Ustadhi shafi polesana nduguyangu ww unahubili kwajili yakuelimisha lakini wenzako miongoni mwawa hadhiri wapokibiashara tu nahao wacrst wanafanya biashara zao kupitia midahalo hii nahuyo ndacha kunawengini nimtuwao wakaribu kimaslahi yao binatsi ila tutawaunga mkono nyny wachache mnao fanya midahalo kwajili ya ALLAAH nisalimie kinyogoli na bakozi na maulana waambie nawakubali sana bila kukusahau ww shaf ila ustadhi mazinge namshauri awekwenye kamatitu asipande jukwaani tunamuheshimu sana mzee wetu kafanya kazi kubwa ila apumzike midalo yasasa imepinga hatuasana awetu kwenye ushauri mezani
@ustadhshafiionlinetv
4 күн бұрын
shukran ..sawa allah akulipe
@MuhammadWesonga
17 күн бұрын
Ndacha hana ilmu,maana mwanzo mwenye ilmu hatakikani,habishani,na hasemi kwa ubinafsi,angelikuwa msomi mwenye hikma angekuwa mwislamu kitambo sana,mimi sijigambi ila nilisoma kwa hikma,sio kwa kupinga tu kiitikadi,na sasa hivi alhamdulillah,mimi ni mwislamu.
@thekingdragon8358
14 күн бұрын
ustadhi shafii unafundisha waijue haki ila ujue wenzako wakristo akina ndacha wanalinda ugali so lazima afanye fix chakula ifike mezani sasa mtu kama huyu hata umpike vipi haivi huyu ndacha ataongozwa na Mungu sasa. kiswahili hajui unamuelimisha ila hataki yuko kiushabiki tu ...
@user-oq2wp8oh1f
17 күн бұрын
Ndacha mjinga sanaaa
@saifmohamedalshukairi1592
17 күн бұрын
Ndacha Ana CHUKI binafsi
@Ujumbewadini
17 күн бұрын
NDACHA NI MUONGO SANA TENA SNAAAA....BADILIKA ILA ELEWA UPO HATARINI...
@MiishHassan-qm1et
15 күн бұрын
Ndacha anatafuta sifa aonekane ni mwamb ktk dini lkn hamna kitu
@user-fy4op1sw2f
15 күн бұрын
Mweupe ni wewe ama shafii kafiri wewe huna jipya
@bigmanfish6346
12 күн бұрын
USTADH SHAFI NA BAKONZI KIBOKO
@shukrialisaya1578
16 күн бұрын
Afadhali walimu wakristo kutoka TZ kuliko huyu ndacha mwongo hana elimu ya kutosha afadhali mw onyago na shiliwa wenye hekima.
@samxx411
16 күн бұрын
Ustadhi Shafi umeongea point ila hao makafiri hata useme nini ni wachache wanakuelewa...na haohao maneno hayohayo yakosemwa na walimu wao utaona wananyamaza...Ndacha tumtumie kama ubao wapo ambao wanasoma kupitia hii midahalo
@user-iz1er8vg7u
17 күн бұрын
Ndacha bando sanaa sisi twamutaki popo si ndacha
@opujejoshmahjoshmah1432
14 күн бұрын
Mbona Nyie msitangaze kuwa Majini ndugu toka Q sura Turjin72:1-14 mwasema tu Dini ya haki,manabii wote kawa Waislaam Nabii yup kasema mimi ni mwislaam alafu nani kaslimisha Muhamed??Jhn14:1-6
@bigmanfish6346
12 күн бұрын
Ndacha muhuni anachafua maandiko na kutafisiri kivake
@@samxx411❤2wathesaronike 2:11 akawaletea nguvu ya upotevu ili waumini uongo.
@jimjam-xg7rv
16 күн бұрын
Ndacha kumpinga makelele kwa kuto jielewa tu
@hamisishabani4072
17 күн бұрын
TATIZO LA NDACHA NI KUJIMWAMBAFAI,KANA KWAMBA ANAUJUZI NA MAANDIKO, KUMBE HAJUI NA HAJIJUI KAMA HAJUI!! SHAFII HAOGOPI VITABU.ISPOKUWA NDACHA NI MTU WA KUPINDUA PINDUA MAANDIKO!! NDACHA YANI NI BADO SANA KATIKA MIJADALA!!
@bongotel5823
16 күн бұрын
Nimesikiliza malalamiko ya Shafi naweka hiyo aya anayosema ''mfano'' Tafsiri ya barwan hamna so Shafii mzushi..Quran 10:102 Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao? Ngojeni! Nami ni pamoja nanyi katika wanao ngoja. - Ali Muhsin Al-Barwani
@sama-_8368
16 күн бұрын
... jingine ila KAMA yaliyotokea..... Hilo neno "kama" hujaliona??? Hilo sio neno lenye maana ya MFANO????
@karimdaud3993
17 күн бұрын
Wewe ni mkweli wasomaji wote wana usanii mwingi .
@user-oq2wp8oh1f
17 күн бұрын
Ndacha hujui kitu ushabik tu
@saifmohamedalshukairi1592
17 күн бұрын
NJAA ZITAWAPELEKA PABAYA
@impeccablerito7922
17 күн бұрын
Ndacha kweli hamna kitu kichwani anasema Waisrael sio neno si jina la watu flani ni watu wote wanaomkubali kristo wanaitwa waisrael..amesahau Israel ni nchi ni sawa anasema Watanzania sio watu flani ila ni watu wote wanaomkubali Mama Samia wanaitwa watanzania kwa maana iyo hata mtu akiwa Marekani akimkubali na kumwamini Mama samia yeye ni Mtanzania.
