Ukiona hivi ujue Mzee wa maskadi inaenda mwishoni🐒🥴
@michaelmgege4600
Жыл бұрын
Nakubar sana mzeee
@LoFi_120
Жыл бұрын
Mazee Sinya 😂, jamaa alikuwa na story kali sema wamayo akaingilia kati akafunika kila kitu😅.
@Irenes_Kitchen
Жыл бұрын
Umesahau mzee wa skadi na mzee wa mwana kenge😅😅😅😅
@babaalex5062
Жыл бұрын
Yani wote ni 🔥
@edithaeugeni9695
Жыл бұрын
Kwelii kabsaa wamayo alifunika kila kitu na hakuogopa kuonekana sura yake
@bintalmasi2393
Жыл бұрын
Mara ghafla upepo ukabadilika alipoingia mzee wa inaWEZEKANAje??
@mimah.
11 ай бұрын
@@edithaeugeni9695 mzee wa kuingiamo kurudimo
@fidelfidel-jz4iw
Жыл бұрын
Mzee WA kuloli dawa 😂😂😂
@Irenes_Kitchen
Жыл бұрын
Nakukubali Sana jomba 🎉❤
@Irenes_Kitchen
Жыл бұрын
Jomba umeludi tena🙌🙌🙌🙌
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
🙏👊✌️.
@rerisamba
Жыл бұрын
Yani mapito alio pitia huyu kijana wa ni magumu kweli lakini alikua jasri kweli
@tahirnephessalum3678
Жыл бұрын
namkubali sana huyu jamaa
@mwantumkombo3014
Жыл бұрын
Sinya mapambano yanaendea broo!
@juliethswai4263
Жыл бұрын
😀😀😀
@mwami_the_don_
Жыл бұрын
Duuh mtu unakuta Alisha simuria story imeisha sasa tena mtu anarud kuadsia tena nn tunakosa wasikiliza watu wenye story nzur Zaid mda sio mlefu Tena utaona wamayo karudi daah Chanel yangu imekosa Radha sas
@juniordamas2957
Жыл бұрын
Mzee wa dawa🫡🫡
@babaalex5062
Жыл бұрын
Vita ni Vita muraaa🤪🤪🤪
@anjelomsafi7133
Жыл бұрын
Nkubli
@athumaniferooz7790
Жыл бұрын
Mzee wa kuROL
@kilogreekachananawatuwasio4054
Жыл бұрын
Devistar watu wengine kama story zao za kitoto pishana nazo wasitumalizie bango zetu story za wizi wa kuku masufulia za mama mzee kachukua kuku kuloga Achana na wajinga kama Hao wapumbavu wakubwa wanakela na kutumalizia bango 🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷⚓🙏👍
@gmanyota1
Жыл бұрын
Sio bango ni bundle 😂😂
@ombenkallenge1924
Жыл бұрын
Kwani umelazimishwaaa?
@bearthamassawe
Жыл бұрын
@@ombenkallenge1924 cndo hapo aende kwa millad ayo 🤣🤣
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Kumbe unajua hupendi story kama hizi basi kasilize za kina Kajala kabanduliwa yeye na mwanae kwaajili ya tamaa hizo nazo ni story lakini sijui kama zinafunza kitu cha maana, sie huku kwa Mchoma dawa tunamuelewa
Пікірлер: 34