Siku Moja Mavuno Yataisha Kabisa (Nyimbo za Wokovu 179) - Tabernacle de Kolwezi
1.
Siku moja mavuno yataisha kabisa,
Baada ya hayo hukumu.
Jua litazimika Siku hiyo ya mwisho,
Na hutasikia injili.
Chorus
Atakusanya ngano
Kwa furaha ghalani,
[ Bali makapi yote yatatupwa motoni.
Rafiki, utakuwa wapi ? ] BIS
2.
Mahubiri na nyimbo za wokovu wa Mungu
Zitakaponyamaza huku,
Uliyelikataa Neno zuri la Mungu,
Utakaa wapi milele ?
3.
Watu wote wa Mungu wafikapo mbinguni
Kukaa pamoja na Yesu,
Wataimba kabisa kwa sauti ya nguvu
Kumshangilia Mwokozi.
Below is the link to the video where the song was extracted:
• Video
Siku Moja Mavuno Yataisha Kabisa (Nyimbo za Wokovu 179) - Tabernacle de Kolwezi
#Maranatha
Негізгі бет Siku Moja Mavuno Yataisha Kabisa (Nyimbo za Wokovu 179) - Tabernacle de Kolwezi
Пікірлер: 7