Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Негізгі бет Спорт Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022
Пікірлер: 115