Mungu Aliye hai amlinde na kumrudisha salama kwa familia yake Katika jina la Yesu! Amen!
@ginimbifamily3995
3 ай бұрын
Amen 🙏
@happinesserasto4806
3 ай бұрын
Mungu mlinde sativa popote alipo arejee akiwa salamaa
@ProscoviaBrayson-ni8hv
3 ай бұрын
kapatikana @@ginimbifamily3995
@OfficialA83640
3 ай бұрын
Kashapatikana Mkoa wa Katavi yupo hoi Subhannallah
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
3 ай бұрын
Amen
@FatmaHamad-g6s
3 ай бұрын
Huu mtindo umerudi sikuizi watu hatupo salama hata kidogo nchini kwetu km Gaza tu
@salomewandya7257
3 ай бұрын
😨😨😨😨
@salymkitumbika8644
3 ай бұрын
Unapajuaaa GAZA
@halimaKaniki-g6i
3 күн бұрын
@fatmaHamad_g6s uchaguzi huo
@FatmaHamad-g6s
3 күн бұрын
@@salymkitumbika8644 napajua
@emmanuelmwasyoge2053
3 ай бұрын
Mwenyewezi Mungu amlinde ,arudi akiwa mzima kabisa
@HassaniMohamedi-lk7ow
3 ай бұрын
UMOJA NI NGUVU KIJANA APATIKANE KIJANA ASIYEKUWA NA SHIDA NA MTU🙏
@KitangariGenerations
3 ай бұрын
Kuna video imewekwa kwenye akaunt ya samsago inaonyesha kaonekana huyo SATIVA, kaonekana Katavi, ila amepigwa sana, wanaemfaham kwa sana watembelee akaunt ya samsago.
@omanmobile5746
3 ай бұрын
Ndio kapatikana ila kapigwa vibaya mno sijuk ata aliwakosea nini mpaka wakamteka jmn😢😢😢😢
@RichWise671
3 ай бұрын
Kapatikana katavi yu Hoi 🙌🙌🙌
@evasilaa9064
3 ай бұрын
Kama ni kweli tunamshukuru Mungu
@AnithaThadeo-n2i
3 ай бұрын
Kweliii kpatkana Mung n mwema😢@@evasilaa9064
@issaramadhaniathuman
3 ай бұрын
Nikweli kpatkana
@farajiissa560
2 ай бұрын
Mm nikiwa nakampun yangu au biashara zangu bora nifanyie kazi kenya au uganda Tanzania si salama ukiwa tajir mamlaka zinakuchikia
@verdianabanabi2205
3 ай бұрын
Wasiojulikana hao ndio mtindo wä siku hizi.
@HanifaOman-oo4pl
3 ай бұрын
Subuhanallah. Mtihani
@japhetluhende4901
3 ай бұрын
hatupo salama wakuu😢
@davicekombe4932
3 ай бұрын
Dah hadi chozi limenitoka 🥺
@hamoudcreator6343
3 ай бұрын
Kwaiyo Mama nae ameamua atuteke sio.. 🙄🙄
@PhilipoMwita-wc1ku
3 ай бұрын
Yani inaumiza sana
@noeljacob9644
3 ай бұрын
Alikuwa anajihusisha na siasa za upinzani Kwanza?
@herotv3609
3 ай бұрын
Kubet
@praisesteven7774
3 ай бұрын
uyu itakua mambo ya siasaaa maan nackia alikua maaarufuu twitter 🌚🌚🌚
@jumaamohamed2815
3 ай бұрын
Mzee wa kubet huyo muuza Mikeka ya mtandaoni," wanashirikiana na makampuni ya Betting kushawishi watu wajiingize kwenye Betting kwa mikeka Yao ya kueditt'
@h169_Jo
3 ай бұрын
@@jumaamohamed2815mikeka ya ku edit wewe Kuma Kama hujui kitu Kaa kimya mwana tu napiga nae kazi ya betting mimi ni zaidi ya miezi 6 now na tume tengeneza pesa nyingi kupitia betting zake tuna nunua mikeka kwake na ku bet mikeka anayo post mwana anajua kisenge KUNA WEWE🚮
@fatmaabdallah7709
3 ай бұрын
@@herotv3609biashara za kishetani hizo ndo zinapelekea kudhulumiana mwisho zinaishia hivyo!
