Yani mchungaji winbo huu unanitia moyo sana kwa kipindi hiki nilichokuwa nacho hapa kazin kwang mung akibariki sana mchungaji
@ProsperGasper-v1o
18 күн бұрын
Hakika kazi ya mungu haina makosa wimbo huu umenifanya niwe jasiri Sana naona damu ya yesu inapita kwenye mwili wangu inanisafisha nampenda yesu❤❤
@felesionRobert
2 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu unatubariki sana Kwa jumbe zako ni injiri na ibada tosha
@lazaroraphaelmwandosya7010
Ай бұрын
amina mchungaji wa Mungu lwa kweli Mungu akukumbuke katika kazi yako njema hii,🙏
@SecINNOCENT
Ай бұрын
Mugu na ku shukuru sana juuu usha ku shimama bele masomo yangu
@ngikatheboytz
Ай бұрын
Hii nyimbo itaishi sana Mwenyezi Mungu akusimamie mtumishi wa Mungu
@furahamkonda5112
3 күн бұрын
Simama mwenyew Bwana na familia yangu tuumalize huu mwaka Salam. Nakataa roho za magonjwa na roho za mauti kwa mamlaka ya damu ya YESU KRISTO 🙏
@justinemaingu1460
Ай бұрын
2024 Bwana simama mwenyewe hakika nabarikiwa sana na hii nyimbo. From Mwenge dsm🎉🎉🎉🎉
@samsonferdinand3045
19 күн бұрын
Wimbo unanibariki na kutia moyo ,Mungu akubariki sana mtumishi.
@EdwinWekesa-yl1iw
3 ай бұрын
Umenifarichi na Wimbo huu God bless you pastor
@violetpaul769
20 күн бұрын
Let me leave this comment here on 14th September 2024 it has made me sink deep in prayers I will come back with a testimony i had given up though this song has revived my faith in God
@IsaacOkongo-v1d
5 ай бұрын
Nakupenda sana huu wimbo,pastor mungu akubariki🎉🎉🎉🎉
@mch.abiudmisholi
5 ай бұрын
Ameen, Mungu akubariki sana.
@ProsperGasper-v1o
18 күн бұрын
Mungu simama mwenyewe asubui ya leo na hata milele pekeyangu siweza baba😂😂😂
Mtumshi WA MUNGU , ABIUD MUNGU AZIDI KUKUTUNZA ZAIDI NA ZAIDI WIMBO HUU UNATUBARIKI SANA🙏
@marthabenard3723
5 ай бұрын
Nakuelewa sana pastor ubarikiwe
@esthermavura2266
Жыл бұрын
Mungu akibariki mtumishi wa Mungu ,wimbo huu umenivusha mahali miaka kumi iliyopita.nilikuwa nausikiliza kabla ya kwenda mahakamani na kweli Mungu alisimama mwenyewe.wimbo wa maana sana kwangu huu.
@NancyNesh-z7z
Жыл бұрын
P
@ElizabethMgumbamunguakuheshimi
8 ай бұрын
Mungu abariki mtumishi wa mungu ukanivushe juu ya ndoa yangu ukanisimamie juu ya kesi yangu emungu uniokoe amina
Mungu Simama mwenyewe Katika suala la mahusiano nimechoka kuwa na mahusiano yasiyoeleweka. Muda wangu wa kuolewa umefika, Mungu wangu fanya wepesi piah niajiriwe serikalini mwaka huu kabla ya kuisha
@msabenda
Жыл бұрын
Aminaa sana mchungaji... kupitia hii nyimbo inaleta ushindi katika maisha yetu. #Simama mwenyewe BWANA YESU.🙏🏽
@GLADNESSSamwel
2 ай бұрын
Barikiwa sana
@JimmyByamungu
4 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
@ShirimaSigifrid-lk6ko
10 ай бұрын
Nikweli mtumishi mungu tuu asimama mwenyewe simama mungu kweli nuru
@lucypaulo9238
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu Kwa kazi nzr
@ChantalSebutiri
3 ай бұрын
Aminaaaa mungu atupiganiyeee asimame yeye atupiganiyeeee
@PerisChari
9 ай бұрын
Simama mbele yangu Jehovah Nissi unitetee .....Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@GraceMshana-jl6fb
Жыл бұрын
Nafarijkaga sana kwa nyimbo zsko mtumishi
@mch.abiudmisholi
Жыл бұрын
Ubarikiwe mno
@utakatifunahaki5095
Жыл бұрын
Nakupendaa sana baba yangu mepnzi.
