Kila ninapo utazama huu wimbo KZitem lazima niandike ujumbe kiukweli nafarijika and always namkumbuka baba yangu kama nipo nae mpaka sasa . endelea kupumzika Kwa aman baba yangu..nani tupo pamoja 2024.june like zako
@AdelinaIsaya-p6b
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ hiyo nyimbo nzuri sana nakumbuka tulikuwa tunaenda kuangalia mnakaa chini vile wanaonesha majeneza watu wanavyzikwa usiku hatulali😂😂😂
@EzekielJoseph-n7p
Ай бұрын
Asante sana simio mwambeje unanikumbusha nyuma maana mara ya kwanza kuusikia huu wimbo kwenye msiba wa my mother barikiwe sana
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Pole sana dear
@SechelelaJohn
11 ай бұрын
Asante sana wazazi wangu Kwa malezi Bora hasa ya kumjua Mungu 😢😢😢
@aidakasiba1632
22 күн бұрын
Asante Sana Wazazi Wangu Kwa Malezi Bora Hasa ya kumjua Mungu. 😢😢😢😢
@AllenMwalimu
9 ай бұрын
You will still in my heart.. always our life from God . rest in peace my father...my love mama I love you be blessing and I love you..I miss you soon I will be with you dodoma..
@deodatusmtitu3573
6 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha kwenye harusi yangu 2017 mwezi Julai.Asanteni nyote mliofanikisha sherehe ile.Baba hukushiriki kwa sababu ya maradhi.Endelea kupumzika babangu
@Salomeshimwela
5 ай бұрын
Wacha weeee
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Pole sana 😢😢😢😢😢
@agnesyjoseph3906
Жыл бұрын
Naupenda Sana huu wimbo barikiwa mtumishi
@AllenMwalimu
9 ай бұрын
Always nakukumbuka Mzee wangu.. endelea kupumzika Kwa aman..
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Pole sana
@bettymlaki9669
3 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda unanitoa machozi. Kati ya vitu vikubwa wazazi wangu wamefanya ni kunieleza habari za Yesu. Mungu awabariki
@brycesonngungugu1535
Жыл бұрын
Mungu akuongezee Hekima kwa wimbo Bora kabisa
@samwelmwaijumba6018
5 жыл бұрын
Dady and mom we mic you soo much... Tunamshukuru Mungu mlipata muda wa kutulea vzur ktk hekima na maarifa ya Neno la Mungu.... Mungu awapumzishe kwa aman ipitayo akili za kibinadam..... Tumewakumbuka sana.
@pamelacleophace8444
2 жыл бұрын
Mungu akubaliki huwa nabalikiwa sana nikisikia wimbo huu had najikuta nalia
@bettykazoya2990
8 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu, mungu akubariki sana
@imanimwandosya370
Жыл бұрын
MUNGU aifikishe mbali huduma yako mbele zaid mtumishi, Simon Mwambije.
@TeruCollection
Ай бұрын
2024 huu wimbo. Unanifanyia nimependa mama...... Love u mama...rip Baba anguu❤❤❤
@SalomeLyaje
15 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Pole sana kwa kuondokewa na baba 😢😢😢😢😢😢😢
@neemadaniel6203
11 ай бұрын
mtumishi adi machozi yamenitoka asanteni sana wazazi wg
@DianaMwamatepela
4 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo mzur MUNGU akutie ktka huduma yako. Nawashukuru sana wazaz wang kwa malez mazur kwang nawaombea kwa MUNGU muish miaka mingi AMINA ❤❤❤❤❤❤❤ sana home boy.
@swighagha
3 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe uliotukuka.
@emmanuelyjafety4777
2 жыл бұрын
Safi sana wimbo wako mzuri Mungu alibariki🙏🙏🙏🙏🙏
@leonardkelya1127
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu mungu akujalie
@joashmutoto7260
2 ай бұрын
keep going brother I like this song God blesse you,,,,one day naomba tuimbe sote
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Asanteeeeeeeee eeeeeeee wa zaziiiiii kwa malez mazur
@fridaykwama7715
4 жыл бұрын
Hongera kwa kuwashukuru wazazi mtumishi,ujumbe makini sana.
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Ujumbe mzur sana
@josephnjelekela6512
4 жыл бұрын
Gonga like za kutosha kama kweli unampenda mzazi wako na baba mleziiii
@leonardkelya1127
2 жыл бұрын
Mtumishi ni Jambo jema hapa duniani kishukuru wazazi kwa kukulea umenibariki Sana ubarikiwe Sana na mungu akulinde
@AnnSofi-dp5pe
4 ай бұрын
So touching...it's quite reasonable be blessed man of God🙏
@sehewawilliam1613
4 жыл бұрын
nyimbo nzuri Sana,,,, MUNGU Akubariki mtumishi,,,Karibu DODOMA
@aidakasiba1632
22 күн бұрын
Nyimbo nzuri Sana Mungu akubariki mtumishi ,,, Karibu mbeya.
