Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Nilichojifunza ni kwamba kuna mambo mengi sana muhimu ambayo ili mtu aweze kufanikiwa anahitaji kuwa nayo, nayo ni bora na muhimu zaidi kuliko kuwa na kipaji tu. Basi somo hili ni muhimu sana hata kwa wale wanaotambua kuwa wanavipaji mbalimbali wanawezaje kujiongezea thamani.
JINSI YA KUTAMBUA KIPAJI CHAKO : • JINSI YA KUGUNDUA KIPA...
Fuatilia kwa makini mambo haya saba:
1. Take responsibility for your life (Tambua maisha yako ni jukumu lako)
2. Be Organized (Jipange Vizuri)
3. Learn to take action (Kuwa mtu wa vitendo sio maneno tu)
4. Learn to network with other successful people (Jichanganye na waliofanikiwa)
5. Read a lot (Soma sana vitabu)
6. Persevere (Jifunze uvumilivu)
7. Pay attention to your health (Jali afya yako)
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Негізгі бет SIO LAZIMA KIPAJI ILI UFANIKIWE, TAZAMA HII
Пікірлер: 93