@DanielAbass-po3vl
6 ай бұрын
Ubalikiwe past Kwa kazi njema
@mch.abiudmisholi
6 ай бұрын
Ameen
@RahelMkilanya
4 ай бұрын
Ameen! kubwa sn iend kwko mchngji wngu
@christinamabula416
Жыл бұрын
BARIKIWA sana Mtumishi wa Mungu
@mch.abiudmisholi
Жыл бұрын
Ameen
@robatmwazembe
9 ай бұрын
@@mch.abiudmisholi تو
@asinachacha5725
3 ай бұрын
Amina unanibariki sana mtumishi😊
@elizabeth1988m
3 ай бұрын
Unanibariki nikiwa kabete amen nyimbo zako unjjaza roho mtskatifu
@PachaPanga
4 ай бұрын
Mwenyez mungu naomba nisimamie niponye kupitia huu wimbo cku moja. Nitoe ushuhuda
@FurahaMataro
2 ай бұрын
Simama mwenyewe bwana unitetee bwana mume wangu arudiye kwenye musimamo.nimecoka kuliya kila siku.
@NaomiDiokres
10 күн бұрын
Ninapo taka kusimama peke yangu nashindwa ndipo nakumbuka mtetezi wangu yu hai simama bwana unipiganie katika magumu ninayo yapitia pia ikumbuke family ya mamaangu na uzazi wa tumbo langu
@sanyuushaban8364
Жыл бұрын
Nataka mambosi wangu waniletee karatas au pesa za faini katatolewe IDCard ya kuishi hapa abbudhabi 2years leo na mungu atanipigania
@MonicaAlex-ph5lb
3 ай бұрын
Naiman mungu utasimam na mm nipate mwenz simama mwenyew baba😢😢
Trusting GOD to do a miracle in our home,our car has been in police custody for almost a year now,we moved from one court to another in vain,we never known happiness since it was taken away FAULTLESS,May GOD DO A MIRACLE
@JosphineOmeri-g5p
2 ай бұрын
Bwana simama nami juu huu ugojwa ambao umenikalisha hospital miyzi sita mtoto wangu apate uponyaji
@luckygmdegela8477
9 ай бұрын
huu wimbo ulipotea KZitem niliutafuta sana ,,,nafurahi nimeuona tena , ni wimbo unao nivushaga sana katika vipindi vigumu ninavyo pitia
@JosphineOmeri-g5p
2 ай бұрын
Mungu baba mwaka huu uniponye pamoja na nyuumba langu
Wimbo huu unatubariki sana..... Mungu akubariki Sana mtumishi❤❤❤❤❤
@johnsakala.9442
10 ай бұрын
Hakika huu wimbo wenye nguvu za ajabu mno hauwezi amini. Ni wimbo wenye maajabu ya kirohosana. Wimbo una taa za ajabu unamulika zaidi kuliko tunavyo udhania. Amina.
@FARAJANGOGO
3 ай бұрын
Simama mwenyewe bwana ktk familia yetu.
@andricusndweyi076
5 ай бұрын
Simama mwenyewe Mungu katika maisha yangu kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,,,, amen umesimama na mimi kwa kila jambo. may God continue blessing you mtumishi..
@mch.abiudmisholi
5 ай бұрын
Ameen, Neema ya Mungu izidi sana katika maisha yako
@davidostephen1118
9 ай бұрын
Ubarikiwe Big UP mtumishi wa Mungu
@faithngasoma6733
Жыл бұрын
Amina Aminaaa mtumishi bila Mungu kusimama na sisi hatuwezi
@georgeowiti9296
6 ай бұрын
Mungu akubariki mtumushi abuidi....nabarikiwa nikiwa kisumu Kenya...hii nyimbo wanitia nguvu Amen Amen..