@ChristianEinstein-t2j
15 күн бұрын
Warumi 9;6 tatizo ushabiki mwing hupim hoja za ndacha
@impeccablerito7922
15 күн бұрын
@@ChristianEinstein-t2j Toa maandiko warumi 9;6 ndio nini ??
@impeccablerito7922
15 күн бұрын
Ww na mm wote lugha yetu ni kiswahili na tunakielewa vizuri inashangaza Kiswahili chepesi kabisa unataka kiwe na mganganyiko ambao auleti maana Israel ni taifa..elewa neno Israel ni taifa..watu wa ilo taifa wanaitwa waIsrael..Fungua akili yako cha kuambiwa changanya na akili yako usiwe mtu wa mapokeo tu. Aya wewe unamkumbali Kristo kwa iyo ww ni mwisrael kwa mujibu wa Ndacha
@rayaalhabsi1725
16 күн бұрын
Kwanza wewe ndacha ni muongo mzandiq mkubwa, MTUME MUHAMMAD SAW hakusema anae badilisha dini akatwe kichwa
@saudaumar3354
17 күн бұрын
Allah mwenyewe amesema hao makafiri wapenda kubadilisha ndimi zao nawamelaniwa ndata nimmoja amelaniwa hana lake narudikenya aombe kanisani za mkate
@MuhammadWesonga
17 күн бұрын
Ndacha sio msomi,ama akiwa msomi,haelewi anachokisema,maana angekuwa mwelewa hangekuwa mkristo sasa hivi
@bongotel5823
16 күн бұрын
Tuwe wakweli na muongo kaa nae mbali Umesoma hiyo Aya anayolalamikia Shafi? au ushabiki tu Shafii ni muongo Ndacha yupo sawa... Quran 10:102 Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao? Ngojeni! Nami ni pamoja nanyi katika wanao ngoja. - Ali Muhsin Al-Barwani
@jumanjenga7682
17 күн бұрын
Ndacha debe tupu.
@nurdinkassim
17 күн бұрын
Hivi hamjui mnabishana ndacha mraibiu wa ubishi msivutane na mtu ambae amepitia injili au boblia ila hajaisoma angeisoma angeielewa hivyo shafii msippteze muda kwa mtu kama hiyo
@mobutu3884
17 күн бұрын
Ubishi upi mbona hoja zimejengwa vizuri tu, ukimchukia ndacha huwezi kumsikiliza ukamuelewa zaidi ya ushabiki na udini tu, au unataka na yeye apande kufanya komedi kama walimu wako kazi yao ni kuwachekesha tu halafu wakitoka wanaanza kulalamika wakati mda wao wanautumia kufanya komed
@muliamadi859
17 күн бұрын
Ndacha acha kudanganya watu weye na daniel amjui lolote
@UswegeJohn-ov3ym
16 күн бұрын
Yaani waislam wamefilisika sana, yaani neno TU ndo wanaona ni point sana kwao, sasa tufanye tumewakubalia kuwa neno TU lilimaanisha ni Israel peke yao bila mataifa mengine, Sasa swali hapo linakuja kama kweli ni hivyo iweje YESU baada ya kusema Maneno hayo baada ya hapo akamponya yule mama?
@mwinyiswaleh8388
16 күн бұрын
Sikia wewe Ndacha Uisilam sikamadini nyingine.sisi waisilam tunatumia QRU'AN NA SUNAA za Mtume basi.ukita sawa kama hutaki nibasi.
@amirmohamedali2484
17 күн бұрын
Acha urongo ndacha hakuna Israeli wa kiro wala wakimwili Pili wewe wataka mjadala upate marupurupu kutoka kwa kanisa huna lolote kazi yko niviraka tu wala usemi ukweli
@MohamedAhmada-ie7ke
17 күн бұрын
😂😂😂😂ndacha katafuta utetezi kwenye Qur'an
@mobutu3884
17 күн бұрын
Tukisema tuangalie hoja ndacha ana hoja sana sema nyie waislamu hamna tabia ya kumsikiliza ndacha sababu ya ushabiki na udini, walimu wa kiislamu hawapo serious wanafanya comedy tu kwenye majukwaa na kuchekesha tu watu halafu mkishacheka mnawaona wakali sana wakati hakuna wanachofanya, yani mbinu wanayotumia hawajibu hoja zaidi ya kuja kufanya komedi na hii ni kwa sababu hoja zinawashinda. Ukishaona mjadala wa dini watu wanaleta komed na mizaha ujue wanakwepa hoja, na wameshawajulia nyie wazee wa mashaallah tu na kupigiwa takbrii 😂. Matokeo yake ndio hayo wanakuja kulalamika nje ya uwanja wakati wakipewa mda badla wajibu wanayolalamikia sasa wanaishia kuleta mizaha na komedi. Kuweni na tabia ya kusikiliza hoja kwa umakini walimu wenu wanakuja kuwachekesha ili kuwatoa kwenye usiriaz sababu wanajua hawanaga hoja. Pia anacholalamika shafii ndicho wao wenyewe wanafanya ila anajifanya haoni wanavyokata aya sasa mfano wamekazana na neno " Tu" wakati chini yake kuna majibu ila hawafiki sasa nashangaa anacholalamika. Hivi ukisema usome aya yote utajibu hoja za watu kwelii? Mlitakiwa mje mmalizie nyie na sio kuja kufanya komed.
@salimbahatisha3003
17 күн бұрын
Umeandika gazeti refu lkn ushabadwa mtupu. We kafiri ushapigwa muhuri kwenye moyo wako ata ukisomewa aya gani kwa vile ushaamua kuwa kiburi huwezi ukakubali aya za qur an
@bigmanfish6346
12 күн бұрын
Sasa huyu ndacha abishana nini? Hana hata dini. Hana maandiko yoyote ya kweli. Ujanja ujanja tu na uongo
Пікірлер: 45