Watoa maoni nawashangaa, kwa hiyo mnafikiri na mnawashauri wachezaji wengine wafanye kama Kibu??
@ahmedmussa6009
Ай бұрын
We jamaa haujui maana ya neno sheria wala uongozi
@user-mn3bx7vv7z
Ай бұрын
Wakati Yanga wanacheza na mkataba wa FeiToto Simba walisema Yanga hawawatendei haki wachezaji. Saizi Ubaya Ubwela kwa Kibu.
@IddyMzuri
Ай бұрын
WW MZIMA KWELI, KIBU ALIVYOONDOKA NA PESA, HAPO VP
@abubakarmohamed9861
Ай бұрын
Hii ni funzo kwa walio tamaa
@castorhaule7295
Ай бұрын
Makosa hayo mbona huyaongei ?
@user-oy2ui7rj8v
Ай бұрын
Yanga ndio chanzo cha usajili wa figisu
@user-oy2ui7rj8v
Ай бұрын
Unaniibia mali yangu halafu unanipangia Bei?, usajili ni mchakato unaotakiwa kuwa halali sio kama wa Kibu usajili wa Kihuni!!
@user-oy2ui7rj8v
Ай бұрын
Aliyefanya Unyama ni Kibu au ni Simba??, kwa kitendo ambacho Kibu amewafanyia Simba figisu ya Ajabu za kulazimishwa kwenda Yanga!!
@user-qu6ye5bk8y
Ай бұрын
Tenaukome weujaona alichotufanyia simba pumbavu
@bjshio3249
Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea Nini.
@rashidichuri1149
Ай бұрын
kibu mpumbavu baada yamkataba kuisha asingekubali kusaini simba yeye kajichanganya akasaini halafu hata kabla yamchezo 1 akatoroka sasa mwenye makosa ninani?
@rashidichuri1149
Ай бұрын
anapigiwa simu hapokei anatoroka maana yake nini???
@malkavoice2570
Ай бұрын
Unyana unyama,kama angenyooka wala simba wasingefanya hivyo. Kwani kibu ananini pale Simba! Uhuni aliokuwa anaufanya na machawa wake ilipaswa simba wafanye kitu zaidi ya hicho kwanza. Kumbe unajua alifanya makosa ww ulitaka asaidiweje?
Пікірлер: 28