Simba mmnataka kumuuza wachezaji kwa tamaa ya pesa wkt huku mkijua nyinyi wenyewe uko mashindano ya caf ok let us wait
@clarencelazaro9600
2 ай бұрын
Huyu cares ndio chanzo cha mchezaji kufanya ujinga huu kwa masrai yake sheria uchukue mkono wake iwe fundisho kwa wachezaji wengine
@hassanabdala7383
2 ай бұрын
Simba ikishtaki hyoo Club Fifa itafungiwa na itapigwa fine kubwa mno kwa kuongea na mchezaji akiwa ndani ya mkataba
@halimajuma2104
2 ай бұрын
.mpaka hapo kibu ameshaonsha kwa ameangalia zaidi maisha yake baada ya miracle sasa simba wamuuze wapata mzigo wa kununua mchezaji mwingine ukweli ni kwamba mpira ni mchezo wa muda tuu tena mfupi sana sasa yeye kaangalia uzee wake nani wa kumshikia mkongonjo
@hassanabdala7383
2 ай бұрын
@@halimajuma2104 tatizo angefuata utaratibu sidhani kama Simba wangemzuia Simba hawana record ya kumzuia mchezaje kwenda njee
@shizoshop2469
2 ай бұрын
Huyu caros ni tapeli chamsingi huyu ndiyo kampeleka kibu huko , simba hatutaki majaribio chamsing 2B ziingizwe biashara iishe
@barikibaviry
2 ай бұрын
Analia usenge kwann asinge fata utaratbu acheni kuwapumbaza wachezaji na kuwa fanya kua wajinga bala afungiwe ati
@abedisembe4551
2 ай бұрын
Hivyo hata kmc wakishtaki Simba fifa basi Simba watailipa kmc mzigo wa maana kama rungu
@abedisembe4551
2 ай бұрын
Mpaka awesu awesu ananunua mkataba wake Kwa kmc maana yake Simba waliongea na mchezaji badala ya kuongea na kmc maana alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja room ya timu kuongea na mchezaji ilikuwa hamna
Пікірлер: 9