Kuna watu waongo sana, et wamemaliza hii simulizi, wanataka part 2 😂😂
@salmakim557
Жыл бұрын
Hahaha yaani Anko Jay huamini kuna watu wamemaliza part 1😂😂 mimi hapa nshaamaliza tupe part 2 pllllz
@swabrarashidi1082
Жыл бұрын
Khaa anko mda watu tumesha maliza hhhhhh
@lovenessyesse9053
Жыл бұрын
Tumemaliza bhn anko jey sasa bila kufika mwishi unajuaje kua Ina part 2 jmn 😂😂
@lovenessyesse9053
Жыл бұрын
Tumemaliza bhn anko jey sasa bila kufika mwishi unajuaje kua Ina part 2 jmn 😂😂
@mariamjuma743
Жыл бұрын
Mm hpa nimemaliza 😋😋🥰 nataka part 2 Anko
@MasikaPacheli
11 ай бұрын
Yaani wewe anko daaaaaa nakupenda saaana sauti yako anko kweli na enjoy na kutakia maisha marefu kabisa
@swabrarashidi1082
Жыл бұрын
Ivi anko unaugomvi gani na wanaume wanene alafu anauliza ume enjoy hhhhhh h nimejikuta nimecheka kwa sauti
@ankojay_
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@DoreenwangilaNanjala-rd5wi
5 ай бұрын
Woow inabamba, sauti poa, imaburudisha, tune nayo iko woow
@mirajimohamedchifuno
Жыл бұрын
Daa Lisa na anko napenda Sana kazi yenu❤❤❤
@HirdaKahimbi
14 күн бұрын
Hongel anko jey una saut nzur san alafu juli jmn kwann unamfatilia mdg wako ivyoo we mchaw nn
@linnerphilip4260
Жыл бұрын
Jaman anko letaaaa uvumilivu umenishindaa keaho nj mbalo
@beatriceonsongo9915
Жыл бұрын
Tusikilize kwanza rehema kafanyaje hongera ankojay na Lissa kazi nzuri kweli
@ankojay_
Жыл бұрын
Thank you so much 😊
@AbuuAbdalah-t2n
11 ай бұрын
Anko nakupenda Sana unasimulia vizur❤❤❤❤❤
@mishelygodlisten1171
Жыл бұрын
Top twenty ila anko nisem Asante San nimejifunz mengi San San Mungu akubariki San mm saiv Kila nachokipitia kweny maisha yang naon kawaidaaaa kutokan n simuliz zenuuu thanks much anko
@ankojay_
Жыл бұрын
Thank you so much 😊
@doricedeus7587
Жыл бұрын
Nikiwa na my boo akawa na sauti Kama ya ankojay nitaringa sana
@Teddytosha-g7w
6 ай бұрын
Jmn simulizi zuri uncle jei 🎉🎉❤❤😊😅
@kanenokarisa2261
Жыл бұрын
Anko jay ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥 tunaisubiri sana hiyo party 2
@hijamwinyi3233
Жыл бұрын
Lete mzigo anko jay simulizi tamuu
@ankojay_
Жыл бұрын
Ahsante sana
@josephinechisiwa4357
Жыл бұрын
Weee😂😂😂 anko jay unavojua kusimulia ss ❤❤
@ankojay_
Жыл бұрын
Thank youuu😊😊😊
@josephinechisiwa4357
Жыл бұрын
Leta mwendelezoo
@ziadamtebwa3712
Жыл бұрын
Nzuri sana lna mafunzo Asante Anko J na Lissa Mwala tuharakishie na 2
@JaneSanga-b5n
Жыл бұрын
Jamn ningekua me rehema niaingeweza yaan at bab angesemaj ningerud kwetu jamn maisha ay
@FatmaHassankhamisi
8 ай бұрын
Anko j unavituko sana daaa nakupenda buree❤❤❤❤
@MsChocoFlava
Жыл бұрын
Napendaga anko akisimulia huku akicheka 😂 just love him❤
@ankojay_
Жыл бұрын
😊😊😍😍 Thank Youuu
@florenceakothotieno3673
Жыл бұрын
Keep it up ankol j,unanitowaga stress za hawa warabu
@ankojay_
Жыл бұрын
Ur welcome 😊
@JazilaJazila-uw1bc
5 ай бұрын
Jaman anko j unasauti nzur na unapenda kujisifia jaman