@PeninaBalabona
10 ай бұрын
Mungu akubariki Kwa nyimbo nzuri na kipaji kizuri
@stelawilliam8836
4 жыл бұрын
Baba na mama nnawashukru pia
@grecyibuku648
9 ай бұрын
Hongera sana mungu akubariki
@stanfordmwanjelwa5229
4 жыл бұрын
Barikiwa sana mwambeje wana ipinda tunakukubari sana mtumishi songa mbele
@hamisayusuph5966
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana wimbo mzuri sana, Rip wazazi wangu baba na mama yangu
@jacklinehermani1491
Жыл бұрын
naipenda Sana hii nyimbo namkumbuka Sana baba yangu rest in piece dady forever love you papaa
@GervasiBalthazary-du9qz
8 ай бұрын
Uko vizuri mkuu
@felistermbua2715
6 жыл бұрын
Umenitoa machozi hu mwimbo, Mungu akubariki kazi yako njema
@mwinjilistimwasenga8569
4 жыл бұрын
Karibu tena Tunduma,kanisa la House of Prayer (Huduma ya maombi na maombezi)kwa bishop Furaha Mwakabenga tumebarikiwa sana
@SalmaKimwaga
Ай бұрын
Nyimbo nzuri sana nawapenda sana wazazi wangu❤❤❤
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Barikiwa sana
@PaschalPaul-w1m
2 ай бұрын
Mungu.ndie.muweza.wakila.jmb
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Kabisa
@GislaryMlelwa
4 ай бұрын
Wimbo ulipiga siku ya harusi yangu tarehe 28 July 2014 pale ukumbi wa mkapa Mbeya hakika hongera sana mpendwa uliyeimba huu wimbo Mr Mwambeje
@hopemacha4419
6 жыл бұрын
Hongera sana kaka Kwa wimbo wenye ujumbe mzito Mungu aendelee kukutumia
@kristaboniphace6873
2 жыл бұрын
Yan huu wimbo unanikumbusha mama yang na baba yang coz mama yang anaupenda sana
@martinemanuel9782
5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi Huku arumeru kila harus huu wimbo ni lazima upigwe
@juliusmbiu8131
4 жыл бұрын
Asante sana kwa Wimbo huu, umenitafakarisha sana. Mungu akubariki sana
@amonjiru
3 жыл бұрын
My dad and mum, asanteni sana kwa malezi,. May your soul rest in peace
@anithasanga6159
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi naupenda sana huu wimbo unanibarki sana. RIP. Mama angu mzuri nakupenda milele
@eliudiraphael4100
7 жыл бұрын
wimbo wako wa baba na mama umenibariki sana naupenda mno, ubarikiwe sana
@StivinDimoso
5 ай бұрын
Mungu akubakiki sana kwakujua thamani ya wazazi
@nellymbughi716
6 жыл бұрын
Kwa sababu yenu wazazi ninaonekana mbele za Mungu ..mbarikiwe sana wazazi wangu nawapenda sana Mungu awalinde!!
@joshuakalinga5970
3 жыл бұрын
Today 09.09.2021 am still listening this song i see happy & blessed forward forward man of GOD ⛪👏🙏🙏🙏🙏🤣🤣🤣
@hawamwailolo9992
7 жыл бұрын
Nawapenda wazazi wangu wote japo baba alinitoka kitambo mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi,mama nimekumic
@theresiambunga3155
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri unatubariki Sana nawapenda wazazi wangu RIP dady
@fridaminja7191
Жыл бұрын
Wimbo mzuri kka, Mungu azidi kkuinua azidi kuinua kipaji chako azidi kuibariki kazi ya mikono yako Amina. Yan sijui uliwaza nni ukatoa mashair mazur hivi, ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
@neemakazula7991
5 жыл бұрын
Wimbo huu unagusa Sana moyo wangu barikiwa Sana iduguye Simon
@florakapange3227
7 жыл бұрын
Asante sana mama kwa malezi mazuri uliyonilea . Kwasababu yako naonekana mbele za watu.
@alpha.lazierkimayan9172
4 жыл бұрын
Flora Kapange hongera sana mungu akuinue tena
@marthamsafiri3582
4 ай бұрын
Kazi yako ni njema sana barikiwa sn Simon Mwambeje🎉🎉🎉
@saulokapala3091
8 жыл бұрын
Ubalikiwe sana na MUNGU yu pamoja na ww ktk kazi yako ya kueneza injili kwa njia za nyimbo
@binamutawa9637
3 жыл бұрын
Nyie mliolelewa wazazi wenu tena woote wawili mshukuruni sana mungu kwan mungu alitusaidiwa hata tukalelewa na ndugu hivyo mapenzi ya wazazi tuliishia kuona kwa majilani
@dianachami6768
2 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Babaangu😢
@franciscamtolihela6277
4 ай бұрын
Usikate tamaa mzazi ipo siku utaimbiwa wimbo huu kwa huyo unaetaka kumkatia tamaa. Barikiwa.