Najivunia kuwa na kaka abiudi japo niko inchi za watu lakini sichoki kusikiliza nyimbo zake mungu azidi kukubariki my brother
@mch.abiudmisholi
5 ай бұрын
Ameen, Mungu azidi kukutunza huko
@JanetNjovu-e8s
4 ай бұрын
@@mch.abiudmisholi Amina kaka👏👏👏
@CatherineMikaeli
Жыл бұрын
ujumbe mtamu una baraka sana
@eliasobeid3999
8 ай бұрын
👏🙏nabarikiwa sana na huu wimbo, 💋💋💋
@OllbrightGodson
Ай бұрын
Amina na Mungu hakubariki
@LameckKilingo
4 ай бұрын
Hapa nilipo sielewi nielekee wap,,,simama mwenyewe Yehova sina ndugu bali mm nategemewa na familia bila nguvu na hekima zako Baba mm si kitu,,,🥰🥰 mch,Abiud barkiwa sana 🥰🥰
@QUEENJoseph-kh6cb
4 ай бұрын
Mungu ndie kimbiliyo mpe maisha yako damu ya agano jipya itasafisha kila nira amini
@maikovineventscompany1180
9 ай бұрын
Miaka 9 nyuma ilikuwa ngumu zaidi nyimbo pekee ilionitia nguvu ni hii Mungu alisimama mwenyewe.
@AsiaSareh
9 ай бұрын
Naamin kupitia huu wimbo kwa imani mwaka huu hauwez bila kuona mafanikio yangu😢😢
@LydiaWekesa-j4i
Жыл бұрын
Baba Mungu nakuomba usimama mwenyewe kwa maisha yangu, watoto wangu, familia yangu,kazi yangu,huduma yangu,baba usiniache pekee yangu.
@KiokoNzomo-qf9wo
Жыл бұрын
Bwana ata simama mwenyewe
@gracekunambi7438
Жыл бұрын
Katika vita yangu simamama mwenyewe BWANA, katika majaribu magumu simama mwenyewe BWANA. Barikiwa sana mt wa Mungu
@ElijahSaasya
11 ай бұрын
wimbo woo umeweza ndani yangu mungi kami OOO hallelujah 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️....,,
@gracekunambi7438
Жыл бұрын
Simama mwenyewe BWANA. Kila eneo la maisha yangu
@sarahnyambura4334
11 ай бұрын
Hakika ninaimani utasimama na mimi Leo kwenye mtihani🎉❤
@Anglinenzisa
Ай бұрын
Simama mwenyewe Bwana.2024
@rukiandunguru1462
Ай бұрын
Simama mwenyewe kwa mapito ninayopitia Mimi siwezi Mungu wangu
@SharonZindori-b4y
6 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭simama mwenyewe bwana
@NeemaDaud-fl3xe
5 ай бұрын
Simama mwenyewe bwana yesu kwenye maisha yangu nipp kwenye wakati mgumu bila wewe siwezi
@deviselisaria5488
9 ай бұрын
Hakika huu wimbo una nguvu ya mungu mungu azidi kukupa nguvu za kumtumikia usaidie kondoo wake
@saimonjohnsumley9198
Жыл бұрын
Nipiganie Bwana,wajue upon Mungu wa Yakobo!!!
@NeemaAllan22AllanAllan
Жыл бұрын
Munguakutunze wakenya runakupenfa❤❤❤❤
@PendoPaul-jq9kb
Жыл бұрын
Simama yesu mtetee Dunia, masanja,juma na simioni katika promotion yao Amina wafanikiwe kwa kishindo
@frankthadeo-qs2ze
10 ай бұрын
MUNGU BABA NAOMBA USIMAME NA MIMI BWANA
@DevothaMkwama-q8v
Ай бұрын
Kuna wakati unaweza kusema ni uongo Mungu hayupo ila nataka kuwambia ndugu zangu Mungu yupo na halali yupo macho anatutazama wapi tunaenda je tutamkili kuwa yeye bwana na mwokozi wetu Mungu Ametenda kwangu jamani natamani Dunia ijue alivyonitendea kutoka kuwa Manchester mpk kumtukuza Mungu cyo kazi rahisi wapendwa
@CostantineMashaka
22 күн бұрын
Amen mtumishi asante kwa ujumbe
@JonasNyumu
9 ай бұрын
asante nimebarikiwa kutoka R.D.C
@BarakaMakoye-rv8fd
2 ай бұрын
Mungu simama upande wangu unitete kupitia wimbo huu
Пікірлер: 329