@imanwalid6549
Жыл бұрын
Ieo my first frm dubai
@AishaAljadidi
4 ай бұрын
Nacho mpendeya anko jy asunili kusifiwa anajisifu mwenyew 🤣🤣🤣❤❤❤❤
@aminajumashakombo1549
Жыл бұрын
Anko jay nakupenda😂❤Njoo nkupe simuliz yngu unisomee pekeangu
@fjggoxfh9502
Жыл бұрын
Anko jay tume injoi kwa iyisimuliz tam tunayisubili kwahamu muenderey
@RahimaSwalehe
Жыл бұрын
Anko j uwe unakula miyayo mingi😅😅
@ankojay_
Жыл бұрын
😄😄😄😄
@wilkisteradhiambo3072
Жыл бұрын
Anko Jey mimi na wewe bega kwa bega mpaka kieleweke ❤
@jescamasanja4916
Жыл бұрын
Napenda ukisimlia ukiwa unacheka❤️❤️💞💞
@MasikaPacheli
11 ай бұрын
Sauti yako anko daaaaaa na enjoy sauti tuuu
@ruthwaithera2650
Жыл бұрын
I like how Anko shower praises on himself...his voice make me shrrrrrrriiiii.waiting for part two
@elizabethlucky8200
Жыл бұрын
Naomba nikutumie REHEMA WA TANGA tafadhali
@NeemaKwayu-g5m
9 ай бұрын
Napenda ako anavyo sema subscribe basiii oooh 🤩 ❤
@hadijambaule7366
Жыл бұрын
Jmniiii last born ss tuacheniii tu tupendwe na bab zetuuu
@nasmanyagali4938
Жыл бұрын
Wooow nimekuwa wa kwanza leo ❤❤
@patojefa1137
Жыл бұрын
Napenda sana story zako ankoj zanifunza mengi sana
@SakinaAndrew
8 ай бұрын
Anko jay unanifurahisha
@Amenah-ll5ys
Жыл бұрын
Jamani Ankoj anapenda jisifiya uyoo 😀😀😀😀😀😀nisifiye namimi kidogo basi Amina
@hamidabaliyanga2584
9 ай бұрын
Asante sana Ankojay
@laymallya178
Жыл бұрын
Ankojay mwendelezo uwe leo
@mmlml
Жыл бұрын
Margaret saudi Arabia napenda sana simulizi ❤anko Jay
@ritaisaya1424
Жыл бұрын
Wow kitu kipya ❣️❣️
@ankojay_
Жыл бұрын
Yeeeeaaah😊
@aminaomarimaidi
Жыл бұрын
Asante anko Dah nilikuwa nasubiria kwa hamu
@mulhathamid6059
Жыл бұрын
Anko j leta nyengine please 🥺🥺
@Jacklineswai-d5o
4 ай бұрын
Matangazo yamekua mengi sanaa
@echawekab3796
Жыл бұрын
Wa kwanza mimi
@fedhaathuman-sd2id
Жыл бұрын
Kwer tena ank mass mawiri so meng 2na kusubiri wew 2 uret pat2
@jamilahussein1071
Жыл бұрын
Ankojey yaonyesha umchoka sna jm unapiga miayo mpka bc 😆😆😆😃
@JenniferBenson-kp4hg
Жыл бұрын
Ila ndung Wana bowa sana kaaah
@zenaathumani8144
Жыл бұрын
Ankojay asante sana kwa simulizi hii tamu kweli kweli ❤
@hijamwinyi3233
Жыл бұрын
Mbonge na nongo juu jamanii si ana taka za mitoki huyo bwana harusi
@REY_KATUNI1
Жыл бұрын
SOMO yangu kafanyaje tenaa😂😂😂REHEMA❤
@ankojay_
Жыл бұрын
😅😅😅 kaharibu huku
@mwanaally4972
Жыл бұрын
Ank naitaka hii part 2 nailipiaje jomon😂😂
@matridamgani8862
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@racheluwda6552
9 ай бұрын
Amazing Ankojay 🎉🎉🎉❤❤❤
@sadakimwaki9791
Жыл бұрын
Leo mdogo wangu rehema ngoja tumskie Ana nini? ❤Ankojay
@queenjojo7231
Жыл бұрын
Muendelezo anko Jay love you ❤❤❤
@ataamansi8941
Жыл бұрын