@halfanrashid4977
7 жыл бұрын
nabarikiwa sana Simon na nyimbo zako,hakika Mungu atakupa zaidi ya hapo
@stelladavid5301
7 жыл бұрын
Simon, big up wimbo mzuri sana endelea kubarikiwa
@ZuuMsangi
3 ай бұрын
Nasubir kuupiga wimbo huu ktk arus yangu
@DianaMwamatepela
8 күн бұрын
Mungu akutie nguvu
@lucyluambano7112
2 жыл бұрын
Barikiwa sana wimbo mzuri sana
@bonifacemwakyomawaleo5867
2 жыл бұрын
I am very much blessed man.
@luganomwandenga668
3 жыл бұрын
Parents are important than anything in the world they always bring happiness I love you Mom and Dad
@paulamrope5074
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa wimbo huu
@ndimbwatumi9639
7 жыл бұрын
kweli baba na mama mungu awabariki mzidi kuishi
@samwelimwashibanda6367
4 жыл бұрын
Best song in Tanzania
@zainabmhoka1778
5 жыл бұрын
sichoki kuusikiliza huu wimbo Mungu akubariki kaka Simon 2019 August 2
@timothsimbeye9237
3 жыл бұрын
Wimbo Safi ingawa una mda kidogo !!!pga kazi ya mungu
@fedelikalinus5004
2 жыл бұрын
Unatufundisha jambo jema sana mwimbaji wewe ubarikiwe sana
@FettyMussa-vy5dw
3 ай бұрын
Nice song ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@cathmahenge1536
7 жыл бұрын
be blessed mtumishi nyimbo nzuri mno
@Salomeshimwela
5 ай бұрын
Asante sana wazazi kwa malezi mazuri mbarikiwe Sanaa
@loningomollel7353
4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa ujumbe mzuri
@willyibrahim5538
2 жыл бұрын
Mungu akubariki San mtumishi wa Mungu🙏
@marymwandandila9327
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana
@lovenesngomuwo153
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@sovesheria1348
4 жыл бұрын
Good I love mom and my dad so much I like this song
@sovesheria1348
4 жыл бұрын
If you love this sove like
@deosdatmwansanga9437
3 жыл бұрын
Mungu akubarikisana pamoja na kaziya mikono yako
@AsiaKhamis-uo8mu
4 ай бұрын
Hatamim inanikumbusha halusi ya kaka angu
@GraceLyowa-zl1bu
Жыл бұрын
I like this song
@elilukumay759
Жыл бұрын
Mungu akuinue akupeleke viwango vingne
@mwitachacha7289
3 жыл бұрын
Well done, it is the best song.
@telesiahaule5700
5 жыл бұрын
Wimbo mzur mno na sauti nzur barikiwa
@katyetyegosper218
4 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana
@rahabusalum215
3 жыл бұрын
Wimbo unaujumbe mzur kweli mungu akubariki sana
@happykatyega1041
6 жыл бұрын
barikiwa sn mtumishi simon nazipenda sn nyimbo zko
Ubarikiwe Sana kaka...! nimebarikiwa Sana Na nyimbo hii I love my parent
@ulimbagakipole3971
8 жыл бұрын
WIMBO UMENIKUNA,MUNGU AKUBARIKI SANA.
@gosaizaka1495
5 жыл бұрын
my father and mother blessed where you are
@mbandimbandiyulis5656
3 жыл бұрын
Safi sana
@alexombeni3092
Жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka daima..
@faustabetram3234
3 жыл бұрын
Naipendasana ihi nyimbo mungu akubaliki
@sesiliaalfred9890
2 жыл бұрын
Asante ubalikiwe san
@salomenelson711
3 жыл бұрын
Wimbo unaonifanya nimkumbuke marehemu baba yangu
@davidmwamba7586
2 жыл бұрын
Kanunu kaka umenye, fijo
@dr.erimao4620
4 жыл бұрын
Excellent Asante sana
@tinahsulle988
4 жыл бұрын
This song had made me to recall the days I spent with my parents let them rest in peace I still love you and will forever remembered ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏❤️❤️❤️
@samwelmwaijumba6018
4 жыл бұрын
Amen may their soul rest in eternal piece,,,we love you our parents....
@tinahsulle988
4 жыл бұрын
RIP my lovely parents I still remember the moments you spent with me,
@samwelmwaijumba6018
4 жыл бұрын
Amen sure, may their soul rest in eternal peace in Jesus name...amen
Пікірлер: 222