@AngelaMollel
3 ай бұрын
Kwani amekosea nn ? Na kama amekosea nisawa2 hakuna binadamu aliyekamilika ata kama ametembea na mke wa mtu siyo kwa mateso hayo kikubwa Mungu amemufunika mpaka sasa yuko hai Mungu ataponya
@nancyg8664
3 ай бұрын
sorry, mtangazaji usikunje sana sura jmn kah unakua kama imelda wa global bhn😢
@juniorsonofgod5675
3 ай бұрын
😂😂😂watu mnatoaga huu ujinga wp lkn jmn😅😅😅
@nancyg8664
3 ай бұрын
@@juniorsonofgod5675 😆😆😆
@aginsagins-jf4vz
3 ай бұрын
😅😅😅
@firdausqutty2067
2 ай бұрын
Ila😅😂😅😂😂
@Thisisgrace979
3 ай бұрын
Dar napaogopa sana, na ndio nahamishiwa huko kikazi. Da!
@AlfaEnock-st9md
3 ай бұрын
Pole ukifika nitafute nitakuwekea ulizi pia mwenye wako
@nancyenock5601
3 ай бұрын
Ukifika unitafute nikufunze mapambano lmenikuta swala mwaka juz ilikuwa hatari
@msabatozeson9023
3 ай бұрын
TAIVINA I SEE U
@Tom_city_home
3 ай бұрын
Oy taivina ana tumia jina gan Instagram
@yassinmrishoyassinmrisho6573
3 ай бұрын
Jamaa kapitikana ila wamempiga sana 😢
@ChristianMtui
3 ай бұрын
Wap kapatkana
@witnessmbilinyi3281
3 ай бұрын
@@ChristianMtui hifadhi ya Katavi
@DallyLemah
3 ай бұрын
Katavi@@ChristianMtui
@joycekambuga6286
3 ай бұрын
Mungu wa mbinguni amtetee apone
@emmanuelleonando361
3 ай бұрын
Pray 4 SATIVA
@JudithAdonis
3 ай бұрын
Mungu amponye - EMEN !!
@bintalmasi2393
3 ай бұрын
Ni hiyo post ya mwisho
@faudhiasalum7279
3 ай бұрын
Nyumban huku Masikini nime misss home 😢
@kamarhelo
3 ай бұрын
Mpuuzi kweri wew si uwende yani sis tunahuzuni alafu wew unatuambia umemis kwenu kwenu kwenyew Kuna upotevu wa watu alafu unatulingia
@faudhiasalum7279
3 ай бұрын
@@kamarhelo Ahsante sana my dear friend Ubarikiwe ❤️
@Rehemamakuka
3 ай бұрын
@@kamarheloKunywa maji makubwa nakuja kulipa mana umenifurahisha
Inaumiza sana kiukwel, na mimi nimempoteza ndg yangu hapo hapo dar Mbezi Beach, tokea tarehe 31 ya mwezi wa 3, na had leo hatujafanikiwa kumpata, inaumiza sana kiukweli hili swala. Mungu abarik aonekane na tuwapate ndg zetu wote waliopotea.
@HanifaOman-oo4pl
3 ай бұрын
Subuhanallah. Pole mtihani sijuiwanawapelekagawapi.
@KitangariGenerations
3 ай бұрын
@@HanifaOman-oo4pl yani kupoteza mtu kwenye familia ndio mwanzo wa kuyumba kiuchumi ki familia mzima, maana had sasahivi mambo yalivyo kwenye familia yetu yamekuwa magumu sana kiukwel.
@HappinessGandye
3 ай бұрын
L
@HappinessGandye
3 ай бұрын
l@@KitangariGenerations
@HappinessGandye
3 ай бұрын
😊 4:00
@Tom_city_home
3 ай бұрын
Oy wazee mm nina shida na uyoo jamaa anae hojiwa hapo Taivana mc ... Anajulikana vipi kwa social medias
@lilianestephanie7881
2 ай бұрын
Wamtaka wa nini??
@LuckyTemu
3 ай бұрын
Huyu sativa yupo peace sana❤ na watu nmuonea huruma mam yake😢
@aboudijaaboudija
3 ай бұрын
watu wanatekwa na kuuliwa sijui shida ni nini 😢😢😢 binadam hawana huruma
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Shida ni kuikosoa Serikali
@ndukulusudikucho_
3 ай бұрын
Ukisoma ripoti za haki za binadam kuhusu Tz mmmh sio sehem salama saaana , tena kuna balozi wameanisha maenezo ambayo ni hatari kuishi au kutembelea nyakati za usiku na maeneo ya mbezi , kimara wamejaa watu wa kaskazini kuna matukio ya ujambazi saaana
@farajaMezza-qn4be
3 ай бұрын
Kwamba watu wa kaskazini ndo wanaongoza kwa ujambazi😅😅
@julianmsele3880
3 ай бұрын
sisi wa kaskazini ni wastaarabu sana labd utuchokoze
@martinamahenge4476
3 ай бұрын
Huyu ndio rafiki wa kweli ❤😊
@StevenGiven
3 ай бұрын
Daaah huyu ndorafiki wa kweli
@OnlineEarningTz
3 ай бұрын
Asante sana Millard kwa kutuongezea nguvu
@gasanatv4077
2 ай бұрын
Kwanini ulibadilisha ratiba ya kwenda nae? Na baada yakuona unampgia hapokei wewe kama rafiki yake wa karibu?