Huyu Juli jamani,kaaa anaweza hata kuua, yani ni mzushi mwongo mchonganishi wivu umemzidi, mie ndugu zangu wapo hivyo,na ilinichukua muda mrefu sana kuwajua, walifanikiwa kuniharibia hasa kwa watu walio muhimu kwangu mmoja wapo akiwa mama yangu mzazi, lakini walichosahau ni kuwepo kwa Mungu anayeona na kusikia kila kitu, nashukuru sana ukweli ulikuja KUWA wazi, tena wala sikutumia nguvu kujitetea, maana nilifanya hivyo wakati wa mwanzoni, lakini sikuaminika, basi niliumia hadi nikajizoelea nikajitenga nao wote hadi mama, nikahama mkoa nikaenda kwa baba mdogo, cha ajabu wakapeleleza wakajua nilipo huko nako wakaja wakaniharibia, walikuwa hodari wa kutunga uwongo unaofanana na ukweli, walisababisha nikapigana 👊 na mke wa baba mdogo, ikabidi niondoke nihamie kwa dada wa jirani yetu ambaye ameolewa huko Tanga ,sikuwa hata nimemzoea alipokuja kuwatembelea wazazi wake nikamsalimia nikamsadia kushusha mizawadi aliyowaletea familia yake,akanichangamkia sana,akanikaribisha huko Tanga siku alipokuwa anarudi kwake nikatumia fursa hiyo nikamwambia nikipata nauli, baadaye kama miezi mitatu ikapita akatuma nauli, sikuaga mtu ,hapo nimenyanyasika sana maana nilirudigi nyumbani baada ya kupigana na mamdogo.MUNGU huyu maisha yalibadilika nilipofika Tanga tulipendana sana na mwenyeji wangu nilikaa miaka 6 BILA kuwasiliana na ndugu zangu,japo nilikuwa namkumbuka sana mama nilimpenda, habari zao nilizopata sababu ni jirani, niishie hapa nina mengi sana,niliondoka umri 17 nikaja wasalimia umri 23 nimependeza hatari, mama alinikumbatia tulilia sana sikuwaambia kabisa nilipokuwa.Nawale ndugu zangu wakijulikana yote walizusha, mama amerithisha nyumba yake,japo naishi mkoa mwingine.Ndiyo maana namkubali Lissa Mwalla utunzi wake ni maisha halisi,na msimuliaji sauti yake inanifanya nifurahie simulizi sana tu NINA MAISHA YA KURIDHISHA ndg bado hawakomi , lakini hawanipi shida,wananitamani lakini nimewawekea mipaka tunawasiliana kwa CM,sasa hivi huko wanawekana vikao kila mwezi kuchambana,mie kila mmoja ananishtakia kueleza ubaya wa mwenzake,nawajibu SALINI SANA YATAISHA 🙅
@ankojay_
Жыл бұрын
Inasisimua hii...🤔
@Pretty22750
Жыл бұрын
Jitie moyo mwaya na pia kuwa mtu wa maombi sana maana mungu hamwachi mja wake na kitu kingine wapende wala usiwaonyeshe una kinyongo nao bali usitake mazoea nao mie pia ninayo yaliyo nisibu hapo awali ila namshukuru mungu kwa kumtumainia leo hii nifikapo nyumbani kila mmoja anataka anione wanangu pia ni wtt wapendwa kwa Bibi yao hivyo dear kazana na sala na utapata majibu Mungu wetu sio wa ubaguzi,,,japo ya kwangu sio ya kushare mapenzi Na ndugu ni dharau tu za kawaida
@sarahsamson9362
Жыл бұрын
Yani ww umenisemea mm 😢kabisa 😢😢😢ila namshukuru Mungu
@ataamansi8941
Жыл бұрын
