 ай бұрын
Wa kwanza mm likes zenu wakuu😂😂
@amoscharles1985
4 ай бұрын
Yan huyo jamaa hana sifa ya kuigiza kama baba wa family siyo kiubaya maana kapoa sana
@IStandNaImani
4 ай бұрын
Sema umetisha humu broo
@lynMishy92
4 ай бұрын
🥰🥰🥰kaliii
@SmartVicenzo
4 ай бұрын
Iyi familia sijui wali anzagaa kuzaa na tano???😆😆😆😆😆mama na watoto wana lingana
@rammyMpwapwa-f1o
4 ай бұрын
EEEH ILA KAK UMEIMALIZA KIKATILI KWELI AU KUNA SEASON 2
@ArseneMirevo-uf5fm
4 ай бұрын
😂😂😂😂 final
@fasajitv228
4 ай бұрын
Let's go 🔥🔥
@marynyota6146
4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@EgeniRoda-y3r
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😢😢
@angelkidoti9245
4 ай бұрын
🎉
@shebyrostam6816
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@MohamediJaziry
4 ай бұрын
Jitahid unapocheza izi tamthilia zako ziwe na usirias pia mana zina utoto sana bila ya hvyo utagawa watazamaji tunajua we ni mwanacomed ila sehem za usirias kama hapo kwabibi kwenye hyo nyumba nahao wenyenyumba unawaeleza tukio la kutisha kuhusu mkwe kua mchawi hawakuomyesha uhoga wala nn wakati ni jambo la kutisha kua sirias kidogo
@NestoryProsper
4 ай бұрын
tukutani wakati ujaooooo
@Mlokoz_twangalatwz
4 ай бұрын
watu wote wanakuangusha kwenye hi tamthilia Tena kama wazazi najamaa anaye mlilia mchicha kiukweli wamefanya tamthilia kuwa mbaya sana Mi nashauri wajitahidi kufanya mazoezi sana
@ignasdonasian
4 ай бұрын
Kiukweli Mimi sijui, lakini mwanya na Crew team yake yote tukianza na director hawaniweza
Пікірлер: 72