@ScopionScopion-zj9cd
3 ай бұрын
sisi wenye dii mbili tushaelew ila mh
@beckamuziki2785
3 ай бұрын
Kabisaa
@sophsoph4740
3 ай бұрын
Huyu kk ni rafiki wa kwer❤❤
@Kitabu_Tv-1
3 ай бұрын
Sana
@nancyg8664
3 ай бұрын
usiseme hvo😢, binadamu tunasiri sana yan sana, na usiamuamini kila mtu
@jumaamohamed2815
3 ай бұрын
@@nancyg8664kabisa kabisa
@joycekalago532
3 ай бұрын
Unaweza kukuta nae anahusika usiusemee moyo wa binadam😅
@BROTHER-FOR-BROTHERS
3 ай бұрын
Hujui kitu kumanyoko , @@joycekalago532
@superwomanmwenyeheri.1367
3 ай бұрын
Huyo due aliepatikana katupwa msituni huko Arusha? Kama alitekwa vile kutoka Dar?
@vibetz9991
3 ай бұрын
Au Kuna MTU alipigwa mamillion kwenye betting,,,, akasema sikubari
@halimaKaniki-g6i
3 күн бұрын
@vibetz9991 mambo ya Twitter hayo alitwiti kitu kuhusu siasa
@annamwakibinga527
2 ай бұрын
Wamerudi tena hawa? Wasiojulikana? Mungu wangu walinde watoto wetu.
@VinchX5
3 ай бұрын
nimesoma comment nimegundua kuna watu wengi wanaoishi ukanda wa mbezi wanatoweka na hawajulikani walipo...Tatizo ni nini
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Kuikosoa Serikali
@nancyg8664
3 ай бұрын
jmn tutaogopa kuwa maarufu
@ElizabethWamcha
3 ай бұрын
Jamani ameenda wp kijana wa watu dah mungu mpe uzima mlinde na maadui mana kupotea kwa vijana imekua kawaida 😢
@Aminmwansile-we8vn
3 ай бұрын
Post yake ya mwisho ndiyo. Imemletea matatizo.
@asteriashios1852
3 ай бұрын
Tanzania na watu wasiojulikana nchi ya mama Samia kwanini Hilo?
@dafrosamonko8254
3 ай бұрын
Big up mtangazaji unahoji maswali muhimu
@annamwakibinga527
2 ай бұрын
Dah hata huko anaishi hakuko salama mbona mballi hivo
@SaimonEmmanuel-h9t
3 ай бұрын
Kikubwa amepatika
@annamwakibinga527
2 ай бұрын
Mungu mlinde huyo mtoto arudi salama. Mama pole sana
@josephmwaipungu5478
4 күн бұрын
Taivina James
@Kitabu_Tv-1
3 ай бұрын
Tusaidieni mwanetu apatikane🙏
@wahidamohammed7294
3 ай бұрын
Hivi hi sehemu anayoishi usiku anarudi vipi?mmmh
@lilianestephanie7881
2 ай бұрын
Huyo kaka rafiki yake na sativa 😊♥️♥️♥️♥️
@motiruhega
3 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu Amepatkana salama ila amepigwa vbaya sana 😢😢 Sa iv dar imebadilika imekua ya kutekana kuuwana Kila sku inahuzunisha sana
@ChristianMtui
3 ай бұрын
Ya kweli
@christaoman8890
3 ай бұрын
Nikweli kapatikana au unatufariji.bas ashukuriwe Mungu
@christaoman8890
3 ай бұрын
@@ChristianMtui Hakuna uhakika
@StevenGiven
3 ай бұрын
Kweli kapatikana huko Katavi
@zeddysamo1276
3 ай бұрын
@@StevenGivenaisee kutoka dar mpk katavi M.MUNGU amfanyie wepesi amnusulu hilo na lingine tena.