@@Pretty22750 Mwaya wee unafikiri hata nikushea mapenzi kumchukua darling no bali ni mambo haswaa, ndo maana simulizi ambazo mwanzo mwisho majonzi zikubali kivilee nakumbuka mateso niliyopitia, yani MUNGU NI MWAMINIFU SANA wakati napitia nilitamani hata nife, nikanakwamba sikuwa naona mbele yaani kila nikitizama ni giza tu sioni pakutokea, hata sielewi yalianza vp kwisha kumbe yalikuwa magumu ya muda tu, kama machozi yangekuwa yanafaa kukinga katika ndoo mmm loo, sijui niieleze vp mie, sasa maisha yangu burudani, hahaha ha hehehe nacheka mno ninaamani, japo katika mfumo huu huwezi furahi kila siku, lakini furaha kwangu imezidi kuliko kusononeka ,hapa najitizama kioo hakinidanganyi niwe mkweli najitambua, Hakuna mtu ambaye akiniona akaacha geuka si wanawake si wanaume tena warika tofauti, niko vizuri mno ,nikipita mahali nikiona wananitizama sanaaaaaa nafanya makusudi kama Dr Mayra wa simulizi ,wakidata najichekea mwenyewe, nimejifunza RAHA JIPE MWENYE, jamani natizimwa mie, laiti nisingejitambua mapema duu ,sidanganyiki kamwe
@ataamansi8941
Жыл бұрын
@@sarahsamson9362 Sarah Samson usijali kabisa yanakwishaga mbona,utaipata amani yako siku moja Sali MUDA mwingi, pia usikazie fkra sana matatizo mwachie Mungu amini anaona hata visivyo onekana kwa macho,pia ukiomba kumbuka kushukuru hata kwa uhai, hata ingawa bado tatizo lako bado kwisha,nakama sala itachelewa kujibiwa sala upate nguvu za kuvumilia 🤲🙏
@EstherJoram-gt4lt
6 ай бұрын
Pamoja san Anko jay
@mwanahawamsafmsafiri
Жыл бұрын
Pat2 jaman
@SumayMasindi
Жыл бұрын
Watu wa Tanga oyeeee
@fentafesh9790
10 ай бұрын
Fantastic 💯
@ZizzahZizzah
Жыл бұрын
We kungwi weeeeee😚😚😚😚
@Sabrina-c7c2p
Жыл бұрын
Tumemaliza achia kipandecha pili
@khadijaallykhadijaally665
Жыл бұрын
Tuletee tumemaliza tayar😊
@عهُد-ب6ظ
Жыл бұрын
Waaah kumbe kweli kila mtu anamapito yake tofauti na ya wengine hakika kazi duniani ipo tena yenye haihitaji usaini cheti wala leseni ila MUNGU atuwezeshe kuishinda yote kila wakati
@joykatakana1099
Жыл бұрын
Pole dada mwenzako alikua ana sumbuliwa na mamake ww n dadako ghiiiii hebu n tumie no yake hyo dadako shenzi kabisaaaa 😂😂😂
@ankojay_
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@MerissahFlavour
Жыл бұрын
Tupe part two please
@SumayMasindi
Жыл бұрын
Ewaaah
@khalephjones9342
Жыл бұрын
Wow wow Anko jay???????
@ashleymohamed6935
Жыл бұрын
Mh
@salmakim557
Жыл бұрын
Hello hello,twende Tanga au sio 😘 asante Anko Jay uzidishiwe baraka
@AbduhKareem-hi7sg
Жыл бұрын
🎉
@ankojay_
Жыл бұрын
Amina 🙏
@mariamjuma743
Жыл бұрын
Leo wa kwanza 🤣🤣🤣🤣 Asnte Anko J 😅🤣❤️💕
@ankojay_
Жыл бұрын
🎉🎉🎉😂😂 Saaaafi
@leahmajaliwa6575
Жыл бұрын
@@ankojay_ ankojay naomba link ya WhatsApp
@rachypsalms2869
Жыл бұрын
Nakupenda Ankojay simulizi zako huwa na mafunzo mengi, I will continue supporting you😍😍😍
@ankojay_
Жыл бұрын
Thank you so much 😊
@graceshansila
Жыл бұрын
@@ankojay_ Asante Ankojay nakupenda Bure❤️❤️
@graceshansila
Жыл бұрын
@@ankojay_ unasauti nzuri sana
@PhoebeWafula-d6c
11 ай бұрын
Rehema vumiliya hiyo mechi ukichoka kanyanga 🏃🏃🏃🏃😂😂😂😂 vumiliya kamududu
@RusyJackson
9 ай бұрын
Waoooooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@LuciaNdelwa-yi4yj
