Kauli ni hii hii ubaya ubwela km kufungwa ni jamb la kawaida kimpira ila km unaipnda simba yko na una iman nayo bc amini ushindi kuliko kushindwa "" kauli mbiu ni ile ile ubaya ubwelaa 🎉
@Stevenkmjshick
2 ай бұрын
Kaomba msamaha kasema ni bang tu jmn😢😅😅😊
@joshuasamson9618
2 ай бұрын
Kwisha Habari yake mpuuzi sana
@thehustlerafrica4368
2 ай бұрын
Simba hatunaga shida
@AbasiShabani-lw2fd
2 ай бұрын
Kumamake hii ndo heshima ubwaya ubwela safari hii tuheshimiane
@SwediramadhaniJuma
2 ай бұрын
Duuh ni hatari Sana kabs yaan
@HarunaSadallah
2 ай бұрын
Ooh! Huyu kibu akifika tu tz apimwe mkojo😮
@BabaNasritz
2 ай бұрын
Hiyo pesa ni ndogo sana Simba ongezeni pesa
@gregory6165
2 ай бұрын
waongeze kwa mchezaji yupi? Hebu google budget ya usajiri ya hiyo team uone kwanza😂
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@gregory6165KWA MCHEZAJI KIBU BAJET YAO INAWAHUSU WENYEWE
@israelmunuo7938
2 ай бұрын
Ninaamini sana milady Ayo
@husseinshabani9522
2 ай бұрын
Hatumtaki Tena ....Apite hivi.
@HasnatMustafa-n1q
2 ай бұрын
Huyu kibu ukimuangalia kwa ukaribu kam mvuta bangi vile 😅😅😅😅
@Philewalelo
2 ай бұрын
Hahah
@stanleymwaselela1849
2 ай бұрын
Bangi mbaya imemughalimu
@rexgodwill7353
2 ай бұрын
Bangi bwanaa 😂.. Wengine wanasema inawaongezea maarifa ila kama rastaman kibu analipuliza kweli imemwangusha Sana... Kabugi vibaya mnooo
@JoseHaule-tx7lu
2 ай бұрын
Sio kama
@NemesMasawe
2 ай бұрын
Kibuu anavutaaa bangii nn watoeeh mpungaaa haoo
@ZabadiBukaka
2 ай бұрын
Simba upendo kwanza mwachieni kibu akatimize ndoto zake
@pascalPembamoto
2 ай бұрын
SIMBA WAMCHUKUE MKWANJA ,HUYO KIBU KUFUNGA MAGOLI NI TATIZO.
@francischingowe5596
2 ай бұрын
Wakwanza naomba like zangu😮
@franccoz94
2 ай бұрын
WATUPEE HIZOO PESAAA MCHEZAJI HATUNA HAJA NAEE
@swadahamningo1948
2 ай бұрын
Ye jeur wamkomalie shenzi zake
@sweetbertrwiza5982
2 ай бұрын
Mwacheni aende hana furaha na club ya Simba
@RosePetro-ck8pt
2 ай бұрын
Acha matus ww,namaneno yako yamtu aliyekosa
@faidhamyovela179
2 ай бұрын
Kabisa ni ndez tu likien uko aend
@SiraMinanda-k1n
2 ай бұрын
Pesa tu ikiwekwa mezani anaenda, simba sio ving'ang'a kama yanga@@sweetbertrwiza5982
@kayutiOfficial
2 ай бұрын
Dogo Arudi Akae Bench Miaka 2
@sakinayahya78
2 ай бұрын
Msimu mzima goli moja tu halafu unalinga kwendraaaaaa hata hivyo tulikuvumlia sana
@PendoMatemba-ql1ng
2 ай бұрын
Yani mungu Atusaidie tusifungwe tukichapwa tu magoli ubaya ubwela itakuwa ndio kauli ya wapinzani
@jacobsadock3530
2 ай бұрын
Kwa hili kibu kayakanyaga
@AllyBlackMamba
2 ай бұрын
Kali sana😢😢
@Poul0114
2 ай бұрын
Tatizo hajatumia akili...kibu amekurupukaa!! Simba akazie apo apo hakuna mchezaji mwenye nguvu kuzid klabu
@EnockPhilipo-sh4mw
2 ай бұрын
Sulayabangi bro haoni
@andrewsayi2152
2 ай бұрын
Kulikuwa na haja gani Kibu kuongeza mkataba wakati hana Nia ya kuendelea na klabu ya Simba
Пікірлер: 122