Jamn wazaz mnapaswa kutokuficha vitu kwa watoto maana ni hatar baadae
@evelinazaina2455
Жыл бұрын
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
@ankojay_
Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia
@MonicaIlomo
Ай бұрын
🎉❤
@sumeiyamaddy95
Жыл бұрын
Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
@ruthwaithera2650
Жыл бұрын
Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖
@eda_juma
Жыл бұрын
Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
@shadyasalum192
Жыл бұрын
Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰
@dalilaamiri
Жыл бұрын
Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤
@sarahhagai8191
Жыл бұрын
Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤
@Winniequinepretty-wm7rr
9 ай бұрын
Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤
@mariamrashid6880
Жыл бұрын
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
@IreneMwenda-nl2hu
Жыл бұрын
Ww ndy umesem nn mbon ujaelewek
@laurent2014
Жыл бұрын
❤
@zulfajuma8394
11 ай бұрын
Kiukweli ata mm cjamuelewa uyu
@queenlee9495
Жыл бұрын
Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚
@ChristinesifaRuwa-ix9iy
Жыл бұрын
Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay
@judyauko8134
Жыл бұрын
Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.
@rehemanifasha5524
Жыл бұрын
Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉
@fatamaaktar906
Жыл бұрын
Mama anita ndochanzo chamatatizo
@alinaswemuziya876
Жыл бұрын
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
@maryworkman635
Жыл бұрын
Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂
@rizkimw1301
Жыл бұрын
Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu
@salmamohamedi5405
Жыл бұрын
Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j
@jenniferlicko4736
Жыл бұрын
Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤
@carlossirya5016
Жыл бұрын
Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu
@LifeofSalmah
Жыл бұрын
Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉
@NawMi121-lj8cf
Жыл бұрын
Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏
@alisalim2145
Жыл бұрын
Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣
@wertqwe8326
Жыл бұрын
Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤
@sarahhagai8191
Жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤
@MbarikiwaFoundation-it5tm
Жыл бұрын
Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah
@sarahhagai8191
Жыл бұрын
Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko
@joycemwangala
Жыл бұрын
Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili
@anastaziasanga
Жыл бұрын
Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha
@reachelchemtai2604
Жыл бұрын
Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu
@emilianamchomvu7765
Ай бұрын
Mimi nampenda sana anko jay na simulizi zake nazipenda sana
@DortheaMaria-ti5er
5 ай бұрын
Ni ngumu sana kumeza wallah
@nashaldy1804
Жыл бұрын
Kma ni mm pia ningetwaa uamuzi kma huo wa Anita.tena ukizingatia hyo ni first luv wke.aa weh! Udugu ukaepembeni.
@ankojay_
Жыл бұрын
😄😄😄😄🙌
@swabrarashidi1082
Жыл бұрын
Hhhhhhh real
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Umeona ee
@binthassan9191
Жыл бұрын
Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊
@avelinabaluhya2804
Жыл бұрын
😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂
@binthassan9191
Жыл бұрын
@@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣
@shantellekwamboka7444
Жыл бұрын
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
@nindymuruga4798
Жыл бұрын
Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤
@KanadeMrangu
10 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂😂
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Kweli usiombe yakukute
@salmakim557
Жыл бұрын
Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele
@blessingrajabu2519
Жыл бұрын
Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu
@RahilAisha
Жыл бұрын
Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen
@soldd-xz5ue
9 ай бұрын
Asante jamani nimeipenda. Runge wachana tu tukalea watoto
@ashaabdalla924
Жыл бұрын
Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤
@Rummy4871
8 ай бұрын
Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤
@sarahhagai8191
Жыл бұрын
Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅
@nkurunzizasandrine5091
Жыл бұрын
Adi bili leo unamkumbusha bi bishuuu🤣🤣😂🤣
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Mambo ya bi Shuu kweli ni motomoto
@binthassan9191
Жыл бұрын
Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤
@raiyaanyusufyusuf17
Жыл бұрын
Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Hujakutana na nguvu ya mapenz
@ZainabIdrissa
Жыл бұрын
Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲
@matesomoci6376
Жыл бұрын
Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu
@ConsoSeba
9 ай бұрын
Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.
@JessicaDonson
2 ай бұрын
Dah asante sana kwa simuliz nzuri
@Julietmosekithi
10 ай бұрын
Sauti nzuri sana yani tamu kweli nakupenda bure kakangu❤😂
@KanadeMrangu
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤tamuuu Haswaaaaaa❤❤❤😂😂😂
@rizkimw1301
Жыл бұрын
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
@ziadamtebwa3712
Жыл бұрын
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.
@Stephanie-mp1nn
6 ай бұрын
Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.
@brigdk
Жыл бұрын
Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤
@maryworkman635
Жыл бұрын
Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli
@mildredalivitsa1186
Жыл бұрын
❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya
@mildredalivitsa1186
Жыл бұрын
Sorry nakupenda
@HappinessMilambo
Жыл бұрын
Mmm jamani mapenzi nimazito Anita pole tens nakupa ongera kwaujasiri kutoka Zambia
@WardaNuru-ci9rx
Жыл бұрын
katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay
@sophiahassan-kn7ov
Жыл бұрын
Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂
@nabintuneema907
10 ай бұрын
Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri
@LindaRobson-qn1br
Жыл бұрын
Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew
@rizkimw1301
Жыл бұрын
Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee
@magrethjilya7663
Жыл бұрын
😂😂😂 umefanya nicheke kwa sauti
@PendoCharles-c8f
Жыл бұрын
Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45
@hudumampyahalisi4846
Жыл бұрын
Inatufundisha wazazi kiukwel 😢😢
@lidiajephter7564
Жыл бұрын
Jamani narudi acha nisikilize kwanza
@tegemeamhimba832
Жыл бұрын
Mmm balaaa ila hii Tania ya kutelekeza watoto haifai kabisa
@EstherJoram-gt4lt
Жыл бұрын
Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah
@mariamrupatu
Жыл бұрын
We ni fala
@RahelIbrahim-id2li
6 ай бұрын
Hujakutana na nguvu ya mapenzi bado
@slyla2565
Жыл бұрын
Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman
Пікірлер: 358