Жыл бұрын
Leta chapu uo mwendelezo
@anastaziasanga
Жыл бұрын
Tulikumisi sana madame Lissa Asante Kwa kitu kipya musimuliaji wetu Sasa bomba 🤣🤣🤣
@moreenfelluzy3243
3 ай бұрын
Watu wanakoment wa kwanz wakat hat simliz hawajaisikiliza guys jmn 😂😂😂😂
@bellabelle1593
Жыл бұрын
Asante sana.kwasimulizi nzuli Tunakupenda sana From🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@lonakirao5275
11 ай бұрын
😂😂😂 eti mechi yajana ulionaje 😂😂😂
@RusyJackson
4 ай бұрын
Kujifia tu ankoj❤❤
@sumeiyamaddy95
Жыл бұрын
Tuleteee part two
@MaryMary-kq3nh
Жыл бұрын
Asante sana Anko jay kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤
@ColethaMwenda-qd1ck
Жыл бұрын
Anko mbona sehemu ya pili haipo
@ankojay_
Жыл бұрын
Bado sijaiweka
@ColethaMwenda-qd1ck
Жыл бұрын
Tuwekee anko bhn tumemaliza sehemu ya kwanza
@ColethaMwenda-qd1ck
Жыл бұрын
Tunaisubilia kwa ham unatukatisha utamu anko jay
@SheilaDoto-jo7jc
Жыл бұрын
Me naenjoy voice yako anko j❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@lillykuiname69
Жыл бұрын
Anko Jay uongo mbaya kwa kweli nakupenda please 🙏 hivi umeoa😢
@nyamvulafatuma5383
Жыл бұрын
Ahsante anko jay tuna enjoy na simulizi zako tamu sanaa 😂😂
@ankojay_
Жыл бұрын
Ahsante sana
@lovenessyesse9053
Жыл бұрын
Anko jey fanya bs mpango utuletee party 2 please 🥺
@risperwangari4879
Жыл бұрын
Ankojay 🔥🔥🙋mbarikiwe na Lissa Mwala
@adijampoyo2154
Жыл бұрын
nashukuru kwa simulizi zenye. mafunzo na mazingatio!
@irenerugimbana6480
Жыл бұрын
Asante sana ankojei atimae nimekuwa miongoni mwa wale kumi wamwanzo😊😊
anko jay i salute u im from kenya mombasa twakubali kazi yako God bless ur job
@ankojay_
Жыл бұрын
Thank you so much 😊🎉
@binthassan9191
Жыл бұрын
Tuletee part 2 Anko jay❤
@aminah9557
Жыл бұрын
Mm nimekua wa mwisho leo nilikuwa naskiliza the football
@Salma-zi6hn
Жыл бұрын
Nakupenda sn anclejy mungu azidishe kipaji chako
@victoriajulius5239
Жыл бұрын
Nawaambiwa nilikuwa Dodoma vijijin uko hamn ata network jamn Nilimis sana simuliz yan nilikuwa naweweseka hatari hapa nacoment Nipo njian sas mje hapa mniambie nianze ipi jamn sielew😂😂😂
@ankojay_
Жыл бұрын
😂😂😂 pole sana
@victoriajulius5239
Жыл бұрын
@@ankojay_ Asant anko wang
@naomibitakara7972
Жыл бұрын
Nimejfunza cna bro but mbn sehem ya pili cion kwn bdo haijatoka but voice yko n amazing cna
@dhuhasaid636
Жыл бұрын
Ayiii waoooo kitu na box sante ankjay na lissa akee❤❤
@Mopao17
Жыл бұрын
Mmmhhhh Mimi pia nimemaliza Asante Lisa
@ShemsaMushi-uk3lr
Жыл бұрын
Ndioooo Anko letee tumalize mchezo.Anko samahn Luka mbona kimya yumzma kweli?
@aminaomarimaidi
Жыл бұрын
Anko unasimulia vzr💥🔥🔥
@ankojay_
Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏😊
@zarikayela6771
Жыл бұрын
Rehema wa tanga part 2 tunaomba samahan anko j
@peninahmmbone4648
Жыл бұрын
Twakupenda bure❤❤❤❤ Anko J Kenya Nairobi napenda kazi yako nzuri be blessed
Пікірлер: 479