Huwa nakuelewa sana dada angu mana huwa unanigusa sana Kwa sauti ako MUNGU ameshakupa agizo ili uifanye kazi ake Kila mahali utakapo kwenda usiludi nyuma Kwa maneno ya watu yupo MUNGU Alie kuumba Kwa kusudi malumu ivo songa mbele na MUNGU akutie nguvu na akubariki 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@HappynessAthanas
Ай бұрын
Kwaya bora wilaya ya kwmba
@erastosendama4253
5 ай бұрын
Pambana kivuruge wangu mungu ataonesha njia pasipo na njia
@davoice661
3 ай бұрын
asante
@timothmanaseelia4213
4 ай бұрын
Nakubali chama langu
@ManziElysee-xh1nc
6 ай бұрын
Umekosea kusema kwamba anatangatanga aise umekosea sana lemii yupo kazini anatangaza injiri . minaweza sema Mungu amuinue zaidi
@isackjackson
6 ай бұрын
Mbarikiwe sanaaaaa na mungu pamja na lemiiiii
@eliaipalapala3114
5 ай бұрын
Hayo maisha anatafuta pambana dadaangu
@SimonPaulMalulu
2 ай бұрын
Ai,c vjan zenga
@Christina-bp1lt
5 ай бұрын
Naipends kwaya yagu
@veroclement-xv7kx
6 ай бұрын
piga kazi mdogowangu lemi,mungu azidi kukuinua
@Christina-bp1lt
5 ай бұрын
Nimewamisi by ujio wayesu
@emmanuellugembe
6 ай бұрын
Kazi nzuri
@eriasipaulo6239
6 ай бұрын
Hii ndo injili ni moto balaaa
@joocristomes6858
6 ай бұрын
Hatareee
@IsackKISUMO-j9u
3 ай бұрын
Usajir wa simba clab 2024 /25
@davoice661
3 ай бұрын
hahaha
@matrida.lunyilija5196
6 ай бұрын
Na ngudu umefika lemmy duh!tulia sasa kwenye kwaya moja utatangatanga mpaka lini jamani?
@joocristomes6858
6 ай бұрын
Kwani amehama kanisa? Binafsi sioni kama anatanga tanga, nafikiri anaeneza injili au we unaonaje? Vipi kama angehama kanisa au angeenda kuimba bongo fleva.
@matrida.lunyilija5196
6 ай бұрын
@@joocristomes6858anatangatanga sana aisee mpaka ameshuka kiwango sio lemmy ambaye alikuwa anaimba nyakato,unajua kutangatanga unakutana na mambo mengi sana siwezi kuhukumu lkn ukimfatilia ni shida tu Mungu amsaidie asimame tena
@denisrobert2967
6 ай бұрын
Ni mwalimu wa kwaya
@eriasipaulo6239
5 ай бұрын
Atulie ili iweje bado hamjsema mwacheni mbn walimu hwatuliag na wachungaji kwa nn ss tutulie yan ni mwendo wa kutembea kam nahitajika lem atembee tu tena nitamuita na kwenye chama lang aje na kahama kdg🤣
Пікірлер: 27