@ilynpayne7491
3 ай бұрын
Nchi hii daah😢 mambo haya yana rudi sasa 😢
@lilianestephanie7881
2 ай бұрын
Mwanaume anaongea vizuri Hadi raha
@rosehaule6765
3 ай бұрын
Uenda amegogwa na Gari jamani Mara nyingine inatokeq mtu kagigwa vibaya mpaka ajulikani Mungu
Mkaka anaongea me namtamaniaaa woooih Yaani anaongea kwa kujiamini ❤❤
@HaikaJohn-w3h
16 күн бұрын
😅
@shabanisalumu4366
3 ай бұрын
#WhereIsSativa mungu amlinde huko alipo 🙏🙏
@rewardyesse7314
3 ай бұрын
Post yake ya mwisho imemponza
@ZawadyKaoneka
Ай бұрын
Hilo pia ni doa pia CCM 😮
@pumpandnozeltec3019
3 ай бұрын
MAMBO YA MATUSI AYO SIO MAZULI JAMANI😂
@jaymotz7523
3 ай бұрын
Taivina ni rafiki haswaaa
@Tom_city_home
3 ай бұрын
Oya na mpatajee uyoo taivina ni blood yangu classmates
@husseinlatifa1443
3 ай бұрын
Kwanini mtangazaji anamuhoji mtu uku anaangalia pembeni? Naona ni kama dharau hivi!
@andrewkilave3532
3 ай бұрын
Siyo dharau bwana wengi wao huwa wanaogopa camera 📸 kukaa mbele ya camera sio mchezo
@lilianestephanie7881
2 ай бұрын
Mmmmmmhhhh siri kaliiii
@lelaiddy6856
3 ай бұрын
Kina partnership haoo
@juliusDamian-v1v
3 ай бұрын
Dah J polen sana mwanangu
@maryamabdullah9169
3 ай бұрын
Dah mtihani
@mariajames5558
3 ай бұрын
Mmm yaan inaumiza sana
@mahambamujengwa8059
3 ай бұрын
Get well soon broh
@CalvinCosta-rq6ql
3 ай бұрын
Dogo amepatikana leo ila kaumia
@StevenGiven
3 ай бұрын
Amepatikana kapigwa sana Mungu amsaudie apone😢
@tumpeernest9690
3 ай бұрын
Wee kweli?
@HappyMwaigwisya
3 ай бұрын
Kapatikana wapi jamani. Sababu ya kupigwa je. Mungu msaidie jamani kaka wa watu
@fraitmgala5966
3 ай бұрын
@@HappyMwaigwisyaamepatikana hifadhi ya katavi national park
@immaculatepeter3229
3 ай бұрын
Amepotea dar es salaam kapatikana kativi mkoa wa rukwa huko ameumizwa vibaya
@mwitaagness455
3 ай бұрын
@@fraitmgala5966Mungu wangu😢
@LindaMbilinyi-n3n
3 ай бұрын
Kumbe hii ya kupotea watu kwenda wasikojulikana bdo ipo??duh!!!!!!!nikajua maguful alikufa nayo
@ThomasAlute
3 ай бұрын
Jeshi la polisi na vyombo vyote vya usalama linajificha hamnazo kila siku watu wanapotea tu
@messiasulleydidy2585
3 ай бұрын
Sativa au Santiva?
@abuuabuu6856
3 ай бұрын
IT'S TYPING ERROR MZEE
@innocent__tz
3 ай бұрын
Sativa
@alivinydeusdedit4958
3 ай бұрын
WHERE SATIVA
@fatmaabdallah7709
3 ай бұрын
Huyo rafiki pia si wa kumuamini wambane tu siri itajulikana. Siku hizi hakuna ndugu wala rafiki wa ukweli ni tamaa kwenda mbele!
@AbuNajayshBaiya
3 ай бұрын
It's okay ila usipende sana kuwa in negative thoughts most time,basi utakuwa huna mtu karibu maisha yako yote ama hutakuwa na mtu wa kushirikiana nae..it's okay urafiki umekuwa mtihani ila haimaanishi kuwa ndio hutakuwa na mtu wa karibu wa kushirikiana nae ktk mambo madogo madogo
@Rehemamakuka
3 ай бұрын
Huoni Kuna watu wamefia ndani kwa miaka miwili kwa kukosa kuwa karibu na watu mpaka miaka miwili watu ndo wanajua kafia ndani toa hoja zako za upuuzi
@alfredsaliga1554
3 ай бұрын
Au kaenda kenya kwenye maandamano
@halimamasai2234
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@collinsstanley6126
3 ай бұрын
Kama Gaza
@georgebrown7391
3 ай бұрын
Two years back nilikuwa nafanya nae mazoezi mkwajuni But Leo hii inauma sana kusikia tarifaa hii😢 Allah amfanyie uwepesi
Пікірлер: 178